Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAPPINESS MILLEN MAGESA: Mrembo aliyejitolea kuwaokoa wanawake

NI kati ya wanamitindo waliofanikiwa kupitia kazi yake, mwanadada huyu anayeishi na kufanya kazi nchini Marekani ingawa ameamua kuweka kambi nchi ili kuhakikisha anatoa elimu ya kutosha. Huyo sio mwingine...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MASIKINI HAPPINESS MILLEN MAGESE!!!

JINA lake kamili anajulikana kama Happiness Millen Magese. Ni mshindi wa Shindano la Miss Tanzania Mwaka 2001.Happiness Magese (35), alikuwa akifanya kazi zake za uanamitindo nchini Afrika Kusini chini ya Kampuni ya Ice Model Management na alikaa huko kwa miaka nane kabla hajahamia katika Jiji la New York, nchini Marekani ambapo amesaini mkataba na Kampuni ya Ford Models mpaka sasa hivi. Ana miaka minne na tayari ameshaongezewa miaka miwili zaidi ya fani hiyo ya uanamitindo duniani.Happiness...

 

11 years ago

GPL

MILLEN HAPPINESS MAGESE: ASIMULIA AMBAVYO HAWEZI KUBEBA UJAUZITO, ASEMA YUPO TAYARI KUASILI

Millen Happiness Magese. Na Martha Mboma
(ANAJIANDAA, anaonekana kuwa ni mtu mwenye hisia sana kabla ya kuanza kuzungumza, anamuuliza jambo Lucy Ngongoseke maarufu kwa jina la Lucy Kiwele ambaye anamwambia ajikaze azungumze, baada ya sekunde kadhaa anaanza kujielezea…) Naitwa Millen Happiness Magese ni mrembo wa Tanzania na Miss Tanzania wa mwaka 2001, kwa sasa nafanya kazi za mitindo nchini Marekani, kabla sijafika...

 

10 years ago

Bongo5

‘Tanzania ni mfano wa kuiga’ asema mrembo wa Burundi kutokana na umoja tulionesha kwa Idris na Happiness Watimanya

Diamond Platnumz na Idris Sultan wameiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia baada ya ushindi wao wa tuzo ya Channel O na Big Brother Afrika. Lakini hayo yote yasingewezekana bila ushirikiano uliooneshwa na Watanzania katika kuwapigia kura. Mwamko huo umeendelea kuonekana pia katika kumpigia kampeni Miss Tanzania, Happiness Watimanywa. Umoja huo umemkuna mrembo wa Burundi anayeishi […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Naiomba Serikali kunipa eneo la Hospitali ya Wanawake — Millen Magese

DSC_0186

MWANAMITINDO wa kimataifa wa hapa nchini na Miss Tanzania 2001 anaefanya kazi yake hiyo nchini Marekani Millen Magese ameiomba serikali kumpatia eneo ambalo atalitumia kujenga hospitali maalum ya kushugulikia afya ya wanawake.

Millen alitoa ombi hilo jana wakati akizungumza na watu mbalimbali waliohudhuria semina ya bure kuhusiana na hali ya Endometriosis inayowakabili wanawake wengi hapa nchini na Afrika kwa ujumla.

Millen anakabiliwa na tatizo hilo la Endometriosis ambalo ni hali ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati aliyejitolea kubadili mtazamo kuhusu Ukimwi

Phindile Sithole-Spong amekuwa akikabiliana na unyanyapaa dhidi ya watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi na hasa miongoni mwa vijana.

 

11 years ago

Dewji Blog

MNEC Magesa ahutubia mkutano wa hadhara Kigamboni

Pic 1

Magesa akisindikizwa na wanachama na wapenzi wa CCM wakati anawasili katika viwanja Kigamboni kuhutubia mkutano wa hadhara.

Pic 2

Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) Ndg. Phares Magesa akihutubia mkutano wa hadhara katika viwanja vya Tua Moyo Kigamboni.

Chama cha Mapinduzi CCM jana tarehe 21/4/2013 kilifanya mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya tuo moyo Kigamboni, mgeni rasmi katika mkutano huo alikuwa ni Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) Ndg. Phares Magesa

Mkutano huo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria yashinikizwa kuwaokoa wasichana

Mwanaharakati, Malala Yousafzai kukutana na rais Goodlack Jonathan kushinikiza hatua zaidi ili kuwakoa wasichana waliotekwa na kundi la Boko Ha

 

11 years ago

BBCSwahili

Wito wa kuwaokoa wasichana Nigeria

Mashambulio ya wapiganaji wa Boko Haram na wasiwasi wa kiusalama yameugubika mkutano wa uchumi duniani Nigeria.

 

9 years ago

Michuzi

HEPI BESDEI YA KUZALIWA MTOTO EUNICE EDSON MAGESA.

Mtoto Eunice Edson Magesa ametimiza miaka mitano. Sisi wazazi wake,majirani wote tunamtakia maisha marefu ya furaha na fanaka katika kila jambo. Happy Birthday dear Eunice!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani