Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanaharakati aliyejitolea kubadili mtazamo kuhusu Ukimwi

Phindile Sithole-Spong amekuwa akikabiliana na unyanyapaa dhidi ya watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi na hasa miongoni mwa vijana.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mandela: Mwanaharakati wa Ukimwi

Mwaka 2005, Mandela alitangaza kuwa mtoto wake kijana alifariki kutokana na ugonjwa wa ukimwi na kuwataka watu kujizuia na ngono nzembe

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtazamo wa Nyerere kuhusu Muungano

MWAKA 1995, wakati Tanzania ikielekea kwenye uchaguzi wa kwanza wa mfumo wa vyama vingi, Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere alizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...

 

9 years ago

Bongo5

David Moyes ametoa mtazamo wake kuhusu kocha Louis van Gaal

2FAFDCED00000578-3379123-David_Moyes_has_placed_his_support_behind_Manchester_United_bele-a-108_1451493821789

Kocha wa zamani wa Everton na Manchester United, David Moyes ameeleza mtazamo wake kuhusu kocha wa sasa wa United Louis van Gaal. David Moyes amesema Van Gaal anastahili kupewa muda zaidi huku akiamini kuwa Manchester United inaweza kuzoa mafanikio chini ya Mdachi huyo.

2FAFDCED00000578-3379123-David_Moyes_has_placed_his_support_behind_Manchester_United_bele-a-108_1451493821789

Mashabiki wa United tayari wamepoteza imani kwa Van Gaal huku wakishuhudia klabu yao iliyokosa soka la kuburudisha ikifunga magoli 13 tu msimu huu kwenye Premier League. Lakini licha ya shutuma za mashabiki na wachambuzi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Maswali na majibu kuhusu UKIMWI (2)

Maambukizi ya VVU kwa mashine za kunyolea ni 2% ya maambukizi yote.

 

11 years ago

Mwananchi

Maswali na majibu kuhusu UKIMWI

Moja ya changamoto tulizonazo katika mapambano dhidi ya VVU ni tatizo hilo kugusa kila rika na zaidi hasa vijana ambao wako katika hatari ya kupata maambukizi. Ingawa ugonjwa huu umedumu kwa zaidi ya miaka 30 sasa, lakini bado kuna maswali mengi ambayo watu hawayafahamu kuhusu ugonjwa huu.

 

9 years ago

GPL

FAHAMU MAMBO MUHIMU KUHUSU VVU/ UKIMWI

Wiki hii tunachambua Virusi vya Ukimwi (VVU) na ugonjwa wenyewe, tutaangalia hatua kwa hatua hadi mgonjwa anaonekana kuwa ana Ukosefu wa Kinga Mwilini (Ukimwi). Ili mtu ajulikane kuwa ana VVU /Ukimwi, atapitia hatua nne za lazima kama nitakavyoziainisha.
Hatua ya kwanza hujulikana kitaalam kama Primary HIV Infection ambapo mgonjwa hudumu nayo kwa wiki nne baada ya maambukizi. Watu walio katika maambuki katika hatua hii ni...

 

10 years ago

Tanzania Daima

HAPPINESS MILLEN MAGESA: Mrembo aliyejitolea kuwaokoa wanawake

NI kati ya wanamitindo waliofanikiwa kupitia kazi yake, mwanadada huyu anayeishi na kufanya kazi nchini Marekani ingawa ameamua kuweka kambi nchi ili kuhakikisha anatoa elimu ya kutosha. Huyo sio mwingine...

 

5 years ago

Michuzi

SPIKA NDUGAI ATOA NENO KWA VIONGOZI WAKUU WA DINI KUHUSU MAPAMBANO DHIDI VIRUSI VYA UKIMWI, UNYANYAPAA

 Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamiSPIKA wa Bunge Job Ndugai ameziomba  taasisi za dini pamoja na viongozi wakuu wa dini zote kushiriki kikamilifu katika mapambano dhidi ya maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI huku akitoa rai ya kuondoa unyanyapaa kwa wanaoishi na virusi vya UKIMWI.
Ametoa ombi hilo jijini Arusha wakati akifungua mkutano maalum ulioandaliwa na ofisi yake kupitia NACOPHA chini ya mradi wa Hebu Tuyajenge unaofadhiliwa na USAID kutoka kwa watu wa Marekani. Mutano huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani