Mvua zapamba kiapo cha Rais Magufuli
Mvua kubwa iliyonyesha jana jijini Dar es Salaam wakati wa shughuli ya kuapishwa kwa Rais mpya wa Tanzania, Dk John Magufuli imetafsiriwa kama ishara ya baraka kwa uongozi mpya ya awamu ya tano ulioingia madarakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Mjbvgkdwoh0/U4ClEr5ZKgI/AAAAAAAFkv4/Inhsv1mGx-o/s1600/unnamed+(12).jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA SHEREHE ZA KULA KIAPO ZA RAIS ZUMA WA AFRIKA KUSINI LEO
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Nelson Mandela Amphitheater katika jengo la Union Buildings mjini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Jacob Zuma wa Afrika ya Kusini leo Mei 24, 2014.
Rais Jacob Zuma akila kiapo katika Nelson Mandela Amphitheater katika jengo la Union Buildings mjini Pretoria wakati wa sherehe za kuapishwa kwake leo Mei 24, 2014.
Ndege za kijeshi zikiunda umbo la "20" kuashiria miaka ishirini ya uhuru kamili...
![](http://1.bp.blogspot.com/-k3Gk-krLbzw/U4ClEnpY0II/AAAAAAAFkv8/syP5OXIycmQ/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-11-W82KaMJM/U4CrMheauXI/AAAAAAAFkws/wwAbpDZAwSM/s1600/unnamed+(14).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
RAIS MAGUFULI ATANGAZA MAOMBOLEZO YA SIKU TATU YA KIFO CHA RAIS NKURUNZIZA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s400/images.jpeg)
Rais Dk. John Magufuli ametangaza maombolezo ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia kesho Juni 13, 2020 kufuatia kifo cha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kilichotokea Juni 09, 2020 nchini Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Ikulu jijini Dodoma imesema katika kipindi chote cha siku tatu za maombolezo hayo ambayo yataanza leo, hadi keshokuwa bendera zote zitapeperushwa nusu mlingoti.
Taarifa hiyo imesema, Rais Magufuli ameeleza kuwa Tanzania inatoa heshima hiyo kwa kifo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cOsJN32WjWQ/XkWCMLTIW7I/AAAAAAALdTw/eHlF1leSStkY5cYhOHSKe75oolccjdBMwCLcBGAsYHQ/s72-c/7b7b2725-e07b-4e68-911a-4824982ce4e8.jpg)
RAIS MAGUFULI KUZINDUA KIPINDI CHA PILI CHA AWAMU YA TATU YA TASAF
![](https://1.bp.blogspot.com/-cOsJN32WjWQ/XkWCMLTIW7I/AAAAAAALdTw/eHlF1leSStkY5cYhOHSKe75oolccjdBMwCLcBGAsYHQ/s640/7b7b2725-e07b-4e68-911a-4824982ce4e8.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb) akisisitiza jambo kwa Waandishi wa Habari leo alipokuwa akizungumza nao kuhusu uzinduzi wa Kipindi cha Pili cha Awamu ya Tatu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) utakaofanyika siku ya Jumatatu tarehe 17Februari, 2020 kwenye...
9 years ago
CCM Blog05 Nov
VIDEO: DK. MAGUFULI ALA KIAPO LEO JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa awamu ya tano, Dk. John Magufuli akiapishwa, kuona tafadhali>BOFYA HAPA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-DBjTq9G57iM/XuQ1gu8lV0I/AAAAAAAC7bk/Rx8S1dzCMKogVhVsFMvf5u6-aNQEa9B9ACLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZfyI4Q_LPJ4/XuPeSvLcwNI/AAAAAAALtpI/ErHmkADQ2F4mmt_LgxVc4rx0xHv1Ny3igCLcBGAsYHQ/s72-c/w.jpg)
9 years ago
MichuziRAIS DKT MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KWANZA CHA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU, DAR ES SALAAM
9 years ago
Mwananchi08 Dec
‘Wafanyakazi kula kiapo cha uadilifu’
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma imemtaka kila mtumishi wa umma nchini kuapa kiapo cha ahadi ya uadilifu kabla ya Desemba 31, kwa kukisoma mbele ya mwajiri wake huku akishuhudiwa na wenzake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania