Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvua yavuruga mechi muhimu Sudan Kusini

Mechi ya kwanza kabisa ya Sudan Kusini ya kufuzu kwa Kombe la Dunia ilisitishwa kutokana na mvua baada ya kuchezwa dakika 10 pekee.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini kucheza mechi ya kwanza Kombe la Dunia

Sudan Kusini inajiandaa kucheza mechi yake ya kwanza kabisa ya kufuzu kwa Kombe la Dunia itakapokutana na Mauritania Jumatano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Camara:mechi dhidi ya Uganda ni muhimu

Kiungo Lansana Camara amesema atatumia mechi ya kirafiki dhidi ya timu ya Sports Club Villa ya Uganda kuonesha uwezo wake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Stoke City, Spurs washinda mechi muhimu

Siku chache baada ya kulaza Manchester United, Stoke City wameandikisha ushindi muhimu Ligi ya Uingereza kwa kucharaza Everton.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rooney kukosa mechi muhimu Man Utd

Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney hatacheza mechi ya nyumbani dhidi ya West Ham Jumamosi na pia mechi Ulaya dhidi ya Wolfbsurg kutokana na jeraha.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mvua yasimamisha mechi za US Open

Michuano ya US Open kwa upande wa kinadada imesimamishwa kwa muda baada ya mvua kali kunyesha hali iliyosababisha ugumu wa mchezo huo.

 

9 years ago

Bongo5

Wayne Rooney atakosa mechi muhimu za Man Utd

2EE30E6000000578-0-image-m-26_1449229572661

Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney atakosa mechi ya nyumbani dhidi ya West Ham Jumamosi na pia mechi muhimu Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Wolfbsurg kutokana na jeraha.

2EE30E6000000578-0-image-m-26_1449229572661

Rooney mwenye umri wa miaka 30 aliumia kataika mechi waliyotoka sare 1-1 ugenini na Leicester City wikendi iliyopita na atahitajika kusubiri muda zaidi kuchezea klabu hiyo mechi yake ya 500 kutokana na jeraha la kifundo cha mguu.

Louis van Gaal amesema tatizo hilo ni mbaya zaidi ya ilivyodhaniwa, United...

 

10 years ago

Vijimambo

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) ulitiwa saini usiku wa jana, Jumatano, Januari 21, 2015, katika sherehe ya kufana iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Ngurdoto, Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha.

Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...

 

10 years ago

Michuzi

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza utiaji wa saini. Kutoka kulia ni  Mhe. Salva Kiir Mayardit  Rais wa Sudan Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa SPLM na anayeongoza kundi linalojulikana kama SPLM in Government (SPLM-IG), Mhe Dkt. Riek Machar ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa SPLM na pia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini anayeongoza kundi la SPLM in Opposition (SPLM-IO) na Dkt. Deng Alor Kuol ambaye anaongoza kundi la SPLM Leaders- Former Detainees (SPLM Leaders – FD). Nyuma yao ni...

 

10 years ago

GPL

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) jijini Arusha

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wakati  Rais Salva
Kiir Mayardiy wa Sudan ya Kusini (kushoto) na Makamu wa Rais wa zamani
wa Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) wakipeana mikono na
kubadilishana nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa  makubaliano ya
kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya…
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani