Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MV Victoria ni janga linalosubiri kutokea

Kwa muda wa wiki moja sasa, vyombo vya habari nchini vimekuwa vikiripoti hali mbaya kiusalama inayoikabili meli kongwe nchini, MV Victoria ambayo imekuwa ikisafirisha abiria na mizigo katika Ziwa Victoria kwa zaidi ya miaka 50 sasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa ajira kwa vijana bomu linalosubiri kulipuka

Ukosefu wa ajira ndiyo kilio kikubwa cha wahitimu wengi wa vyuo vikuu nchini. Wengi wanapomaliza vyuo huwa wanatarajia kupata kazi nzuri, lakini kinyume na matarajio yao wanaendelea kusota mitaani bila kazi.

 

10 years ago

GPL

CCM HAIJAWAHI KUTOKEA!

Mwandishi Wetu
NIJohn Pombe Joseph Magufuli ambaye amepita kwa kishindo na ‘usimpimie’ kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)na mgombea mwenza, Samia Suluhu Hassan, lakini yaliyojiri katika mchakato wa kumpata mgombea huyo, hayajawahi kutokea, Ijumaa Wikienda limechimba na kuchimbua. Mh.John Pombe Joseph Magufuli akiwashukuru wajumbe baada ya kumteua kuwa mgombea wa CCM. Sarakasi zilikuwa...

 

11 years ago

Michuzi

TASWIRA KUTOKEA KWENYE MIWANI

 Taswira ya wadau wakiserebuka,iliyonaswa kutoka kwenye kioo cha Miwani.

 

10 years ago

Mwananchi

Maafa ya wakimbizi wa kutokea Eritrea

Kati ya nchi za Ulaya, Ujerumani ndiyo inayopokea wakimbizi wengi wa kutokea Eritrea.

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

Watanzania 18 warejeshwa nchini kutokea Yemen


Kiongozi wa Msafara wa Watanzania waliorejeshwa nchini kutokea Yemen Bw. Abdul Twahid Said akizungumza na Waandishi wa Habari  kwa niaba ya wenzake mara baada ya kuwasili leo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere  jijini Dar es Salaam kwa ndege ya Shirika la Emirates. Bw. Said alitoa shukrani kwa jitihada za Serikali za kuwarejesha nchini Watanzania wote kufuatia machafuko yanayoendelea nchini Yemen. Bw. Sabri Hery Omari ambaye ni miongoni mwa Watanzania waliorejea nae...

 

10 years ago

GPL

HAIJAWAHI KUTOKEA, MAPACHA 5 WAZALIWA MAREKANI

Bi. Danielle Busby akifurahi kuwaona wanawe baada ya kujifungua mapacha watano wote wakiwa hai. Wakunga wakiwatazama watoto waliozaliwa.…

 

10 years ago

Mwananchi

Ya Nkuruzinza yaweza kutokea nchini, wasomi waonya

Dar es Salaam. Wakati viongozi wa Uganda, Rwanda na Burundi wamejijengea mazingira ya kuongeza muda wa urais kinyume na Katiba, wachambuzi wanaona hali hiyo inaweza kuambukizwa Tanzania iwapo chama tawala, CCM kitashindwa kumuandaa mrithi mwenye sifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani