Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PRAKITI MALLA, MWANAFUNZI MWENYE MWANDIKO BORA ZAIDI


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MWANDIKO wa mwanafunzi Prakiti Malla (16) maarufu kama "Microsoft Word" binti kutoka Nepal umevunja rekodi ya kuwa mwandiko bora zaidi kuwahi kutokea, katika mitandao mbalimbali ya kijamii hati za mwandiko wa binti huyo zimekuwa zikisambaa na kusifiwa kwa namna ulivyoumbwa kwa namna kuvutia na kusomeka kwa urahisi.
Baadhi ya watu wamekuwa wakitumia muda mwingi zaidi katika shule za awali katika kuumba herufi na stadi za uandishi na wachache hufanikiwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanafunzi bora ataka udaktari

MWANAFUNZI aliyeongoza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka jana, Hussein Hemed Hussein, kutoka Shule ya Msingi Tusiime ya Tabata jijini Dar es Salaam amesema ndoto yake ni kuwa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Lishe bora ina nafasi katika maendeleo ya mwanafunzi

KWA mara ya kwanza kushiriki matembezi ya kuchangia chakula kwa watoto wa shule ilikuwa mwaka 2007, nilitembea kutoka ofisi za Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Matafa (WFP) karibu na ulipokuwa ubalozi wa Marekani hadi viwanja vya Karemjee.

Sikuchangia kiasi kikubwa cha fedha lakini niliamini moyoni kushiriki kwangu kulikuwa msaada mkubwa kwa watoto wa shule wanaoshinda na njaa, mpango huu hufanyika kila mwaka kwa lengo la kuchangisha fedha kutoka kampuni na watu binafsi ili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais bora si lazima awe mwenye fedha

KWA muda mrefu baadhi yetu tumekuwa tukisikia habari za mfululizo, tena kwa kishindo za wanachama wa vyama vya siasa na hasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiweka hadharani nia yao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

KHALID KASSIM MOHAMED: Mwanafunzi bora Zanzibar anayelilia uprofesa

“MATARAJIO yangu ni kuendelea na elimu ya juu ili nifikie ndoto zangu za kuisaidia familia na nchi yangu.” Hiyo ni kauli ya Khalid Kassim Mohamed (15), mwanafunzi bora kwa kufanya...

 

10 years ago

Bongo Movies

RAY: Bora Kujipanga Mwenye Kwenye Harusi Yako

Muigizaji na muongozaji wa filamu Vicent Kigosi  “Ray” akiongea kwenye kipindi cha Television cha  Boys Boys kinachorushwa na kituo cha TV1. Alionekana kupinga swala watu wenye pesa zao lakini bado wanasumbua watu kwa michango ya harusi hivyo akashauri ni bora mtu kabla ya kuoa ajipange na sio kusumbua watuna kadi za michango.

 “Sio mtu unawapa watu mizigo isiyo ya kwao,” alisema. “Kama una uwezo fanya mwenyewe, kwa sababu katika maisha tunaambiwa kuna vitu vitatu, kuzaliwa, harusi na...

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU

Nyakaho Marungu akiwa kwenye pozi na rafiki yake Fauzia ambae wote wamemaliza kidato cha nne Baobab Secondary School.
Mama mzazi wa Nyakaho, Celestina Maro (kushoto)
MSICHANA Nyakaho Marungu (16) mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Baobab,iliyopo Mapinga Bagamoyo mkoani Pwani aliyeibuka mwanafunzi bora wa mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014 nchini, amewataka viongozi nchini kuwa wakweli na waadilifu ili kuiletea nchi maendeleo na kutokumuudhi Mwenyezi Mungu.Akizungumza na GPL nyumbani kwao...

 

9 years ago

Bongo5

Hakuna mtoto wa staa mwenye mvuto zaidi ya Tanzanite — H.Baba

H.Baba amejigamba kwa kusema kuwa hakuna staa wa Tanzania mwenye mtoto mwenye mvuto kumzidi mwanae Tanzanite!!!!??? H.Baba ameiambia Bongo5 kuwa tayari mtoto wake huyo amepata tangazo la kimataifa nchini Kenya. “Mwezi ujao mama yake ana safari naye kwenda Kenya kufanya tangazo,” amesema muimbaji huyo. “Sema tunashindwa kuweka wazi mambo yetu kwa sasabu kuwa watu wanapiga […]

 

10 years ago

GPL

MJUE MWANAMKE MWENYE ‘MAHIPS’ MAKUBWA ZAIDI DUNIANI

Mikel Ruffinelli ndiye mwanamke anayejulikana rasmi kuwa na ‘mahips’ makubwa zaidi duniani. MIKEL RUFFINELLI ndiye mwanamke mwenye ‘mahips’ (nyonga au makalio) makubwa zaidi duniani hivi sasa na ameingia katika Kitabu cha Kumbukumbu za Dunia cha Guinness.  …

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani