Mwanablogu achapwa viboko hadharani
Mwanablogu nchini Saudia amechapwa viboko hadharani kwa madai ya kutusi dini ya kiislamu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVKNEa5YXHZ32E5tZq*2JZ1QaNPXKa0H1HfBtRgr4wsooUm3Xhbs9e7-poDqPMbWJrBuOwZYFoGlWY*wOg7DPEuS/achapwa.jpg)
ACHAPWA VIBOKO 120 KWA UUCHAFU, AZIMIA
Stori: Joseph Ngilisho, Arumeru
SHERIA iliyopitishwa na wakazi wa Arumeru mkoani Arusha ya kuwachapa viboko 70 hadi 120 wasichana wanaovaa nusu uchi na wavulana wanaovaa mlegezo, kuvuta bangi, wizi, matusi na ulevi nyakati za kazi imeanza kufanya kazi baada ya kijana Zakayo Leonard (26) kuchapwa viboko 120 kwa makosa mbalimbali likiwemo uchafu wa kutofua nguo zake. Kijana Zakayo Leonard (26) akitumikia adhabu ya viboko 120. ...
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Saudia yaahirisha viboko vya mwanablogu
Mamlaka nchini Saudi Arabia kwa mara nyengine tena imeahirisha adhabu nyengine ya viboko dhidi ya mwanablogu Raif Badawi.
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Nadal achapwa tennis Australia
Tomas Berdych amemchakaza Rafael Nadal katika michuano ya tenisi ya Melbourne, Australia kwa seti 6-2 6-0 7-6 (7-5)
10 years ago
Habarileo18 Oct
Mtoto wa miaka 8 achapwa na kumwagiwa maji moto
MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka minane amechapwa viboko na kumwagiwa maji ya moto na mama yake kwa kambo kwa kuchelewa kuwapa wadogo zake chakula cha mchana.
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
Mwanablogu auawa kinyama Bangladesh
Mwanablogu mmoja mwenye asili ya Marekani na ile ya Bangladeshi- maarufu kwa maoni ya kumkana Mungu ameuawa kinyama
10 years ago
BBCSwahili07 Jun
Mwanablogu aliyetusi uislamu kuadhibiwa
Mahakamu kuu nchini Saudia imeamua kuwa hukumu ya kifungo cha miaka 10 na viboko 1000 dhidi ya mwanablogu Raif Badawi aliyepatikana na hatia ya kutukana Uislamu itabaki vile ilivyo
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Mwanablogu taabani baada ya kichapo
Saudi Arabia imaeahirisha adhabu ya kumchapa viboko mwanablogu Raif Badawi kwa sababu ya afya yake.
10 years ago
BBCSwahili08 Aug
Mwanablogu mwengine auawa Bangladesh
Umati wa watu ulimshambulia mwanablogu huyo na kumkatakata kwa madai kuwa alikuwa akikufuru katika maandishi yake.
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Mwanablogu ashtakiwa kwa kumdharau rais
Mwanablogu maarufu lakini anayezusha mzozo Kenya ameshtakiwa kwa kumdharau rais,
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania