Mvutano kuhusu mali ya Mandela waendelea
Serikali ya Afrika Kusini imepinga hatua ya kisheria aliyochukua aliyekuwa mke wa Nelson Mandelakutaka kupewa umiliki wa nyumba ya hayati Mandela katika mvutano unaoednelea kuhusu mali ya Mandela.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili03 Feb
Mali ya hayati Mandela yatangazwa
Hayati Nelson Mandela aliacha mali yenye thamani ya dola milioni nne ambayo alisema igawanywe kati ya familia, shule na chama cha ANC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cZ399qCqOaEPLC9urPPVblqod4uIVVDTfsReP7k9DmhWzInPcnDNaLwr4OTwX3ZhLnj7D*h0VKuy1QpVlr1siZEW-FGcSVVA/mandela.jpg?width=650)
MALI ZA NELSON MANDELA HADHARANI
Marehemu Nelson Mandela enzi za uhai wake. MALI za marehemu Nelson Mandela, zimetangazwa ambapo aliiachia familia yake mali za dola milioni 4.1 sawa na bilioni 6.7 za Tanzania. Sehemu ya mali hiyo itatolewa kwa chama tawala cha ANC, wafanyakazi wake wa zamani na shule kadhaa ambako alisomea. Mali hizo zinajumuisha nyumba na hakimiliki za vitabu kikiwemo kimoja kuhusu maisha yake kiitwacho ''Long walk to freedom''. Hayo ndio...
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Mke wa zamani wa Mandela adai mali yake
Mke wa zamani wa hayati Nelson Mandela, anataka watoto wake wapewe nyumba ya marehemu iliyoko kijijini Qunu
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Rais Kikwete afichua siri kuhusu Mandela
Rais Jakaya Kikwete jana aliyateka mazishi ya Rais wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, alipotoa salamu mbele ya maelfu ya waombolezaji na wageni wa kimataifa walioshiriki katika mazishi hayo.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s72-c/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Gwajima Wajibu Mapigo Waiandikia Barua Polisi Kuhusu Uhalali wa Kumtaka Gwajima Awasilishe Nyaraka 10 za Mali Zake
![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s1600/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, wameandika barua kuliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuandika kimaandishi nyaraka wanazozihitaji azipeleke pamoja na vifungu vya sheria vinavyomtaka awasilishe nyaraka hizo.Barua hiyo iliyosainiwa na Wakili Peter Kibatala iliwasilishwa jana mchana katika jeshi hilo, ikiwa ni siku moja baada ya jeshi hilo kumtaka Askofu Gwajima kuwasilisha nyaraka 10, Aprili 16 mwaka huu watakapoendelea na mahojiano.
Gwajima...
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba
Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-niM0Gpu_Rxw/U58URqVpIII/AAAAAAAABQE/VC21qXrf9us/s72-c/CHENGE2.jpg)
MVUTANO BAJETI
Kamati ya Bunge yasema serikali haitaki kusikiliza ushauri Yadaiwa haiumizi kichwa kusaka vyanzo vingine vya mapato Yabanwa na kutakiwa kurejesha mikopo ya mifuko ya hifadhi
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
UCHAMBUZI wa bajeti ya Serikali ya mwaka 2014/2015 uneonyesha kuwa mzigo wa matumizi ni mkubwa ikilinganishwa na vyanzo vya mapato.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ya Bunge, Andrew Chenge, alipokua akiwasilisha taarifa ya kamati yake bungeni.
![](http://4.bp.blogspot.com/-niM0Gpu_Rxw/U58URqVpIII/AAAAAAAABQE/VC21qXrf9us/s1600/CHENGE2.jpg)
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Viongozi Afrika na mvutano wa Madaraka
Siku ya demokrasia ya BBC inatoa tathimini kuhusu Viongozi wa Afrika na namna wanavyokiuka misingi ya Katiba
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Mvutano wa kikatiba wafukuta AFP
Mgongano zaidi umejitokeza kwenye Chama cha Alliance of Tanzania Farmers (AFP) baada ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Rashid Rai kusema kwamba hakuna kifungu cha katiba yao kinachoruhusu kumfukuza mwanachama bila ya baraka za Mkutano Mkuu wa Taifa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania