Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanablogu achapwa viboko hadharani

Mwanablogu nchini Saudia amechapwa viboko hadharani kwa madai ya kutusi dini ya kiislamu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ACHAPWA VIBOKO 120 KWA UUCHAFU, AZIMIA

Stori: Joseph Ngilisho, Arumeru
SHERIA iliyopitishwa na wakazi wa Arumeru mkoani Arusha ya kuwachapa viboko 70 hadi 120 wasichana wanaovaa nusu uchi na wavulana wanaovaa mlegezo, kuvuta bangi, wizi, matusi na ulevi nyakati za kazi imeanza kufanya kazi baada ya kijana Zakayo Leonard (26) kuchapwa viboko 120 kwa makosa mbalimbali likiwemo uchafu wa kutofua nguo zake. Kijana Zakayo Leonard (26) akitumikia adhabu ya viboko 120. ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudia yaahirisha viboko vya mwanablogu

Mamlaka nchini Saudi Arabia kwa mara nyengine tena imeahirisha adhabu nyengine ya viboko dhidi ya mwanablogu Raif Badawi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nadal achapwa tennis Australia

Tomas Berdych amemchakaza Rafael Nadal katika michuano ya tenisi ya Melbourne, Australia kwa seti 6-2 6-0 7-6 (7-5)

 

10 years ago

Habarileo

Mtoto wa miaka 8 achapwa na kumwagiwa maji moto

MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka minane amechapwa viboko na kumwagiwa maji ya moto na mama yake kwa kambo kwa kuchelewa kuwapa wadogo zake chakula cha mchana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanablogu auawa kinyama Bangladesh

Mwanablogu mmoja mwenye asili ya Marekani na ile ya Bangladeshi- maarufu kwa maoni ya kumkana Mungu ameuawa kinyama

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanablogu aliyetusi uislamu kuadhibiwa

Mahakamu kuu nchini Saudia imeamua kuwa hukumu ya kifungo cha miaka 10 na viboko 1000 dhidi ya mwanablogu Raif Badawi aliyepatikana na hatia ya kutukana Uislamu itabaki vile ilivyo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanablogu taabani baada ya kichapo

Saudi Arabia imaeahirisha adhabu ya kumchapa viboko mwanablogu Raif Badawi kwa sababu ya afya yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanablogu mwengine auawa Bangladesh

Umati wa watu ulimshambulia mwanablogu huyo na kumkatakata kwa madai kuwa alikuwa akikufuru katika maandishi yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanablogu ashtakiwa kwa kumdharau rais

Mwanablogu maarufu lakini anayezusha mzozo Kenya ameshtakiwa kwa kumdharau rais,

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani