Mwanafunzi bora ataka udaktari
MWANAFUNZI aliyeongoza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka jana, Hussein Hemed Hussein, kutoka Shule ya Msingi Tusiime ya Tabata jijini Dar es Salaam amesema ndoto yake ni kuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Lishe bora ina nafasi katika maendeleo ya mwanafunzi
KWA mara ya kwanza kushiriki matembezi ya kuchangia chakula kwa watoto wa shule ilikuwa mwaka 2007, nilitembea kutoka ofisi za Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Matafa (WFP) karibu na ulipokuwa ubalozi wa Marekani hadi viwanja vya Karemjee.
Sikuchangia kiasi kikubwa cha fedha lakini niliamini moyoni kushiriki kwangu kulikuwa msaada mkubwa kwa watoto wa shule wanaoshinda na njaa, mpango huu hufanyika kila mwaka kwa lengo la kuchangisha fedha kutoka kampuni na watu binafsi ili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m7R_n_K-BA0/XsTYrH-AZGI/AAAAAAALq3w/0uqPmyxIrvcxIqYECD_GeEddAdf9galzgCLcBGAsYHQ/s72-c/Best-handwriting--640x360.jpg)
PRAKITI MALLA, MWANAFUNZI MWENYE MWANDIKO BORA ZAIDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-m7R_n_K-BA0/XsTYrH-AZGI/AAAAAAALq3w/0uqPmyxIrvcxIqYECD_GeEddAdf9galzgCLcBGAsYHQ/s640/Best-handwriting--640x360.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MWANDIKO wa mwanafunzi Prakiti Malla (16) maarufu kama "Microsoft Word" binti kutoka Nepal umevunja rekodi ya kuwa mwandiko bora zaidi kuwahi kutokea, katika mitandao mbalimbali ya kijamii hati za mwandiko wa binti huyo zimekuwa zikisambaa na kusifiwa kwa namna ulivyoumbwa kwa namna kuvutia na kusomeka kwa urahisi.
Baadhi ya watu wamekuwa wakitumia muda mwingi zaidi katika shule za awali katika kuumba herufi na stadi za uandishi na wachache hufanikiwa...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
KHALID KASSIM MOHAMED: Mwanafunzi bora Zanzibar anayelilia uprofesa
“MATARAJIO yangu ni kuendelea na elimu ya juu ili nifikie ndoto zangu za kuisaidia familia na nchi yangu.” Hiyo ni kauli ya Khalid Kassim Mohamed (15), mwanafunzi bora kwa kufanya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bOObZmFf0CQ/VOUW2SlK7DI/AAAAAAADZ3w/bMkMgTkhiYo/s72-c/5c003a005857ee318ddc7b03870f17a3.jpg)
MWANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU
![](http://3.bp.blogspot.com/-bOObZmFf0CQ/VOUW2SlK7DI/AAAAAAADZ3w/bMkMgTkhiYo/s1600/5c003a005857ee318ddc7b03870f17a3.jpg)
MSICHANA Nyakaho Marungu (16) mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Baobab,iliyopo Mapinga Bagamoyo mkoani Pwani aliyeibuka mwanafunzi bora wa mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014 nchini, amewataka viongozi nchini kuwa wakweli na waadilifu ili kuiletea nchi maendeleo na kutokumuudhi Mwenyezi Mungu.Akizungumza na GPL nyumbani kwao...
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Kocha bora wa dunia ataka mabadiliko
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Tenga ataka viwango bora vya kodi
10 years ago
Dewji Blog06 Nov
Katibu tawala Singida ataka mikakati kuwekwa kuongeza wakulima wanaotumia mbegu bora
Katibu Tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, akizungumza kwenye ufunguzi wa semina juu ya kuongeza upatikanaji wa mbegu bora na mbolea kwa wakulima wadogo wadogo kwa kuimarisha masoko ya pembejeo katika mikoa ya Singida na Dodoma.
Na Nathaniel Limu, Singida
KATIBU tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, amewahimiza wadau mbalimbali wanaojishughulisha na sekta ya kilimo,kuweka mikakati ya kuhakikisha zaidi ya aslimia 85 ya wakulima wawe wanatumia mbegu bora,ili kuleta mapinduzi ya kweli ya...
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.
KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.
Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox6PNX7KBagGmgI*Wm10V990GU0BK0Vr9aEwiv9nfjtpVyp7kpS1oAR3DA8ZZBuSdEsBbhFrvidAhwrJFC0qqxqH/MUHAS.jpg?width=650)
WANAFUNZI WA UDAKTARI MUHIMBILI HATARINI