Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUSINGS: Dear Chiku could get fired soon

>There is this funny story of a certain brutal nanny who almost killed a toddler in Kaguta’s land.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

MUSINGS: A tribute to a dear friend

>The other day I was watching news and I heard something that was really ridiculous on the one and only channel I have on my TV these days.Yes, one channel only, for I have been denied service by others channels for quite some time. Why? It has everything to do with cash!

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chiku Abwao ajibu mapigo

MBUNGE wa Viti Maalum, Chiku Abwao (Chadema), amewashukia wanaomzushia kuwa amewasaliti wenzake wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), na kuhudhuria vikao vya Bunge Maalum la Katiba linaloendelea mjini hapa....

 

11 years ago

Mtanzania

Chiku Abwao avinjari viwanja vya Bunge

Mbunge wa Chadema, Chiku Abwao

Mbunge wa Chadema, Chiku Abwao

NA MWANDISHI WETU, DODOMA

WAJUMBE wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wameendelea kumiminika mjini hapa, unakoendelea mkutano wa Bunge Maalum la Katiba, ambao umoja huo umesusia.

Jana Mbunge wa Viti Maalum, Chiku Abwao (Chadema), alionekana ndani ya viwanja vya Bunge.

Hata hivyo, mbunge huyo alisema alifika kwenye viwanja hivyo kwa lengo la kuchukua gari lake alilokuwa ameliacha na si kuudhuria mkutano wa Bunge la Katiba unaoendelea.

Alisema amekuwa...

 

11 years ago

Michuzi

Chiku Gallawa mgeni rasmi Handeni Kwetu Foundation

MKUU wa Mkoa wa Tanga, Chiku Gallawa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa taasisi ya Handeni Kwetu Foundation, utakaofanyika Jumanne ya Agosti 5, katika Ukumbi wa Vijana Social Hall, Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Tukio hilo la uzinduzi wa taasisi hiyo limepangwa kuanza saa 10 za jioni ambapo wamealikwa wageni mbalimbali kwa ajili ya kuitambulisha kabla ya kuanza kazi zake rasmi nchini Tanzania.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Msemaji wa taasisi hiyo, Kambi Mbwana,...

 

10 years ago

Michuzi

MHE. CHIKU GALLAWA AKAGUA UJENZI WA MAABARA MANISPAA YA DODOMA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa (mwenye kilemba kichwani) akimsikiliza Afisa Mtendaji wa Kata ya Msalato Dodoma Ndg. Herman Malindira (kulia) akiwasilisha taarifa ya mradi wa ujenzi maabara kwenye sekondari ya Chikole Feb. 16, 2015.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa (kushoto) akitoa maagizo kwa viongozi wa Manispaa ya Dodoma na kata ya Msalato baada ya kutoridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa maabara wakati alipofanya ziara ya ukaguzi wa Maabara Mjini Dodoma Feb. 16, 2015.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkuu wa shule ya sekondari Idodi amkimbia mbunge Chiku Abwao

IMG_20150210_150420

 Mbunge wa viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Iringa, Chiku Abwao akikagua jengo la shule sekondari Idodi lililokumbwa na ajali ya moto.

IMG_20150210_150620

IMG_20150210_151029

Mbunge  CHIKU ABWAO akiwa katika eneo la nje ya jengo lililoungua

Mbunge wa viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) CHIKU ABWAO alisikitiswa na uongozi wa shule  ya sekondari ya idodi kushindwa kumpokea kama mbunge na mama aliyeguswa na ajali ya moto katika shule kwa kuwa alikuwa ameshatoa taarifa...

 

10 years ago

Bongo5

Mameneja tusimamieni wana Hip Hop pia — Chiku Keto

Rapper Chiku Keto amesema haelewi sababu za mameneja wengi sasa hivi kutokuwa tayari kuwasimamia baadhi ya wasanii wanaofanya Hip Hop. Rapper huyo wa kike amesema ukimya wake mwaka 2014 ulitokana na harakati zake za kutafuta menejimenti au mtu yoyote ajitokeze kusimamia kazi zake. “Kilichokuwa kinanikwamisha nilikuwa nasikilizia kama labda inaweza ikatokea mtu ambaye anaweza kunisimamia […]

 

11 years ago

TheCitizen

MUSINGS: What do you look for in a wife?

His age mates say that the fellow never went beyond Standard Four. But that does not seem to bother Juma who on a number of occasions has managed to keep even the famous Dr Maneno, the most educated member of the Kijiwe quiet.

 

9 years ago

TheCitizen

MUSINGS : What would Magufuli do?

The hash tag #WhatWouldMagufuliDo has been trending on Twitter this past week. The new Tanzanian President, John Pombe Magufuli, has hit the ground running and made some changes, some of which have been to curb expenditure.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani