Ushirikiano wa pamoja unatakiwa ili kujenga nidhamu ya mwanafunzi
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo
Ushirikiano wa pamoja unatakiwa baina ya wanafunzi, walezi, wazazi, jamii na walimu ili kuweza kujenga, kuimarisha na kukuza nidhamu , mwenendo na tabia ya mtoto jambo ambalo litaleta mafanikio chanya pamoja na kutatua changamoto za kitaaluma na kimazingira.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na walimu pamoja na wanafunzi wa shule ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Ushirikiano wa pamoja unatakiwa ili kuhakikisha wagonjwa wanaougua saratani wanapata matibabu
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo, New York
Ushirikiano wa pamoja unatakiwa ili kuhakikisha wagonjwa wanaougua saratani za mlango wa kizazi, matiti na tezi dume wanapata matibabu kwa wakati na hivyo kupunguza idadi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo.
Rai hiyo imetolewa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwenye mjadala wa wake wa marais wa Afrika wa kupambana na saratani za mlango wa kizazi, matiti na tezi dume uliofanyika katika kituo cha Ubunifu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kpqze0HdxkU/XuccCosWCWI/AAAAAAALt3U/YlFkJtQerHQAZeLcrVjTaHbz6s55aLxfACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B12.56.24%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
BASATA YAKUTANA NA WADAU WA SANAA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA KUJENGA MIPANGO YA PAMOJA
Lengo ni kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi hizi mbili kwa kuweka mipango ya pamoja ya utendaji kazi katika mwaka wa fedha 2020/2021.
Katika kikao hiki taasisi hizi mbili zimekubaliana kufanya kazi kwa pamoja katika maeneo ya kuwajengea uwezo wasanii na wadau wa sanaa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ew9lsJazTC4/Xm_dvnO7KqI/AAAAAAALkAY/JswAr-Zvo78Qi_qGzWBrAYoNgDAPj8w9QCLcBGAsYHQ/s72-c/52190608_303.jpg)
ASASI ZA KIRAIA ZAUNGANA WILAYANI ILALA KWA AJILI YA KUJENGA NGUVU YA PAMOJA ILI KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI
KUENDELEA kukithiri kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi wilayani Ilala jijini Dar es Salaam , asasi mbalimbali za kiraia wilayani humo zimeungana kwa ajili ya kujenga nguvu ya pamoja kuhakikisha wanakabiliana na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabia yanchi.
Miongoni mwa nguvu wanayotaka kujenga katika wilaya hiyo ni pamoja na kuhakikisha kunakuwa wa kutosha kwa jamii kuhusu mabadiliko ya tabianchi ambapo watapata nafasi na uwezo wa kuripoti...
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Kipaji ni pamoja na nidhamu
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Mwanafunzi ‘aiba’ basi ili asikose mtihani
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-icTKb9KunkQ/Ver6_BoqJiI/AAAAAAAAYzs/gi-9Yy30j4M/s72-c/GOO%2BBLOG.jpg)
PPF, NHIF WAFANYA BONANZA LA PAMOJA KUONYESHA USHIRIKIANO
![](http://1.bp.blogspot.com/-icTKb9KunkQ/Ver6_BoqJiI/AAAAAAAAYzs/gi-9Yy30j4M/s640/GOO%2BBLOG.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5ddLpBu8wV4/Uy9BmIheV6I/AAAAAAAFVx8/PLiufKNP-gY/s72-c/unnamed+(88).jpg)
TIC yasaini mkataba wa ushirikiano wa pamoja na Kampuni ya Tanga Fresh Ltd
![](http://1.bp.blogspot.com/-5ddLpBu8wV4/Uy9BmIheV6I/AAAAAAAFVx8/PLiufKNP-gY/s1600/unnamed+(88).jpg)
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-3qj0csdRV38/Ver7PwDjtRI/AAAAAAAAY1A/9z0VOL3sqoc/s640/mazoezi4%2Bblog.jpg)
PPF, NHIF WAFANYA BONANZA LA PAMOJA KUONYESHA USHIRIKIANO
9 years ago
Dewji Blog05 Oct
Magufuli amshawishi MO kujenga kiwanda Singida ili kutoa fursa ya ajira
Mgombea urais kupitia tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli akimwaga sifa kwa aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Singida Mjini (Mbunge Mstaafu), Mohamed Dewji baada ya kutumikia vyema na kwa uadilifu kiti chake cha Ubunge jimboni humo wakati wa mkutano wa kampeni za mgombea urais huyo kwa tiketi ya CCM uliofanyika katika viwanja wa Peoples mjini humo.
Na Nathaniel Limu, Singida
MGOMBEA urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli,amemshawishi aliyekuwa mbunge wa jimbo la Singida mjini Mohammed...