Mwaka mpya, tujenge nchi kwa pamoja
Ijumaa ijayo Watanzania wote tunaingia Mwaka Mpya wa 2016. Kwangu binafsi mwaka 2015 umekuwa wa bahati mbaya ya kukumbwa na balaa baada ya kampuni yetu kupoteza wafanyakazi wawili, Robert Tillya na Haruni Sanchawa, hakika yalikuwa mapigo mazito lakini hayo yote mimi na wenzangu tunamuachia Mungu.
Ndugu zangu,
Kwangu mwaka 2016 nadhamiria uwe ni wa kusonga mbele kwa kila Mtanzania. Na ningependa sote tuwe na dhamira hiyo ya kusonga mbele kama watu binafsi na kama taifa. Tutangulize zaidi...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi16 Jun
10 years ago
Vijimambo01 Jan
TASWIRA YA VIMONDO VYA CHAMLASHAMLA YA MWAKA MPYA KUTOKA NCHI MBALIMBALI DUNIA
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/12/31/2458F96400000578-2892275-image-m-96_1420038455199.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/01/245A049200000578-2892866-image-a-37_1420072213291.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/01/245A033400000578-2892866-image-a-30_1420071597874.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/01/2459FFAD00000578-2892866-image-a-24_1420071197205.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LliHLlOZCXk/VnwD9P5RyVI/AAAAAAAIOUU/jjK_N9IlRTY/s72-c/p4.jpg)
Asasi ya Tushikamane Pamoja Foundation (TPF) yawaandalia Wazee wasiojiweza sherehe ya Krismas na Mwaka Mpya Courtyard protea hotel jijini Dar es salaam
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Kabla ya kuuanza mwaka mpya, kutana na video ya matukio ya soka ya kuchekesha kwa mwaka 2015 …
Mtu wangu wa nguvu najua tunaelekea kuuaga mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016. Kaabla ya kumalizika mwaka 2015 naomba nikusogezee video ya matukio ya kuchekesha katika soka yaliyotokea kwa mwaka 2015. Katika hii video kuna matukio ya Pep Guardiola na Frank Ribery. Jamaa kumbiss Zlatan Ibrahimovic. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka […]
The post Kabla ya kuuanza mwaka mpya, kutana na video ya matukio ya soka ya kuchekesha kwa mwaka 2015 … appeared first on...
9 years ago
MichuziKUPATANA WAUAGA MWAKA KWA KUKUTANA PAMOJA NA WADAU WAO
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Kupatana.com wauaga mwaka kwa kukutana pamoja na wadau wao
Makusaro Tesha akizungmza na wadau mbalimbali wa kupatana wa KUPATANA waliojumuika na watumishi katika tafrija ya kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya. Tafrija hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Kupatana.com ni website ya matangazo madogo madogo ya bidhaa mbalimbali kutoka kwa wauzaji hapa Tanzania. Website hii ilianzishwa rasmi mnamo mwaka 2013 ambapo wakati wa kuanzishwa kwake ilikuwa ikitembelewa na watu takriban elfu tatu kila siku.
Makusaro Tesha akizungmza...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-IwBQk1F2mdI/Xl0AawbyOCI/AAAAAAACz3g/Axsc18AWnvguJkVASlgTXpK3Pec8yjSZwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NCHI WANACHAMA WA SADC KUIMARISHA SERA NA KUJENGA MIKAKATI YA PAMOJA YA KUKUZA AJIRA KWA VIJANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IwBQk1F2mdI/Xl0AawbyOCI/AAAAAAACz3g/Axsc18AWnvguJkVASlgTXpK3Pec8yjSZwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akifungua Mkutano wa Makatibu Wakuu, Maafisa Waandamizi na Wadau wa Utatu wa Jumuiya hiyo wanaosimamia Sekta ya Kazi na Ajira hii leo Machi 2, 2020 Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Bw. Andrew Massawe alisema kuwa Mkutano huo umewakutanisha...
10 years ago
Vijimambo17 Oct
MUNGU AZIDI KUILINDA AMANI YA NCHI YETU YA TANZANIA NASI KWA PAMOJA TUIONE THAMANI YAKE
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
Nchi imejiandaa vipi kwa mwaka 2016?
"UCHUMI mnao, lakini mmeukalia!” Utotoni nilipata kusikia redioni kauli hii ya Mwalimu .
Maggid Mjengwa