Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwana Habari Luqman Maloto azindua kitabu cha wagombea Urais

Mwandishi wa habari mzoefu, Luqman Maloto akikitambulisha kitabu chake kijulikanacho kwa jina la “The Special One 2015 Nani Ajaye?” wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.Mwandishi wa habari mzoefu, Luqman Maloto akimkabidhi mwandishi wa habari wa televisheni ya TBC, Angella Msangi kitabu chake kijulikanacho kwa jina la “The Special One 2015 Nani Ajaye?”.Mwandishi wa habari mzoefu, Luqman Maloto akimkabidhi mwandishi wa habari wa gazeti la Tanzania Daima, Tatu Mohamed kitabu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Iddi azindua rasmi kitabu cha Historia ya Vyombo vya Habari Zanzibar

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi kitabu cha Historia ya Vyombo vya Habari Zanzibar hapo katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Bweach Resort Mbweni nje kidogo ya mji wa Zanzibar. Anayemsaidia kufungua ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania { MCT } Kajubi Mukanjanga na kulia ya balozi ni Mkuu wa Mkoa Mjini Maghribi Mh. Abdulla Mwinyi.  Balozi Seif akinyanyua kopi ya vitabu viwili vinavyoelezea Historia ya Vyombo vya Hbari Tanzania kulia yake ...

 

11 years ago

GPL

NAIBU WAZIRI WA HABARI, VIJANA, NA MICHEZO AZINDUA RASMI KITABU CHA "HISTORIA YA KLABU YA SIMBA" KILICHOANDIKWA NA MWINA KADUGUDA‏

 Mwina Kaduguda Mtunzi wa kitabu cha "HISTORIA YA SIMBA" akielezea kwa kina Magumu gani amepitia wakati anaanza kuandaa kitabu hicho,Wa kwanza Kushoto ni Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Juma Nkamia na Katikati ni Mkurugenzi wa Mkuki na Nyota Bwana Mkuki Bgoya ambao ndio wachapishaji wa kitabu hicho.Akielezea kwa ufupi Mwina Kaduguda amesema kwamba Dhumuni kubwa la Kutunga kitabu hicho...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Warioba azindua kitabu cha Dk. Mvungi

KATIKA maadhimisho hayo ya 19 ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Jaji Warioba alipewa heshima ya kuzindua kitabu knachohusu maisha na kazi za kisheria alizopata kuzifanya na...

 

10 years ago

GPL

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AZINDUA KITABU CHA KIHISTORIA

Mwandishi wa kitabu cha kihistoria na Mhariri Mkuu, Simai Mohammed Said akizungumza jambo wakati wa uzinduzi wa kitabu hicho. Mchapishaji wa kitabu hicho, Javed Jafferji akizungumza jambo wakati wa uzinduzi wa kitabu hicho.…

 

10 years ago

Mwananchi

Kitabu cha ‘urais’ wa Makamba

Ni dhahiri mpambano wa kuwania urais ndani ya CCM unazidi kunoga, ikiwa imebakia miezi michache kabla ya kupulizwa rasmi kipenga.

 

10 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA CHADEMA NA MBUNGE WA HAI FREEMAN MBOWE AZINDUA KITABU CHA UTEKELEZAJI AHADI ZA JIMBO LA KAWE

 Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akisalimiana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima wakati wa mkutano wa hadhara uliokwenda sambamba na uzinduzi wa kitabu cha utekelezaji wa ahadi za jimbo la Kawe.Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe  akizindua kitabu cha ukekelezaji wa ahadi za jimbo la Kawe kulia ni Mbunge wa Kawe-Chadema Halima Mdee Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe akihutubia. Umati wa watu waliohudhuria mkutano huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kibano cha wagombea urais CCM hiki hapa

Masharti yaliyomo katika fomu za wagombea urais za CCM huenda yakawa mtihani kwa baadhi yao, hasa katika kipengele kinachohoji iwapo mgombea aliwahi kujiunga na chama kingine cha siasa zaidi ya Tanu na Afro Shiraz Party (ASP).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani