WAZIRI MBARAWA ATINGA OFISINI LEO MARA BAADA YA KULA KIAPO
Katibu wa iliyokuwa Wizara ya Ujenzi Eng. Mussa Iyombe akimkaribisha Waziri mpya wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa kwenye ofisi yake mpya wizarani hapo, alipowasili kwa mara ya kwanza mara baada ya kula kiapo ikulu, jijini Dar es Salaam leo.
Katibu wa iliyokuwa Wizara ya Ujenzi Eng. Mussa Iyombe akimkaribisha Waziri mpya wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa, kuongea na Viongozi wa Wizara na watendaji wa Taasisi zilizo chini ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-U8b1tc1kyq0/VkXDMyrDAEI/AAAAAAAArTo/LmMgJw5LR00/s72-c/1.jpg)
JK ATINGA OFISINI KWAKE CCM LUMUMBA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-U8b1tc1kyq0/VkXDMyrDAEI/AAAAAAAArTo/LmMgJw5LR00/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qV_BqnS-McE/VkXDOzkY8zI/AAAAAAAArTw/htIlQgmlpV8/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sJXcJAgAJhk/VkXDQEDeP6I/AAAAAAAArT4/BZDSk-NdhuU/s640/5.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-og37jO6MaX8/VlcLmkJMsDI/AAAAAAAIIfg/UVFFkj5UnXc/s72-c/28b108a6-f0ec-4408-9da4-612321d42743.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI ATINGA OFISINI KWA WAZIRI MKUU MAJALIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-og37jO6MaX8/VlcLmkJMsDI/AAAAAAAIIfg/UVFFkj5UnXc/s640/28b108a6-f0ec-4408-9da4-612321d42743.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2n0C6070AHg/VlcLpfonC-I/AAAAAAAIIfo/sEtCEosLOH4/s640/9ceca878-c9ca-4155-ba2b-5cdc13872750.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ne7bZaiiOQQ/VlcLr5XqLII/AAAAAAAIIfw/HJbHojzRwCk/s640/875485d6-1b6f-40c9-8f3f-06d25b76dc8d.jpg)
9 years ago
MichuziWAZIRI KITWANGA AKARIBISHWA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI MARA BAADA YA KUAPISHWA IKULU LEO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Mjbvgkdwoh0/U4ClEr5ZKgI/AAAAAAAFkv4/Inhsv1mGx-o/s1600/unnamed+(12).jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA SHEREHE ZA KULA KIAPO ZA RAIS ZUMA WA AFRIKA KUSINI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-k3Gk-krLbzw/U4ClEnpY0II/AAAAAAAFkv8/syP5OXIycmQ/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-11-W82KaMJM/U4CrMheauXI/AAAAAAAFkws/wwAbpDZAwSM/s1600/unnamed+(14).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e6dkT0rP0do/VoD_yMaCUaI/AAAAAAAAASM/tu00p76sQTc/s72-c/DSC_4315.jpg)
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII PROF. JUMANNE MAGHEMBE AWASILI MAKAO MAKUU YA WIZARA HIYO MARA BAADA YA KUAPISHWA IKULU LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-e6dkT0rP0do/VoD_yMaCUaI/AAAAAAAAASM/tu00p76sQTc/s640/DSC_4315.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-N0CHRGNZsVk/VoD_vhE9mgI/AAAAAAAAASA/pdsTfjucO3g/s640/DSC_4332.jpg)
9 years ago
Mwananchi08 Dec
‘Wafanyakazi kula kiapo cha uadilifu’
9 years ago
Mtanzania12 Nov
Mimba yamfanya Kim Kardashian kula mara kwa mara
NEW YORK, MAREKANI
MKE wa msanii wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, Kim Kardashian, ameweka wazi kwamba anashindwa kula kwa mpangilio kwa kuwa huwa anahisi njaa mara kwa mara.
Mrembo huyo mwenye umri wa miaka 35, anatarajia kupata mtoto wa pili, awali mrembo huyo alikuwa akifuata ratiba ya mlo kamili lakini kwa sasa imeshindikana.
“Kwa hatua niliyofikia kwa sasa nahisi mtoto nitakayejifungua atakuwa anakula sana kama ninavyokula mimi mara kwa mara bila kuwa na mpangilio wa chakula,”...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s59l1-GJpB4/VC6JwZTMD8I/AAAAAAAGnhU/KtaycwfZvPw/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Mwakilishi wa IFAD amtembelea Waziri Mifugo na Uvuvi ofisini kwake leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-s59l1-GJpB4/VC6JwZTMD8I/AAAAAAAGnhU/KtaycwfZvPw/s1600/unnamed%2B(41).jpg)