Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA KUTOKEA KWENYE MIWANI

 Taswira ya wadau wakiserebuka,iliyonaswa kutoka kwenye kioo cha Miwani.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

DIAMOND ASHINDWA KUTOKEA KWENYE SHOW LONDON

Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz. Kwa mara nyingine tena, mashabiki wa Diamond Platnumz wameshindwa kumuona akitumbuiza licha ya kumsubiria hadi saa 10 Alfajiri. Awamu hii imetokea jijini London, Uingereza katika show aliyoitangaza kwa kiasi kikubwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii. Tofauti na Stuttgurt, Ujerumani ambako mashabiki walifanya uharibifu mkubwa, mashabiki wa London waliamua kuwa wapole tu na kurejea...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hizi Ndio Bei za Kingwendu Kutokea Kwenye Video za Wasanii

Staa mkongwe kwenye uchekeshaji, Kingwendu amesema kuonekana kwenye video za muziki za wasanii ni moja ya biashara zake anazozipa uzito.

Kingwendu ameonekana kwenye video kadhaa ikiwemo ile ya wimbo wa Yamoto Band.

Akiongea na 255 ya XXL kupitia kituo cha redio cha Clouds FM, Kingwendu alisema kabla hajakubali kufanya video, huangalia kwanza wimbo huo una ujumbe gani.

“Inategemea kwanza na video gani, kama ni movie au muziki kama muziki, naangalia kwanza ameimba nini na huo wimbo una...

 

9 years ago

MillardAyo

Zisikupite hizi stori kubwa 8 kutokea kwenye Amplifaya Dec 16, 2015

December 16, 2015 mkusanyiko wa stori kubwa kutokea kona mbalimbali za dunia zilikusanywa pamoja na kusikika kupitia Kipindi cha redio Amplifaya ya Clouds Fm, sasa basi kama zilikupita hii ni nafasi yako nyingine ya kipekee kuzipata hizi kubwa 8 hapa. ‪‬ #AmplifayaUPDATES:Rais Magufuli asema serikali itapata zaidi ya TRILIONI 1.3 kwenye mapato ya December hii hivyo […]

The post Zisikupite hizi stori kubwa 8 kutokea kwenye Amplifaya Dec 16, 2015 appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Zisikupite hizi stori kubwa 3 kutokea kwenye Amplifaya Dec 14, 2015

Amplifaya ni show inayosikika kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa kupitia Clouds FM kuanzia saa moja usiku mpaka saa tatu, ni show ambayo ina namba 10 muhimu zinazomilikiwa na habari, yaani habari kumi kubwa za siku kutoka kwenye michezo, muziki, movies, fashion, siasa na stori nyingine ambapo host wake ni mtu wako wa nguvu Millard Ayo. Sasa […]

The post Zisikupite hizi stori kubwa 3 kutokea kwenye Amplifaya Dec 14, 2015 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani