Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACHAPWA VIBOKO 120 KWA UUCHAFU, AZIMIA

Stori: Joseph Ngilisho, Arumeru
SHERIA iliyopitishwa na wakazi wa Arumeru mkoani Arusha ya kuwachapa viboko 70 hadi 120 wasichana wanaovaa nusu uchi na wavulana wanaovaa mlegezo, kuvuta bangi, wizi, matusi na ulevi nyakati za kazi imeanza kufanya kazi baada ya kijana Zakayo Leonard (26) kuchapwa viboko 120 kwa makosa mbalimbali likiwemo uchafu wa kutofua nguo zake. Kijana Zakayo Leonard (26) akitumikia adhabu ya viboko 120. ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mwanablogu achapwa viboko hadharani

Mwanablogu nchini Saudia amechapwa viboko hadharani kwa madai ya kutusi dini ya kiislamu.

 

10 years ago

Habarileo

Jela miaka 60, viboko 12 kwa kubaka wasichana kwa zamu

Pingu.MAHAKAMA ya Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, juzi imemhukumu mwanamume mmoja Festo Domisian (30), mkazi wa wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, kutumikia kifungo cha miaka 60 jela pamoja na kuchapwa viboko 12, baada ya kupatikana na hatia ya kubaka wasichana wawili kwa zamu akiwa na kisu na kumjeruhi mmoja wao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wachapwa viboko kwa kushindwa kulipia mahafali

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida na kushangaza wanafunzi wa shule ya Sekondari Kivukoni katika halmashauri ya mji wa Geita Mkoani hapa wamepewa adhabu ya viboko wakilazimishwa kuchangia sherehe ya kuhitimu...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mzee ‘kuchapwa viboko 360’ kwa sababu ya pombe

Mzee wa miaka 74, raia wa Uingereza aliyepatikana na mvinyo nchini Saudi Arabia, huenda akacharazwa viboko 360 kwa kosa hilo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Siku 120 zilivyoacha maswali kwa Watanzania

BUNGE Maalum la Katiba lilihitimisha kazi yake kwa kupitisha Katiba inayopendekezwa baada ya kudai kupata theluthi mbili za wajumbe wa kila upande wa Muungano. Kutangazwa kwa matokeo hayo kuliwafanya wajumbe...

 

11 years ago

Mwananchi

MAZOEZI DAKIKA 120: Maximo aanza kwa kishindo Yanga

>Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo ameanza kazi yake kwa kishindo jana asubuhi na jioni kwa kuwakimbiza wachezaji wake kwa saa mbili kwenye ufukwe wa Coco na Uwanja wa Bandari, jijini Dar es Salaam.

 

5 years ago

CCM Blog

KENYA YAWATIMUA WACHINA WANNE KWA KOSA LA KUMCHAPA VIBOKO MKENYA ALIYECHELEWA KAZINI


  Raia wanne wa china waliokamatwa na Mkurugenzi wa idara ya upelelezi wa makosa ya jinai (DCI) wanatarajiwa kurudishwa kwao baada ya amri iliyotolewa na Waziri wa mambo ya ndani wa Kenya Fred Matiang'i.
Agizo hilo lilisainiwa na Matiang'i Jumatano baada ya mahakama kuruhusu polisi kuwashikilia wachina wanne kwa siku 15 huku uchunguzi ukiendelea juu ya tukio la kumchapa viboko raia wa Kenya aliyekua akifanya kazi katika mgahawa ulioendeshwa na Wachina hao mjini Nairobi.
Raia hao wa china...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nadal achapwa tennis Australia

Tomas Berdych amemchakaza Rafael Nadal katika michuano ya tenisi ya Melbourne, Australia kwa seti 6-2 6-0 7-6 (7-5)

 

10 years ago

Habarileo

Mtoto wa miaka 8 achapwa na kumwagiwa maji moto

MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka minane amechapwa viboko na kumwagiwa maji ya moto na mama yake kwa kambo kwa kuchelewa kuwapa wadogo zake chakula cha mchana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani