MWANAMUZIKI JHIKOMAN AMESAHATUA FINLAND KWA MAKAMUZI UGHAIBUNI !
![](http://3.bp.blogspot.com/-D_nI-Mm4_-U/U1luQv5r8mI/AAAAAAAFctE/mO9WpuSXKQk/s72-c/unnamed+(94).jpg)
Mwanamuziki maarufu wa Reggae Afrika mashariki Jhikoman na mzuka wake wa Afrikabisa Band kutoka mjini Bagamoyo, Tanzania ameshatua nchini Finland kwa ziara ya miezi mitatu barani ulaya.
Mwanamuziki huyo alitua katika uwanja wa ndege wa HELISINK mapema leo 24. April 2014, ambako anataraijia kufunika katika maonyesho makubwa ya kimataifa katika nchi za Ujerumani,Finland,Norway na kwingineko
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yT9o34Gdz6I/U4jmnxDuVpI/AAAAAAAFmnY/nhcRwj_FIQg/s72-c/unnamed+(49).jpg)
Mwanamuziki Jhikoman kutoka BAGAMOYO,Tanzania, afanya makubwa ughaibuni
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-j7Yv7F2zFNk/U0VHqxT103I/AAAAAAAFZck/oSMpBsfvS6Y/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Mwanamuziki Jhikoman & Afrikabisa band kuanza Europe Tour mwezi huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-j7Yv7F2zFNk/U0VHqxT103I/AAAAAAAFZck/oSMpBsfvS6Y/s1600/unnamed+(24).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CK0pilBnLJU/VIGvJDmnLxI/AAAAAAAAZQc/tPvrAVbrxEE/s72-c/sauli1.jpg)
JK salutes the President of the Republic of Finland on the occasion of the 97th Anniversary of Finland’s Independence
![](http://3.bp.blogspot.com/-CK0pilBnLJU/VIGvJDmnLxI/AAAAAAAAZQc/tPvrAVbrxEE/s1600/sauli1.jpg)
H.E President Jakaya Mrisho Kikwete of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to H.E. Sauli Niinisto, the President of the Republic of Finland on the occasion of the 97th Anniversary of Finland’s Independence on 6th December, 2014.“His Excellency Sauli Niinisto, The President of the Republic of Finland, Helsinki, FINLAND.It is my pleasure on behalf of the people and the Government of the United Republic...
10 years ago
MichuziDIAMOND NA VIJANA WAKE WAWASILI WASHINGTON, DC TAYARI KWA MAKAMUZI
9 years ago
StarTV19 Aug
YANGA SC YAACHANA NA DILUNGA ‘KWA HERI’, KIKOSI CHAENDELEA NA MAKAMUZI MBEYA
YANGA SC imeachana na kiungo wake Hassan Dilunga, ambaye anahamia Stand United ya Shinyanga.
Katibu wa Yanga SC, Dk. Jonas Tiboroha ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE asubuhi ya leo kwamba, wamefikia makubaliano na mchezaji huyo aliyesajiliwa msimu uliopita kutoka Ruvu Shooting kuvunja Mkataba bila masharti.
Hassan Dilunga sasa si mchezaji wa Yanga SC tena
WALIOTOKA NA KUINGIA YANGA SC
Waliotemwa; Hassan Dilunga, Nizar Khalfan, Danny Mrwanda, Said Bahanuzi, Hamisi Thabit, Omega Seme na...
11 years ago
Michuzi03 Jul
CHEF ISSA ATOA SOMO LA KUBANIKA MKATE KWA KUTUMIA KUNI KWA VIJANA WA SCOUT UGHAIBUNI
![](https://scontent-b-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-prn1/l/t1.0-9/10305428_808682322488784_8591002334508150821_n.jpg)
![](https://scontent-a-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-frc1/t1.0-9/10288801_808682345822115_4972440809963697988_n.jpg)
![](https://scontent-a-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t1.0-9/10302278_808682372488779_7996301001179995890_n.jpg)
![](https://scontent-a-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-frc3/t1.0-9/10269436_808682385822111_6025675356935145069_n.jpg)
10 years ago
VijimamboDIAMOND AWASILI WASHINGTON, DC TAYARI KWA MAKAMUZI YA SHEREHE YA UHURU NUDA NFUPI UJAO
10 years ago
Dewji Blog07 Dec
Diamond awasili Washington, DC tayari kwa makamuzi ya sherehe ya Uhuru muda mfupi ujao
Diamond akiwasili kwenye uwanja wa kimataifa wa Dulles muda huu tayari kwa makamuzi ya sharehe ya Uhuru itayofanyika muda si mrefu Sheraton, ya Downtown Silver Spring, Maryland.
Diamond akimsalimia mwenyeji wake (hawapo pichani) mara tu alipowasili Dulles.
Kutoka kushoto ni Dj Romy Jones, Diamond na mmoja wa waratibu wa sherehe ya Uhuru Bwn. Phanuel Ligate.
11 years ago
GPLALI KIBA ATUA GLOBAL TV ONLINE, AELEZEA ALIVYOJIANDAA KWA MAKAMUZI YA USIKU WA MATUMAINI 2014