MV Kilimanjaro yapata ajali Zanzibar, sita wafariki
WATU sita wamefariki dunia na wengine watatu kuokolewa katika boti ya abiria ya MV Kilimanjaro iliyokumbwa na dhoruba ya mawimbi makali kutokana na kuchafuka kwa hali ya hewa baharini.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Sita wafariki ajali ya basi Mkuranga
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Sita wafariki dunia ajali ya basi Mkuranga
11 years ago
CloudsFM09 Jun
WATU SITA WAFARIKI KWA AJALI YA BASI NANYALA MBEYA
Watu Sita wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni Ndejela Express lenye namba za usajili T 257 CMP aina ya TATA likiendeshwa na Dereva wa kike Vailet Mbinda(31) mkazi wa Sokomatola kugongwa kwa nyuma na roli la mizigo kisha kupinduka Kijiji cha Nanyala Kata ya Nanyala wilaya ya Mbozi Mkoani Mbeya.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa tisa alasiri barabara ya Tunduma/Mbeya ambapo roli lenye namba T 369 AWM aina ya SCANIA likendeshwa na Dereva asiyefahamika likiwa katika...
10 years ago
StarTV22 Dec
Watu sita wafariki, wengine kujeruhiwa katika ajali Tunduma.
Na Amina Said,
Mbeya.
Watu sita wamefariki papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya katika ajali iliyotokea leo alasiri eneo la mlima Chengula Tunduma mkoani Mbeya.
Ajali hiyo imehusisha magari matatu, basi ndogo aina ya Toyota costa T 203 ARZ iliyogongana uso kwa uso na basi la kampuni ya Shalom express wakati costa hiyo ikijaribu kulipita lori aina ya TATA mali ya Usangu Logistic lenye namba T 789 AZL.
Majeruhi wamepelekwa kwenye hospitali ya serikali iliyopo Vwawa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IR6j1-Mhm*XN3OFHTPhZW0SIR2YLjYg8hcJmMxtkIZVdz-WGkrs57sj6DfZT7C7Le2AoY8iIpWOGHMicPPFfNI-NIAimhPwf/uchira.jpg?width=650)
WATU SITA WAJERUHIWA KATIKA AJALI KILIMANJARO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8nHD7aVHHww/UycxT0Oa_TI/AAAAAAAFUOo/F_3_DvzxlhE/s72-c/unnamed+(84).jpg)
BODI YA KUCHUNGUZA AJALI YA MV KILIMANJARO 2 YAKABIDHI RIPOTI KWA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA MAWASILIANO ZANZIBAR
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Sita wafariki ajalini Mbeya
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Sita wafariki ajalini, 12 wajeruhiwa Dar