‘Wafanyakazi kula kiapo cha uadilifu’
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma imemtaka kila mtumishi wa umma nchini kuapa kiapo cha ahadi ya uadilifu kabla ya Desemba 31, kwa kukisoma mbele ya mwajiri wake huku akishuhudiwa na wenzake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAZIRI MBARAWA ATINGA OFISINI LEO MARA BAADA YA KULA KIAPO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Mjbvgkdwoh0/U4ClEr5ZKgI/AAAAAAAFkv4/Inhsv1mGx-o/s1600/unnamed+(12).jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA SHEREHE ZA KULA KIAPO ZA RAIS ZUMA WA AFRIKA KUSINI LEO
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Nelson Mandela Amphitheater katika jengo la Union Buildings mjini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Jacob Zuma wa Afrika ya Kusini leo Mei 24, 2014.
Rais Jacob Zuma akila kiapo katika Nelson Mandela Amphitheater katika jengo la Union Buildings mjini Pretoria wakati wa sherehe za kuapishwa kwake leo Mei 24, 2014.
Ndege za kijeshi zikiunda umbo la "20" kuashiria miaka ishirini ya uhuru kamili...
![](http://1.bp.blogspot.com/-k3Gk-krLbzw/U4ClEnpY0II/AAAAAAAFkv8/syP5OXIycmQ/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-11-W82KaMJM/U4CrMheauXI/AAAAAAAFkws/wwAbpDZAwSM/s1600/unnamed+(14).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtr1cdVx9tk-ZbNWOxYi05WgkjzV9wU-RTMz9vEPaeNenlkACwbpi2FPah6SXq4YWp5k3WyzAJm0g-u-XDb1wOou/MAMAKANUMBA.jpg?width=650)
MAMA LULU, MAMA KANUMBA WAENDA KULA KIAPO
Stori: Mwandishi Wetu
ULE udugu wa ukubwani kati ya wazazi wa mastaa wa filamu Bongo, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ na Flora Mtegoa ‘Mama Kanumba’ umezidi kukua kufuatia kwenda Bukoba, Kagera kwa ajili ya kula kiapo cha kuimarisha undugu huo. Kutoka kushoto: Flora Mtegoa, Lulu na Lucresia Karugila katika pozi. Wazazi hao wawili walijikuta katika undugu kufuatia Elizabeth Michael...
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Kiapo cha moto kwa makatibu
Halfa ya kuapishwa kwa makatibu wakuu na naibu makatibu wakuu 26 iliyofanyika jana Ikulu Jijini Dar es Salaam ilikuwa ya aina yake kutokana na kuapa mara mbili, huku Rais John Magufuli akiwaeleza kuwa asiyeweza kazi “aseme asile kiapo, akae kandoâ€.
9 years ago
Mwananchi13 Dec
Kiapo cha jasho, mawaziri wapania kazi
Hafla ya kuapishwa kwa mawaziri iliyofanyika jana Ikulu jijini Dar es Salaam ilikuwa kavu isiyo na shangwe zilizozoeleka huku mawaziri wakionekana wazi kuwa wamepania kufanyia kazi kiapo chao.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGbsfs2VrfFRZJSnkmHVJFgJNaNY1Bi-kDS6rs1Z0ewrDugWqu23pOe23t15OUx9PCn7tcyZOHUsUQ5k9Cdfve*n/5.jpg?width=650)
ESHA BUHETI AAPA KIAPO CHA KIFO
Stori: Shakoor Jongo
MUIGIZAJI Bora wa Kike 2014 kupitia Tuzo za Zanzibar Film Festival (Ziff), Esha Buheti ameapa kuwa iwapo atakuja kujichora tatuu au kufanya mapenzi ya jinsia moja, Mungu aingamize familia yake na kizazi chake chote. Muigizaji Bora wa Kike 2014 kupitia Tuzo za Zanzibar Film Festival (Ziff), Esha Buheti Esha alitoa kiapo hicho juzikati alipokuwa akijibu swali aliloulizwa na paparazi wetu kuhusiana na tuhuma...
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Mvua zapamba kiapo cha Rais Magufuli
Mvua kubwa iliyonyesha jana jijini Dar es Salaam wakati wa shughuli ya kuapishwa kwa Rais mpya wa Tanzania, Dk John Magufuli imetafsiriwa kama ishara ya baraka kwa uongozi mpya ya awamu ya tano ulioingia madarakani.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lYnNv0-ng5C1bXPthPkvuIhCVdHJibACR3gl14Hl95LItkRczuj27-idB6WTO9g8ElLUDfAWjOxuiBjgYJAvVZdBAkH4HwDp/BUHETY.jpg)
ESHA BUHETI AJIAPIZA KIAPO CHA KIFO
STAA wa Bongo Movies, Esha Buheti amejiapiza kiapo cha kifo kwa kusema kuwa kama ipo siku atajaribu mchezo wa usagaji basi atakapomaliza tu litokee gari na kumkanyaga na kufa. Staa wa Bongo Movies, Esha Buheti. Akizungumza na mwandishi wetu, Esha alisema kuwa alishajiapiza kwa kutumia Msahafu ya kuwa kamwe hawezi kufanya tendo hilo akiamini kuwa liko kinyume kabisa na Mwenyezi Mungu. “Kwa kweli mimi nikifanya usagaji siku...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lQlwXT3A0WY/VVCjZPpkADI/AAAAAAAAAfc/8kYjlUkg5Pg/s72-c/IMG_9237.jpg)
WAFANYAKAZI WA CHUO CHA UTALII NCHINI WAUNDA BARAZA LA WAFANYAKAZI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-lQlwXT3A0WY/VVCjZPpkADI/AAAAAAAAAfc/8kYjlUkg5Pg/s640/IMG_9237.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HhmYtWT8pac/VVCskTnEQ5I/AAAAAAAAAf8/tbURmo3pEnA/s640/IMG_9242.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania