MWANAMUME AJIONGEZEA UREMBO KUFANANA NA KIM
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/19/141219131907_jordan_kim_512x288_bbc_nocredit.jpg?width=650)
Muonekano wa Jordan baada ya kujitahidi kufanana na Kim. Mwanaume aliyejitambulisha kwa jina la Jordan (23) amefanya mambo ya ajabu akijitahidi kufanana na Kim kwa kujiongeza urembo bandia, hasa kufanya midomo yake kuwa mikubwa akitaka ifanane na ya Kim. Kim Kardashian katika pozi. Ametumia…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Mwanamume ajibandika urembo kufanana na Kim
10 years ago
Vijimambo24 Dec
MWANAUME AJIBANDIKA UREMBO KUFANANA NA KIM KARDASHIAN UKISIKIA KEEPING UP WITH THE KARDASHIANS NDIYO HII
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/304/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/19/141219131719_jordan_kim_439x549_bbc_nocredit.jpg)
Sura huonekana katika baadhi ya majarida maarufu duniani, ana kipindi chake maalum kuhusu maisha yake na familia yake, ana kampuni ya vipodozi na pia ana mamilioni ya dola kwenye akauti zake za benki.
Si mwingine bali ni mwanadada Kim Kardashian ambaye yumo vinywani mwa watu wengi duniani.
Sio ajabu kama kuna mtu angetaka kufanana na yeye. Kutana na kijana Jordan James kutoka Uingereza mwenye umri wa miaka 23 ambaye ari yake...
11 years ago
BBCSwahili10 Jun
Je Urembo wa kujichubua ni urembo?
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Kim Jong-un: Ni nani anayeweza kuiongoza Korea Kaskazini bila Kim?
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Kim Yo-jong: Mwanamke mwenye uwezo mkubwa anayeonekana kuwa mrithi wa Kim Jong-un Korea Kaskazini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMvB-JRL7MjZko0tNwm3yQYb8s-a5c1Fsofa7qGbccjgrmAXJVUs12ybBggAQpgw4s2j3nZ8Obk*9bxHHx-Lulfc/blacchynaclothingline4.jpg?width=650)
BLAC CHYNA AFANYIWA UPASUAJI KUFANANA NA KYLIE JENNER
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Irene Paul Awashukia Wanaomponda Kufanana Agelina Jolie
“Insta weka picha maneno WAACHIE WAO halafu kuweni na hoja maana tofauti na hapo zikiwa shangwe au kuzomewa zote KELELE haya halafu uzuri mmoja jamani Mungu si baba yetu wote?kwa hiyo nikijichagulia DADANGU kwa mapenzi basi tafuta wako pia mchague umpende and further more UKIAMBIWA'SIO UKISEMA'kitu kimoja zaidi ya watu ku mi tofauti wasiojuana basi ashakhum si matusi IPITISHWEEEE kufananishwa kila mtu ana fulani WAKUFANANISHWA meaning kuna baadhi ya vitu wamefanana sasa ingekuwa kila kitu si...
10 years ago
Bongo Movies20 May
Msala wa Aunt Ezekiel apewa Monalisa, Kisa Kufanana!
Kutoka Mtandaoni: Kupitia ukurasa wake mtandaoni, staa wa Bongo movies, Aunty Ezekiel aliweka picha hiyo hapo mtandaoni akiwa na staa mwenzake, Monalisa nakuwauliza mashabiki kama wawili hao wanafanana huku akikumbushia msala mabao aliufanya yeye na kukamatwa Monalisa.
“Eti tumefanana???Nishawahi kukosa mm akakamatwa yy jaman!!! Mi sijui ww je?Mtag kama unajuana nae bac....!!!”- Aunty aliandika.
Monalisa Ajibu
Monalisa naye kamjibu Aunty kwa kuweka picha hiyo kwenye ukurasa wake na...
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Wanaofanana na wanasoka, anachukua warembo kwa kufanana na Ronaldo, mwingine alimuweka Messi kwenye headlines
Kwa upande wa Tanzania tumezoea kuona team ya XXL ya Clouds FM kuandaa show ya mwisho wa mwaka kwa ajili ya wanafunzi kuenjoy baada ya kupata muda wa kupumzika kutoka shule au chuo, show hii huwa inaitwa After School Bash, huwa ina vitu vingi, tukiachana na Perfomance za wasanii kuna time watu waliofanana na mastaa […]
The post Wanaofanana na wanasoka, anachukua warembo kwa kufanana na Ronaldo, mwingine alimuweka Messi kwenye headlines appeared first on TZA_MillardAyo.