Mwanamke mweusi ndio malkia wa urembo Japan
Ariana Miyamoto aliingia katika shindano la malkia wa urembo nchini Japan baada ya rafikiye mwenye mchanganyiko wa rangi kujiua.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Urembo kwa mwanamke anayelea
Kipindi cha ujauzito wanawake wengi hujikuta wakiacha kuzingatia hatua mbalimbali za kujitunza ili kubaki warembo, matokeo yake hupoteza mvuto.
10 years ago
BBCSwahili08 Nov
USA:Mwanamke mweusi ateuliwa mwanasheria
Rais Brack Obama amemteua mwendesha mashtaka wa mji wa New York Loretta Lynch kuwa mkuu wa sheria nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Mwanamke wa kwanza mweusi kucheza Ballerina
Misty Copeland ni mwanamke wa kwanza mweusi kucheza densi ya Ballerina
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aDRZat70esGfw4s9d60KdCX7aKOpPIvtsRCQkAUNyTz8w-pZJzkxgovsSV9njgyBRj9xU*Mwm93HdgDAHU6S5qc*ja8H4lrv/07lorettalynch.w529.h352.2x.jpg?width=650)
MWANAMKE MWEUSI ATEULIWA KUWA MWANASHERIA MKUU NCHINI MAREKANI
Loretta Lynch ateuliwa kuwa mwanasheria mkuu nchini Marekani. Ikulu ya white house nchini Marekani inasema kuwa rais Brack Obama amemteua mwendesha mashtaka wa mji wa New York Loretta Lynch kuwa mkuu wa sheria nchini humo.Msemaji wa ikulu ya white house alisema kuwa mkuu huyo mpya wa sheria atateuliwa rasmi leo Jumamosi. Ikiwa uteuzi wake utaidhinishwa na bunge la seneti Loretta Lynch atakuwa mwanamke wa kwanza mwenye asili ya...
9 years ago
Bongo509 Oct
Mwanamke wa Kichina maarufu kama ‘Malkia wa Pembe za Ndovu’ akamatwa nchini akisafirisha pembe zenye thamani ya £1.62m
Mwanamke wa China anayedaiwa kuongoza genge kubwa zaidi la usafirishaji pembe za ndovu barani Afrika amekamatwa nchini. Akipewa jina la utani “Ivory Queen”, Yang Feng Glan anadaiwa kusafirisha pembe za ndovu 706 kutoka nchini kwenda Mashariki ya mbali. Glan, 66, anadaiwa kuwa na ukaribu na majangili wa Afrika Mashariki na walanguzi wa China. Anadaiwa pia […]
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Je,huyu ndio mwanamke mrembo duniani?
Nyota huyo wa filamu mwenye umri wa miaka 50 ametangazwa na gazeti la People magazine kama chaguo lake la mwaka 2015.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania