Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Musoma traders protest against receipt machines

Traders here yesterday closed their businesses protesting what they claimed as being forced by the government to use Electronic Fiscal Devices (EFDs) while they cannot afford to buy them.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BASI LA MUSOMA EXPRESS LAPATA AJALI LIKITOKEA DAR KWENDA MUSOMA

 Basi la Musoma Express lenye namba za usajili T138 BDQ lililokuwa likitokea Dar es salaam kwenda Musoma limepata ajali majira ya saa 4 usiku  katika kijiji cha usanda shinyanga vijijini .
Basi hilo limepata ajali katika eneo la Usanda hatua chache baada ya kutoka katika mzani wa Tinde barabara ya Tinde Shinyanga.

Inaelezwa kuwa wakati dereva akiendesha basi hilo ghafla mwanamume  mmoja anayedaiwa kuwa ni mzee (mtembea kwa miguu) alikatisha barabarani na kusababisha ajali hiyo.
 wakizungumza na...

 

11 years ago

Michuzi

BIASHARA UNITED MUSOMA YAIBAMIZA POLISI VETERAN YA MUSOMA MABAO 2-0

Timu ya soka ya Biashara United ya mjini Musoma Mkoani Mara (pichani) inayojiandaa kwa  mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya soka ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mwishoni mwa wiki imewabamizia Timu ya Polisi Veteran ya Mjini Musoma mabao 2-0 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika katika uwanja wa Kumbukumbu ya Karume mjini Shinyanga.Mchezo huo ambao ulikuwa na kila aina ya ufundi kutoka kwa wachezaji wa timu zote kipindi cha kwanza kilimalizika baada ya timu hizo kutosha nguvu ya...

 

10 years ago

Michuzi

TANGAZO MUHIMU KWA UMMA KUIBIWA KWA STAKABADHI ZA SERIKALI (EXCHEQUER RECEIPT VOUCHERS)

Ofisi ya Madini, Kanda ya Mashariki Dar es Salaam inautangazia Umma kwamba, usiku wa Jumapili ya kuamkia tarehe 03-08-2015 wezi walivunja Ofisi ya Madini Kanda ya Mashariki iliyopo Upanga, Dar es Salaam na kuiba vitu mbalimbali vya Ofisi vikiwemo vitabu vya Stakabadhi za malipo ya Serikali.

Katika tukio hilo, stakabadhi namba ERV 6361601-6361800, na ERV 6361201, 6361202, 6361203, 6361204ziliibwa.

Aidha, vitabu vipya vinane (8) vyenye Stakabadhi namba 6360201-6360400, 6360401-6360600,...

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO MUHIMU KWA UMMA JUU YA KUIBIWA KWA STAKABADHI ZA SERIKALI (EXCHEQUER RECEIPT VOUCHERS)

Ofisi ya Madini, Kanda ya Mashariki Dar es Salaam inautangazia Umma kwamba, usiku wa Jumapili ya kuamkia tarehe 03-08-2015 wezi walivunja Ofisi ya Madini Kanda ya Mashariki iliyopo Upanga, Dar es Salaam na kuiba vitu mbalimbali vya Ofisi vikiwemo vitabu vya Stakabadhi za malipo ya Serikali.

Katika tukio hilo, stakabadhi namba ERV 6361601-6361800, na ERV 6361201, 6361202, 6361203, 6361204ziliibwa.

Aidha, vitabu vipya vinane (8) vyenye Stakabadhi namba 6360201-6360400, 6360401-6360600,...

 

11 years ago

TheCitizen

Use simplified machines, Tanzanians advised

Tanzanians have been urged to make use of simplified technologies that are designed to ease and speed up farming activities.

 

10 years ago

Daily News

Zanzibar moves to EFD machines


Zanzibar moves to EFD machines
Daily News
IN efforts to curb tax evasions, Zanzibar is in the process of introducing Electronic Fiscal Devices (EFD), the Zanzibar Minister of Finance Mr Omar Yussuf Mzee said here. “We need the EFD machine urgently, and we have formed a committee to study how we ...

 

9 years ago

TheCitizen

Herbalists served notice over machines

The government yesterday put on the spotlight herbalists who own suspect diagnostic machines—the Quantum Magnetic Analysers—which were exposed by The Citizen on Sunday as the healers’ tricky way of earning money from patients.

 

9 years ago

TheCitizen

Investigation over ‘BVR machines’ starts

Police in collaboration with the National Electoral Commission (NEC) have started investigating the alleged Biometric Voter Registration (BVR) machines that were intercepted in Dar es Salaam on Thursday.

 

11 years ago

TheCitizen

Furniture firm buys machines

Furniture Centre DSM Ltd has purchased modern machines that can produce high quality furniture within a short period of time as the company seeks to meet the growing demand for furnishings among Tanzanians.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani