Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanafunzi bora ataka udaktari

MWANAFUNZI aliyeongoza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka jana, Hussein Hemed Hussein, kutoka Shule ya Msingi Tusiime ya Tabata jijini Dar es Salaam amesema ndoto yake ni kuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Lishe bora ina nafasi katika maendeleo ya mwanafunzi

KWA mara ya kwanza kushiriki matembezi ya kuchangia chakula kwa watoto wa shule ilikuwa mwaka 2007, nilitembea kutoka ofisi za Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Matafa (WFP) karibu na ulipokuwa ubalozi wa Marekani hadi viwanja vya Karemjee.

Sikuchangia kiasi kikubwa cha fedha lakini niliamini moyoni kushiriki kwangu kulikuwa msaada mkubwa kwa watoto wa shule wanaoshinda na njaa, mpango huu hufanyika kila mwaka kwa lengo la kuchangisha fedha kutoka kampuni na watu binafsi ili...

 

5 years ago

Michuzi

PRAKITI MALLA, MWANAFUNZI MWENYE MWANDIKO BORA ZAIDI


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MWANDIKO wa mwanafunzi Prakiti Malla (16) maarufu kama "Microsoft Word" binti kutoka Nepal umevunja rekodi ya kuwa mwandiko bora zaidi kuwahi kutokea, katika mitandao mbalimbali ya kijamii hati za mwandiko wa binti huyo zimekuwa zikisambaa na kusifiwa kwa namna ulivyoumbwa kwa namna kuvutia na kusomeka kwa urahisi.
Baadhi ya watu wamekuwa wakitumia muda mwingi zaidi katika shule za awali katika kuumba herufi na stadi za uandishi na wachache hufanikiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

KHALID KASSIM MOHAMED: Mwanafunzi bora Zanzibar anayelilia uprofesa

“MATARAJIO yangu ni kuendelea na elimu ya juu ili nifikie ndoto zangu za kuisaidia familia na nchi yangu.” Hiyo ni kauli ya Khalid Kassim Mohamed (15), mwanafunzi bora kwa kufanya...

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU

Nyakaho Marungu akiwa kwenye pozi na rafiki yake Fauzia ambae wote wamemaliza kidato cha nne Baobab Secondary School.
Mama mzazi wa Nyakaho, Celestina Maro (kushoto)
MSICHANA Nyakaho Marungu (16) mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Baobab,iliyopo Mapinga Bagamoyo mkoani Pwani aliyeibuka mwanafunzi bora wa mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014 nchini, amewataka viongozi nchini kuwa wakweli na waadilifu ili kuiletea nchi maendeleo na kutokumuudhi Mwenyezi Mungu.Akizungumza na GPL nyumbani kwao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kocha bora wa dunia ataka mabadiliko

Kocha wa ujeruman Joachim Low ambae ameteuliwa kuwa kocha bora wa mwaka 2014 ametaka mabadiliko kwenye soka.

 

11 years ago

Mwananchi

Tenga ataka viwango bora vya kodi

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI), Leodegar Tenga ameitaka Serikali kupanga viwango vya kodi kwenye bidhaa vitakavyoweka mazingira bora ya kuendesha viwanda nchini.

 

10 years ago

Dewji Blog

Katibu tawala Singida ataka mikakati kuwekwa kuongeza wakulima wanaotumia mbegu bora

DSC01960

Katibu Tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, akizungumza kwenye ufunguzi wa semina juu ya kuongeza upatikanaji wa mbegu bora na mbolea kwa wakulima wadogo wadogo kwa kuimarisha masoko ya pembejeo katika mikoa ya Singida na Dodoma.

Na Nathaniel Limu, Singida

KATIBU tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, amewahimiza wadau mbalimbali wanaojishughulisha na sekta ya kilimo,kuweka mikakati ya kuhakikisha zaidi ya aslimia 85 ya wakulima wawe wanatumia mbegu bora,ili kuleta mapinduzi ya kweli ya...

 

11 years ago

CloudsFM

POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA

Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...

 

11 years ago

GPL

WANAFUNZI WA UDAKTARI MUHIMBILI HATARINI

-AMA KWELI MGANGA HAJIGANGI
WANAFUNZI wanaosomea udaktari katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas) wanaishi katika mazingira hatarishi kwani wanaweza kupata magonjwa ya mlipuko na yale ya kuambukizwa wakati wowote. Uchunguzi uliofanywa na Operesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers ndani ya majengo ya chuo hicho yaliyo karibu na taasisi ya mifupa (MOI), umegundua kwamba kwa miezi mingi, vyoo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani