MWANAFUNZI AFARIKI KATIKA JARIBIO LA KUTOLEWA MIMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-1xif-d8lGjE/XkRI7cew9RI/AAAAAAAAmp4/08_uCkcxRd8ohNF1jgH2gCUannXGaV64ACLcBGAsYHQ/s72-c/b0b1652d-bf1d-4f1f-af9d-183e3c3e58dd.jpg)
Na Lydia Lugakila Kagera:-
Kufuatia mwanafunzi wa miaka 14 wa darasa la sita manispaa ya Bukoba mkoani kagera kufariki dunia baada ya jaribio la kutoa mimba kamanda wa polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi amewataka wananchi mkoani humo kuachana na kupata huduma za afya mtaani badala yake waende sehemu ambazo zimeruhusiwa kisheria ambako kuna watalamu wazoefu.
Kauli hiyo imetolewa na kamanda Wa polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi wakati akiongea na waandishi wa habari juu ya matukio mbali...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oB6VN1Gekgc/UuyxT9n0WII/AAAAAAAFKDw/szxxmwArUfE/s72-c/New+Picture+(2).bmp)
MWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BARABARANI JIJINI MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-oB6VN1Gekgc/UuyxT9n0WII/AAAAAAAFKDw/szxxmwArUfE/s1600/New+Picture+(2).bmp)
MWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BARABARANI.
gari ambalo halikuweza kufahamika namba zake za usajili wala jina la dereva wake lilimgonga mtembea kwa miguu mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya msingi mbuyuni aliyetambulika kwa jina la daima faida (08) mkazi wa mbuyuni na kusababisha kifo chake papo hapo. ajali hiyo ilitokea majira ya saa 06:55hrs asubuhi...
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.
KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.
Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...
11 years ago
Habarileo12 Mar
Jela miaka 10 kwa kumpa mimba mwanafunzi
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dodoma imemhukumu mfanyabiashara wa mbuzi, Adam Shaban Hole (46) kwenda jela miaka 10 baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumpa mimba mwanafunzi, kushiriki kumtoa mimba na kusababisha kifo chake.
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Mwalimu jela kwa kumpa mimba mwanafunzi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRcycGhFQwAUH56oxMlO5ZV1ElK9eQKOMQqOvrcDg8phra8vAW*dtdGtQS4u*nrz2y2EYF2eWLfv6ty7di2U*0tX/OfisaElimuMsingiWilayayaNkasiBw.MisanaKwanguraakizungumzanaThehabari.com2.jpg)
MWALIMU SHULE YA MSINGI AMTIA MIMBA MWANAFUNZI WAKE
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-cPynU6bLG6U/U-5P4rRkFOI/AAAAAAAAFEw/5OTCgUXp7E4/s72-c/MJAMZITO.jpg)
MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI AMTUNDIKA MIMBA MWALIMU WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-cPynU6bLG6U/U-5P4rRkFOI/AAAAAAAAFEw/5OTCgUXp7E4/s640/MJAMZITO.jpg)
Hii ni moja ya picha mbalimbali za wajawazito kama inavyonekani siyo ya mwalimu muhusika kwa tukio hilo.
Na Mohab MatukioWAKATI ikiwa imezoeleka kuwa baadhi ya walimu wa kiume huwarubuni wanafunzi wao wa kike na hata kuwaharibia kabisa ndoto zao za kielimu kutokana na kuwapa ujauzito, hali imekuwa tofauti mkoani Rukwa ambako mwanafunzi wa Kidato cha Pili anadaiwa kumzalisha mwalimu wake.
Mwanafunzi huyo aliyemzalisha mwalimu wake ana umri wa miaka 17, wakati mwalimu huyo anayefundisha katika...
10 years ago
CloudsFM09 Jan
MWANAFUNZI ABAKWA, AFARIKI
MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Rwanda Nzovwe jijini Mbeya , Elika Mkubwa (8), amefariki dunia baada ya kubakwa na watu wasiojulukana.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema baada ya watu hao kufanya unyama huo, waliuweka mwili wa mtoto huyo katika sinki la kuogea kwenye nyumba moja ambayo haijakamilika ujenzi wake. Pamoja na hayo, alisema upelelezi bado unaendelea ili kuwabaini waliohusika na tukio hilo.
Akizungumza eneo la tukio, kiongozi wa Mtaa wa...
10 years ago
GPL16 May
WANAJESHI WA JARIBIO LA JARIBIO LA MAPINDUZI-BURUNDI WALIVYOKAMATWA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-uF-jR-abTls/XkThoCHKsPI/AAAAAAAAuyM/IVUvswzR-u0Vc8keXjQERN6jOR78a93wgCLcBGAsYHQ/s72-c/EC9zhJnXsAUMZlO.jpg)
MUUGUZI ALIYETUMBULIWA VYETI FEKI MBARONI KUMTOA MIMBA MWANAFUNZI NA KUMSABABISHIA KIFO
![](https://1.bp.blogspot.com/-uF-jR-abTls/XkThoCHKsPI/AAAAAAAAuyM/IVUvswzR-u0Vc8keXjQERN6jOR78a93wgCLcBGAsYHQ/s640/EC9zhJnXsAUMZlO.jpg)
Aliyeuawa ni mwanafunzi wa darasa la sita Shule ya Msingi Kilima, ambapo mtuhumiwa huyo alimtoa mimba kwa njia isiyokuwa halali na salama.
Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, Revocatus Malimi amesema kuwa tukio hilo lilitokea Februari 08 mwaka huu nyumbani kwa Vedastina Cleophace, huku Kahwa ambaye...