Museveni: Ileteeni amani Burundi
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) haiwezi kukaa kimya huku ikishuhudia raia wa Burundi wakifa bila ya kuwa na hatia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Museveni kuituliza Burundi?
Rais wa Uganda Yoweri Museveni leo ameingia siku yake ya pili ya mazungumzo ya amani nchini Burundi.
9 years ago
TheCitizen28 Dec
Burundi violence must stop: Museveni
Ugandan president Yoweri Museveni has asked warring parties in Burundi to put an end to extrajudicial killings in the country.
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Rais Museveni hafai kupatanisha Burundi
Neno “PIERRE†kwa Kifaransa lina maana ya jiwe na “NKURUNZIZA†kwa Kihutu lina maana ya habari njema. Mwaka 2005 Pierre Nkurunziza alikuwa “jiwe†lililowapa Warundi “habari njema†alipochaguliwa kuwa rais wa Burundi baada ya miaka mingi ya mapigano ya wenyewe kwa wenyewe.
9 years ago
TheCitizen21 Dec
Museveni set to resume Burundi peace talks
The Minister of Defence, Dr Crispus Kiyonga, has announced that dialogue on the Burundi peace pact will resume on December 28.
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Mazungumzo ya amani: Kagame na Museveni wakutana mpakani kuimarisha uhusiano
Rais Yoweri Museveni wa Uganda na mwenzake Paul Kagame wa Rwanda walikutana katika mpaka wa Gatuna kabla ya mazungumzo kuimarisha uhusiano kati ya mataifa hayo mawili.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5w8I9dGaIQw/VZrsuhNomHI/AAAAAAAHnYU/CNUr8ai9CKU/s72-c/President-Yoweri-Museveni-weho-has-ruled-Uganda-since-1986-has-been-credited-with-stabilising-the-country-and-stopped-the-politics-of-confrontation..jpg)
RAIS MUSEVENI ATEULIWA KUWA MSIMAMIZI WA KUONGOZA JUHUDI ZA UPATANISHI MGOGORO WA BURUNDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-5w8I9dGaIQw/VZrsuhNomHI/AAAAAAAHnYU/CNUr8ai9CKU/s400/President-Yoweri-Museveni-weho-has-ruled-Uganda-since-1986-has-been-credited-with-stabilising-the-country-and-stopped-the-politics-of-confrontation..jpg)
Akizungumza wakati wa Mkutano huo, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Richard Sezibera alisema kuwa Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Museveni apewe jukumu la...
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
AU kutuma walinda amani Burundi
Muungano wa Afrika umetangaza mpango wa kutuma walinda amani nchini Burundi kuzuia machafuko zaidi nchini humo.
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Kizingiti mazungumzo ya amani Burundi
Mazungumzo kuhusu mzozo wa kisiasa Burundi yamefanyika nchini Uganda, ingawa washiriki wamekosa kuelewana kuhusu siku ya kuanza kwa mazungumzo kamili.
10 years ago
BBCSwahili19 Jul
Burundi:Mazungumzo ya amani yakwama
Mazungumzo ya mwisho ya kuzima msukosuko wa kisiasa wa Burundi, yamesimamishwa, siku mbili kabla ya uchaguzi wa rais.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania