Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAHIP HOP JOH MAKINI AWAPAGAWISHA MASHABIKI WA DAR LIVE KRISMASI

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JOH MAKINI NDANI YA DAR LIVE SIKUKUU YA KRISMASI 2013

Mwana Hip Hop Joh Makini kutoka Kundi la Weusi akiwapagawisha maelfu ya mashabiki waliofurika katika Uwanja wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala - Zakheem, jijini Dar es Salaam sikukuu ya Krismasi.

 

11 years ago

GPL

SNURA AWAPAGAWISHA MASHABIKI KWA MAUNO DAR LIVE

Mwanadada Snura Mushi 'Mamaa Majanga' usiku wa kuamkia leo amewapagawisha vilivyo mashabiki wa Dar Live baada ya kudondosha bonge la shoo sambamba na vijana wake.

 

11 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Unapenda kufahamu collabo ya Joh Makini na Davido imefikia wapi? Joh afunguka

joh davido

Kama unawasiwasi juu akiba ya collabo za kimataifa alizonazo John Simon Mseke a.k.a Joh Makini, ondoa hofu kwasababu ile collabo yake na nyota wa Nigeria, David Adedeji Adeleke a.k.a DaVIDO imeshaingizwa kwenye computer ya studio ya The Industry.

joh davido

Davido anamkubali sana Joh Makini, na alithibitisha hilo September 18, 2015 alipovujisha taarifa ambayo muda wake ulikuwa bado, kuhusu yeye na rapper wa ‘Don’t Bother’, Joh Makini kufanya collabo.

Bongo5 ilipomtafuta Joh Makini wakati huo...

 

5 years ago

Bongo Movies

VideoMPYA: Nikki wa II ft. Joh Makini & S2kizzy ‘hesabu’ Joh Mwalimu.. Wanafunzi ni Ebitoke, Ben Pol, Quick na wengine

Unakaribishwa kuitazama ngoma mpya ya Nikki wa Pili ambayo amewashirikisha Joh Makini na S2Kizzy inaitwa ‘hesabu’ ambapo humo ndani Joh Makini amecheza kama Mwalimu huku Wanafunzi darasani wakiwa ni Ebitoke, Ben Pol, Quick Rocka, Linah na wengine

 

10 years ago

GPL

Hip Hop kuzaliwa upya Dar Live

Niki wa Pili Mwandishi Wetu, Dar es Salaam NYOTA mbalimbali wa Muziki wa Hip Hop Bongo, leo Jumamosi wanatarajiwa kufanya shoo kali katika Tamasha la Rap ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. R.O.M.A. Akizungumza na Championi Jumamosi, mratibu wa tamasha hilo, Nickson George, aliwataja baadhi ya wasanii hao kuwa ni Niki wa Pili, R.O.M.A, Stamina, Young Killer, Godzillah, Adam Mchomvu,...

 

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani