Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Museveni kuituliza Burundi?

Rais wa Uganda Yoweri Museveni leo ameingia siku yake ya pili ya mazungumzo ya amani nchini Burundi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Museveni: Ileteeni amani Burundi

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) haiwezi kukaa kimya huku ikishuhudia raia wa Burundi wakifa bila ya kuwa na hatia.

 

9 years ago

TheCitizen

Burundi violence must stop: Museveni

Ugandan president Yoweri Museveni has asked warring parties in Burundi to put an end to extrajudicial killings in the country.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Museveni hafai kupatanisha Burundi

Neno “PIERRE” kwa Kifaransa lina maana ya jiwe na “NKURUNZIZA” kwa Kihutu lina maana ya habari njema. Mwaka 2005 Pierre Nkurunziza alikuwa “jiwe” lililowapa Warundi “habari njema” alipochaguliwa kuwa rais wa Burundi baada ya miaka mingi ya mapigano ya wenyewe kwa wenyewe.

 

9 years ago

TheCitizen

Museveni set to resume Burundi peace talks

The Minister of Defence, Dr Crispus Kiyonga, has announced that dialogue on the Burundi peace pact will resume on December 28.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS MUSEVENI ATEULIWA KUWA MSIMAMIZI WA KUONGOZA JUHUDI ZA UPATANISHI MGOGORO WA BURUNDI

Taarifa ya makubaliano toka kwa Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki imetolewa leo Ikulu Dar es Salaam wakati wa kuhitimisha Mkutano wa siku mbili wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya hiyo ambapo baadhi ya maadhimio waliyokubaliana ni kwamba Rais Museveni wa Uganda awe msimamizi wa juhudi za upatanishi wa makundi nchini Humo.
Akizungumza wakati wa Mkutano huo, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Richard Sezibera alisema kuwa Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Museveni apewe jukumu la...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Burundi: Emergency Meeting of the Ministers of EAC Affairs On Burundi Held in ...


East African Business Week
Burundi: Emergency Meeting of the Ministers of EAC Affairs On Burundi Held in ...
AllAfrica.com
Arusha — The Ministers of East African Community Affairs on 18th May 2015 in Arusha, held an emergency meeting to address matters emerging in the Republic of Burundi. The meeting was called following the directive issued by the EAC Heads of the State ...
East African leaders to mediate Burundi crisisShanghai Daily (subscription)
E. African ministers to visit...

 

5 years ago

ReliefWeb

Burundi Refugee Situation - Tanzania: Voluntary Repatriation Statistics as of 31 October 2019 - Burundi

Burundi Refugee Situation - Tanzania: Voluntary Repatriation Statistics as of 31 October 2019 - Burundi  ReliefWeb

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?

Wakati, Burundi ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu wiki ijayo, uhusiano kati ya nchi hiyo na jirani yake wa karibu Rwanda ukiwa umevunjika

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwanini Burundi imewatimua maafisa wa WHO?

Ujumbe kutoka kwa wizara ya mambo ya nje nchini Burundi, umetumwa mtandaoni ukiwataka wawakilishi wa Shirika la Afya Duniani kuondoka nchini humo ndani ya saa 48.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani