Mwanafunzi ‘aiba’ basi ili asikose mtihani
Mwanafunzi mmoja wa shule ya upili Afrika Kusini aliiba basi na kulitumia kufika shuleni ili asikose mtihani wa somo la hesabu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://lh3.googleusercontent.com/-_BozZ42A0o4/VTeOCGtPhqI/AAAAAAAAsYo/7L50h9WPZz8/s72-c/1.jpg)
Walimu Watatu Wamchapa Mwanafunzi wa Kidato cha Pili viboko Hadi Kufariki kwa Kufeli Mtihani wa Kiswahili huko KITETO
![](http://lh3.googleusercontent.com/-_BozZ42A0o4/VTeOCGtPhqI/AAAAAAAAsYo/7L50h9WPZz8/s640/1.jpg)
11 years ago
Dewji Blog18 May
Ushirikiano wa pamoja unatakiwa ili kujenga nidhamu ya mwanafunzi
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo
Ushirikiano wa pamoja unatakiwa baina ya wanafunzi, walezi, wazazi, jamii na walimu ili kuweza kujenga, kuimarisha na kukuza nidhamu , mwenendo na tabia ya mtoto jambo ambalo litaleta mafanikio chanya pamoja na kutatua changamoto za kitaaluma na kimazingira.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na walimu pamoja na wanafunzi wa shule ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
BASI LA AM COACH LAPATA AJALI IPULI NA KUSABABISHA KIFO CHA MWANAFUNZI MMOJA
9 years ago
Raia Mwema20 Sep
Tunaegesha basi mbele ya goli letu ili wengine wasifunge bao
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.
KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.
Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...
10 years ago
Habarileo06 Oct
'Hausigeli' aiba milioni 2.6/-
MSICHANA anayefanya kazi za ndani katika mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, anadaiwa kuiba Sh milioni 2.6 mali ya mwajiri wake.
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Imamu aiba nguruwe
KATIKA hali isiyo ya kawaida, aliyekuwa Imamu wa Msikiti wa Kisesa uliopo Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, Salum Yusuph, amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira baada ya kukamatwa akiwa ameiba...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wri1xbSz2-4DTb1IyGn4U9c*rWeu4PzpJiEp82kyLKYcIqpejTZAgelzv7IBiVc16cghoazVelBu-F3o2Q1YMY9sbuw77Eyy/mjamzito.jpg?width=650)
MJAMZITO FEKI AIBA KICHANGA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZNK3jS3L5XU/XkayhLVof6I/AAAAAAALdaI/T9Vf-RGRzQ0G8skNUSAUYROSilhSpmfWwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-14%2Bat%2B5.37.35%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MUUMINI AIBA SADAKA ZA KANISA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZNK3jS3L5XU/XkayhLVof6I/AAAAAAALdaI/T9Vf-RGRzQ0G8skNUSAUYROSilhSpmfWwCLcBGAsYHQ/s320/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-14%2Bat%2B5.37.35%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
Imeelezwa kuwa kanisa hilo lilitazama video zilizofichwa (CCTV) baada ya kugundua kuwa fedha zimepotea kutoka kasha maalumu zilipohifadhiwa na kugundua kuwa Peter alitengeneza njia kanisani humo na kutumia waya mwembamba kutoa fedha hizo kutoka katika kasha.
Kwa...