Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUONEKANO WA NDEGE YA AIR FORCE ONE

Muonekano wa nje wa ndege ya Rais wa Marekani, Barack Obama kwa nje. Maafisa wanaomlinda rais wakiongea jambo ndani ya ndege hiyo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

DefenceWeb

Pakistan to train Tanzania Air Force


defenceWeb
Pakistan to train Tanzania Air Force
defenceWeb
Chief of the PAF Air Marshal Tahir Rafique Butt. The Tanzania People's Defence Force (TPDF) Air Force and the Pakistan Air Force (PAF) have signed a Memorandum of Understanding (MoU) which paves way for the provision of Pakistani equipment and ...

 

10 years ago

BBC

Libya air force bombs Misrata rebels

Following a 72-hour ultimatum, air forces loyal to the Libyan government strike militants in Misrata for the first time.

 

10 years ago

Vijimambo

Documentary ya Air Force One a.k.a "The Flying White House"


Photo Credits: Pilotman.net The Air Force One ni ndege ambayo pia inajulikana kama Ikulu ya angani.
Wengi wanaijua kwa kuiona. Lakini unajua mchakato mzima kabla ya ziara ya Rais yeyote?
Unajua nani ni nani kwenye ndege na nini huusika?
Tazama filamu hii fupi kujua mengi usiyofahamu kuhusu ndege hii


 

10 years ago

BBCSwahili

Mkia wa ndege Air Asia wapatikana

Mkia wa Ndege ya Air Asia umepatikana katika Bahari ya Java

 

11 years ago

GPL

AIR TANZANIA YARUDISHA SAFARI ZA NDEGE ZA KWENDA BURUNDI

Meneja Rasilimali watu kutoka Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), Eliezer Mwasele, akishuka kutoka ndani ya ndege mara baada ya ndege ya Air Tanzania kutua wakati wa uzinduzi wa safari za kwenda Bujumbura- Burundi. Nyuma yake ni aliekuwa Balozi wa Tanzania Burundi, Francis Mndolwa.…

 

10 years ago

Michuzi

Air Seychelles yazindua safari za ndege Mahe - Dar es Salaam

 Shirika la Ndege la Taifa la Shelisheli, Air Seychelles limeanza kufanya safari zake kati ya mji mkuu wa nchi hiyo, Mahe na Dar es Salaam ambapo  Desemba 2, 2014, ndege yake ya abiria HM 777 ilifanya safari yake ya kwanza ya uzinduzi kwa kutua Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam.

Ujio wa shirika hilo la ndege unafanya mashirika ya ndege yaliyoanzisha safari zake kuja Dar es Salaam kwa siku za hivi karibuni kufikia matatu, Air Seychelles, Flydubai ya Umoja...

 

9 years ago

Global Publishers

Washukiwa wa bomu bandia ndege ya Air France wakamatwa Ufaransa

Air france (2)Watuthumiwa hao (kushoto) baada ya kukamatwa.

MAOFISA wa Polisi nchini Ufaransa wamewatia mbaroni abiria wawili wa ndege hiyo ambao ni mke na mme liokuwa abiria katika ndege ya Air France Boeing 777 nambari AF463 iliyolazimika kutua kwa dharura nchini Kenya hapo jana kufuatia tishio la bomu.

Air france (1)Duru zinasema kuwa wawili hao ambao majina yao bado hayawekwa hadharani walikamatwa punde baada ya kutua katika Uwanja wa Kimataifa wa Charles de Gaulle nchini Ufaransa.

An Air France jet liner which made an emergency landing is seen at Moi International Airport in Mombas, Kenya Sunday, Dec. 20, 2015. The Boeing 777 Air France flight 463 from Mauritius to Paris was forced to land in the Kenyan coastal city of Mombasa after a device suspected to be a bomb was found in the lavatory, a Kenyan police official said Sunday. (AP Photo/Edwin Kana)Waliokamatwa ni ofisa mmoja...

 

5 years ago

Michuzi

PRECISION AIR YAZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA MIZIGO KWENDA COMORO

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiShirika la ndege la Precision Air wamezindua safari  za ndege ya mizigo kutokea Tanzania na kuelekea Hahaya katika Visiwa vya Comoros wakipeleka bidhaa mbalimbali.

Safari hizo zimeanza rasmi siku ya Jumamosi kutokana na mabadiliko katika soko na nchi nyingi kufunga mipaka yao.
Akitoa taarifa hiyo,  Meneja Masoko na Mawasiliano amesema wamebadilisha moja ya ndege zao aina ya ATR72-500 kuwa ndege ya mizigo, na safari ya kwanza ilikuwa ni siku ya...

 

11 years ago

Michuzi

RWANDA AIR YATOA SEMINA KWA MAWAKALA WA MASHIRIKA NDEGE

Meneja wa Rwanda Air, Kanda ya Kusini, Hafeez Balogun akitoa mada wakati wa semina kwa ajili ya mawakala wa mashirika ya ndege iliyofanyika jijini Dar es Salaam.DSC_0143Meneja Mauzo wa Rwanda Air, Dhruv Parmar akitoa mada wakati wa semina kwa ajili ya mawakala wa mashirika ya ndege iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Washiriki wa semina hiyo. Maofisa wa Air Rwanda wakiwa wamepozi kwa picha. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Five Star Tours, Harry Pietersen (kulia), akimkabidhi cheti, mshauri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani