MUSINGS: Dear Chiku could get fired soon
>There is this funny story of a certain brutal nanny who almost killed a toddler in Kaguta’s land.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen05 Sep
MUSINGS: A tribute to a dear friend
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
Chiku Abwao ajibu mapigo
MBUNGE wa Viti Maalum, Chiku Abwao (Chadema), amewashukia wanaomzushia kuwa amewasaliti wenzake wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), na kuhudhuria vikao vya Bunge Maalum la Katiba linaloendelea mjini hapa....
11 years ago
Mtanzania06 Aug
Chiku Abwao avinjari viwanja vya Bunge
![Mbunge wa Chadema, Chiku Abwao](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Chiku-Abwao.jpg)
Mbunge wa Chadema, Chiku Abwao
NA MWANDISHI WETU, DODOMA
WAJUMBE wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wameendelea kumiminika mjini hapa, unakoendelea mkutano wa Bunge Maalum la Katiba, ambao umoja huo umesusia.
Jana Mbunge wa Viti Maalum, Chiku Abwao (Chadema), alionekana ndani ya viwanja vya Bunge.
Hata hivyo, mbunge huyo alisema alifika kwenye viwanja hivyo kwa lengo la kuchukua gari lake alilokuwa ameliacha na si kuudhuria mkutano wa Bunge la Katiba unaoendelea.
Alisema amekuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FZrtNHsNu0o/U93e57eKsuI/AAAAAAACmuU/_p6ovA6mu4A/s72-c/55ebTanga-regional-commissioner-Chiku-Gallawa.jpg)
Chiku Gallawa mgeni rasmi Handeni Kwetu Foundation
![](http://4.bp.blogspot.com/-FZrtNHsNu0o/U93e57eKsuI/AAAAAAACmuU/_p6ovA6mu4A/s1600/55ebTanga-regional-commissioner-Chiku-Gallawa.jpg)
Tukio hilo la uzinduzi wa taasisi hiyo limepangwa kuanza saa 10 za jioni ambapo wamealikwa wageni mbalimbali kwa ajili ya kuitambulisha kabla ya kuanza kazi zake rasmi nchini Tanzania.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Msemaji wa taasisi hiyo, Kambi Mbwana,...
10 years ago
MichuziMHE. CHIKU GALLAWA AKAGUA UJENZI WA MAABARA MANISPAA YA DODOMA
10 years ago
Dewji Blog12 Feb
Mkuu wa shule ya sekondari Idodi amkimbia mbunge Chiku Abwao
Mbunge wa viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Iringa, Chiku Abwao akikagua jengo la shule sekondari Idodi lililokumbwa na ajali ya moto.
Mbunge CHIKU ABWAO akiwa katika eneo la nje ya jengo lililoungua
Mbunge wa viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) CHIKU ABWAO alisikitiswa na uongozi wa shule ya sekondari ya idodi kushindwa kumpokea kama mbunge na mama aliyeguswa na ajali ya moto katika shule kwa kuwa alikuwa ameshatoa taarifa...
10 years ago
Bongo517 Jan
Mameneja tusimamieni wana Hip Hop pia — Chiku Keto
11 years ago
TheCitizen21 Jun
MUSINGS: What do you look for in a wife?
9 years ago
TheCitizen18 Dec
MUSINGS : What would Magufuli do?
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10