Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanahabari wa Global, Haruni Sanchawa alivyozikwa Serengeti-Mara

sanchawaKaburi la aliyekuwa  mwanahabari wa Global, Haruni Sanchawa, baada ya kuzikwa hivi karibuni kijijini kwao Serengeti-Mara.

sanchawa (3) sanchawa (4)Ndugu wakiendelea na kikao kabla ya mazishi.

sanchawa (1)Ndugu jamaa na marafiki wakiwa katika msibani hapo.

sanchawa (2)Mfanyakazi wa Global Publishers, Makongoro Oging’ akipata chochote.

(Picha: Lawrence Kabende Serengeti-Mara/GPL)

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Mfanyakazi wa Global, Haruni Sanchawa aagwa Dar, kuzikwa Serengeti-Mara

DSC_0941Marehemu Haruni Sanchawa enzi za uhai wake.1.Mke wa Marehemu, Adelina Haruni Sancha akiuagwa mwili pamoja na wanaye wawili.Mke wa Marehemu, Adelina Haruni Sancha akiuagwa mwili pamoja na wanaye wawili.2.Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (wa kwanza mbele ) akiwa na huzuni msibani hapo.Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (wa kwanza mbele ) akiwa na huzuni msibani hapo.3.Waombolezaji wakiwa msibani.Waombolezaji wakiwa msibani.4.Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigiongo (wa pili kulia) akiomboleza msibani hapo.Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigiongo (wa pili kulia) na wafanyakazi wa Global wakiomboleza msibani hapo.6.Baadhi ya wafanyakazi wa Global Publishers waomboleza.Baadhi ya wafanyakazi wa Global Publishers wakiomboleza.7.Huzuni ikiwa imetanda msibani hapo.Huzuni ikiwa imetanda msibani hapo.8.Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Haruni Sanchawa likishushwa Nyumbani kwa Mjombake Kitunda Dar kwa ajili ya kuagwa.Jeneza lenye mwili wa marehemu Haruni...

 

9 years ago

Michuzi

Mpiganaji Haruni Sanchawa wa Global Publishers aagwa Dar, kuzikwa Serengeti Mkoani Mara

MWANDISHI wa habari wa Global Publishers Ltd, Haruni Sanchawa, aliyefariki dunia Desemba 9 mwaka huu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar, ameagwa leo nyumbani kwa mjomba wake Kitunda jijini Dar es Salaam na kusafirishwa kuelekea Mugumu-Serengeti, mkoani Mara, ambapo atazikwa kijiji cha Lemungololi.
Sanchawa alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya tumbo, alifariki saa chache baada kuhamishiwa katika hospitali hiyo baada ya kupewa rufaa kutoka Hospitali ya Amana alipokuwa amelazwa kwa siku...

 

11 years ago

TheCitizen

Serengeti expansion splits Mara

The special Mara Regional Consultative meeting yesterday failed to agree on whether or not to annex part of the Speke Gulf in Bunda District which is to be included in the Serengeti National Park (Senapa) area.

 

10 years ago

Michuzi

SERENGETI MARA ECOSYSTEM CENSUS REPORT

 Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu (seated fourth right) in a group photo with the participants who attended the launching of the 2014 Serengeti-Mara ecosystem census report. Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu (facing the camera) in a plenary discussion after the presentation of the 2014 Serengeti-Mara ecosystem census report.SERENGETI MARA ECOSYSTEM CENSUS REPORT

 

10 years ago

WWF

Massive Loss of Elephants in the Mara Serengeti Ecosystem concerns ...


Massive Loss of Elephants in the Mara Serengeti Ecosystem concerns ...
WWF-UK
An aerial report released yesterday in Arusha has revealed a worrying number of elephant carcasses in the world famous Mara-Serengeti ecosystem. A total of 192 elephant carcasses were counted, of which 117 were in Kenya and 75 in Tanzania.
Elephant population triples in Serengeti Maasa Mari – are they fleeing poachers?Wildlife News
Kenya, Tanzania urged to deploy anti-poaching technologiesGlobalPost
Elephant population...

 

10 years ago

StarTV

Katiba inayopendekezwa, Wanaume Serengeti Mara wataka kutambuliwa

Na Ramadhan Mvungi,

Arusha.

 

Wanaume katika Vijiji vya Sing’isi, Isenye na Harara wilayani Serengeti mkoani Mara wamehoji sababu za kutokutambuliwa kwao katika Katiba inayopendekezwa kama ilivyo kwa makundi mengine yakiwemo ya watoto, wanawake na walemavu.

 

Mjadala umejitokeza wakati ambapo Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imeteua taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali kutoa elimu kwa wananchi kuhusu Katiba pendekezwa kabla ya zoezi la upigaji kura linalotarajiwa kufanyika Aprili 30 mwaka...

 

10 years ago

GPL

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani