Mwanahabari wa Global, Haruni Sanchawa alivyozikwa Serengeti-Mara
Kaburi la aliyekuwa mwanahabari wa Global, Haruni Sanchawa, baada ya kuzikwa hivi karibuni kijijini kwao Serengeti-Mara.
Ndugu wakiendelea na kikao kabla ya mazishi.
Ndugu jamaa na marafiki wakiwa katika msibani hapo.
Mfanyakazi wa Global Publishers, Makongoro Oging’ akipata chochote.
(Picha: Lawrence Kabende Serengeti-Mara/GPL)
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Mfanyakazi wa Global, Haruni Sanchawa aagwa Dar, kuzikwa Serengeti-Mara
Marehemu Haruni Sanchawa enzi za uhai wake.
Mke wa Marehemu, Adelina Haruni Sancha akiuagwa mwili pamoja na wanaye wawili.
Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (wa kwanza mbele ) akiwa na huzuni msibani hapo.
Waombolezaji wakiwa msibani.
Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigiongo (wa pili kulia) na wafanyakazi wa Global wakiomboleza msibani hapo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Global Publishers wakiomboleza.
Huzuni ikiwa imetanda msibani hapo.
Jeneza lenye mwili wa marehemu Haruni...
9 years ago
Michuzi12 Dec
Mpiganaji Haruni Sanchawa wa Global Publishers aagwa Dar, kuzikwa Serengeti Mkoani Mara
Sanchawa alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya tumbo, alifariki saa chache baada kuhamishiwa katika hospitali hiyo baada ya kupewa rufaa kutoka Hospitali ya Amana alipokuwa amelazwa kwa siku...
9 years ago
Global Publishers15 Dec
11 years ago
TheCitizen03 Aug
Serengeti expansion splits Mara
10 years ago
MichuziSERENGETI MARA ECOSYSTEM CENSUS REPORT
10 years ago
WWF22 Aug
Massive Loss of Elephants in the Mara Serengeti Ecosystem concerns ...
WWF-UK
An aerial report released yesterday in Arusha has revealed a worrying number of elephant carcasses in the world famous Mara-Serengeti ecosystem. A total of 192 elephant carcasses were counted, of which 117 were in Kenya and 75 in Tanzania.
Elephant population triples in Serengeti Maasa Mari – are they fleeing poachers?Wildlife News
Kenya, Tanzania urged to deploy anti-poaching technologiesGlobalPost
Elephant population...
10 years ago
StarTV01 Apr
Katiba inayopendekezwa, Wanaume Serengeti Mara wataka kutambuliwa
Na Ramadhan Mvungi,
Arusha.
Wanaume katika Vijiji vya Sing’isi, Isenye na Harara wilayani Serengeti mkoani Mara wamehoji sababu za kutokutambuliwa kwao katika Katiba inayopendekezwa kama ilivyo kwa makundi mengine yakiwemo ya watoto, wanawake na walemavu.
Mjadala umejitokeza wakati ambapo Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imeteua taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali kutoa elimu kwa wananchi kuhusu Katiba pendekezwa kabla ya zoezi la upigaji kura linalotarajiwa kufanyika Aprili 30 mwaka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx23UR8UeP9B8OTyPhypEJAvWWR-MRA54Q1bMnapN4mg58IavEAeaSg928eAIHZBOIvNrI0abKlaMD4DBEPH*CDMC/serengetiposter.jpg?width=600)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4iGGfOEDayu7g*owJG6U*4F11NBKyYw-Fl*yW2HKvTHRgZF8TTjzH6mvCwUz40Y*2Dt37VtnWtmJ61Pg2olewu7ayvKK67V3/mmmmmmmmmmmmmmmmm.gif)