Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAMUZIKI JHIKOMAN AMESAHATUA FINLAND KWA MAKAMUZI UGHAIBUNI !

Mwanamuziki maarufu wa Reggae Afrika mashariki Jhikoman na mzuka wake wa Afrikabisa Band kutoka mjini Bagamoyo, Tanzania ameshatua nchini Finland kwa ziara ya miezi mitatu barani ulaya. Mwanamuziki huyo alitua katika uwanja wa ndege wa HELISINK mapema leo 24. April 2014, ambako anataraijia kufunika katika maonyesho makubwa ya kimataifa katika nchi za Ujerumani,Finland,Norway na kwingineko

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mwanamuziki Jhikoman kutoka BAGAMOYO,Tanzania, afanya makubwa ughaibuni

Jhikoman aliwasili Finland tarehe 24.4.2014 kuanza ziara ya kimuziki katika nchi za Ulaya  Nchini Finland amefanya maonyesho sita! Kubwa ni lile alilolifanya Helsinki African Film Festival 16.5.2014  Pia alifanya onyesho la utangulizi kabla ya mkongwe Peetah Morgan wa Morgan Heritage kupanda jukwaani 23.5.2014.  Tarehe 10.5.2014 alifanya onyesho kwenye uzinduzi wa Helsinki African Film Festival!   Jhikoman amefanyakazi studio na msanii mashuhuri wa Hip hop nchini Finland Paleface! Kwa sasa...

 

11 years ago

Michuzi

Mwanamuziki Jhikoman & Afrikabisa band kuanza Europe Tour mwezi huu

Mwanamuziki mwashuhuri wa  Reggae Afrika mashariki Jhikoman kutoka  Bagamoyo Tanzania,anatarajiwa kuondoka nchini katikati ya mwezi huu April 2014 kuanza ziara ya miezi mitatu barani ulaya,ambapo atatumbuiza katika maonyesho makubwa ya kimataifa huko ughaibuni. Baadhi ya festival zitakazo funikwa na mwanamuziki huyo ni Helsink Film Festival kule Finland, na Norway na imebainika kuwa Jhikoman pia atashea uwanza moja wa gwaride na wazee wa kazi FFU Ughaibuni aka "watoto wa mbwa" Ngoma...

 

10 years ago

Michuzi

JK salutes the President of the Republic of Finland on the occasion of the 97th Anniversary of Finland’s Independence

H.E. Sauli Niinisto, President of Finland

H.E President Jakaya Mrisho Kikwete of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to H.E. Sauli Niinisto, the President of the Republic of Finland on the occasion of the 97th Anniversary of Finland’s Independence on              6th December, 2014.“His Excellency Sauli Niinisto,

   The President of the Republic of Finland,

   Helsinki,

   FINLAND.

It is my pleasure on behalf of the people and the Government of the United Republic...

 

10 years ago

Michuzi

DIAMOND NA VIJANA WAKE WAWASILI WASHINGTON, DC TAYARI KWA MAKAMUZI

 Diamond akiwasili kwenye uwanja wa kimataifa wa Dulles muda huu tayari kwa makamuzi ya sharehe ya Uhuru itayofanyika leo  Sheraton ya Downtown Silver Spring, Maryland. Diamond akipungia wenyeji mara tu alipowasili Dulles. Kutoka kushoto ni Dj Romy Jones, Diamond na mmoja wa waratibu wa sherehe ya Uhuru Bw. Phanuel Ligate Moses Iyobo, Dj Romy Jones wakiwa uwanja wa ndege wa kimataifa mara tu baada ya kuwasili kwa ajili ya sherehe ya Uhuru itakayofanyika leo Jumamosi Sheraton ya Downtown...

 

9 years ago

StarTV

YANGA SC YAACHANA NA DILUNGA ‘KWA HERI’, KIKOSI CHAENDELEA NA MAKAMUZI MBEYA

YANGA SC imeachana na kiungo wake Hassan Dilunga, ambaye anahamia Stand United ya Shinyanga.
Katibu wa Yanga SC, Dk. Jonas Tiboroha ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE asubuhi ya leo kwamba, wamefikia makubaliano na mchezaji huyo aliyesajiliwa msimu uliopita kutoka Ruvu Shooting kuvunja Mkataba bila masharti.

Hassan Dilunga sasa si mchezaji wa Yanga SC tena
WALIOTOKA NA KUINGIA YANGA SC
Waliotemwa; Hassan Dilunga, Nizar Khalfan, Danny Mrwanda, Said Bahanuzi, Hamisi Thabit, Omega Seme na...

 

11 years ago

Michuzi

CHEF ISSA ATOA SOMO LA KUBANIKA MKATE KWA KUTUMIA KUNI KWA VIJANA WA SCOUT UGHAIBUNI

Mkate uliotayari kwa kuliwa ooohhh asikwambie mtu saafi sana! Chef Issa anashukuru Allah kupata  bahati ya kualikwa na chama cha scout kwenda kuwafundisha vijana mbinu za mapishi wakiwa porini. Dah! waliipenda na kufagilia sana walitengeneza mkate wa kubanika kwa kutumia mti na moto wa kuni.Kundi la vijana wa scout na uongozi wao hapa ni baada ya kuwasha moto tukisubiri upungue na kuni zote zishike moto tuanze kubanika mkate.Chef Issa (kulia) akiwa na vijana wa scoutHuu ndio mkate wenyewe...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND AWASILI WASHINGTON, DC TAYARI KWA MAKAMUZI YA SHEREHE YA UHURU NUDA NFUPI UJAO

 Diamond akiwasili kwenye uwanja wa kimataifa wa Dulles muda huu tayari kwa makamuzi ya sharehe ya Uhuru itayofanyika muda si mrefu Sheraton, ya Downtown Silver Spring, Maryland. Diamond akimsalimia mwenyeji wake hayupo pichani mara tu alipowasili Dulles. Kutoka kushoto ni Dj Romy Jones, Diamond na mmoja wa waratibu wa sherehe ya Uhuru Bwn. Phanuel Ligate

 

10 years ago

Dewji Blog

Diamond awasili Washington, DC tayari kwa makamuzi ya sherehe ya Uhuru muda mfupi ujao

unnamed

Diamond akiwasili kwenye uwanja wa kimataifa wa Dulles muda huu tayari kwa makamuzi ya sharehe ya Uhuru itayofanyika muda si mrefu Sheraton, ya Downtown Silver Spring, Maryland.

unnamed (1)

Diamond akimsalimia mwenyeji wake (hawapo pichani) mara tu alipowasili Dulles.

unnamed (2)

Kutoka kushoto ni Dj Romy Jones, Diamond na mmoja wa waratibu wa sherehe ya Uhuru Bwn. Phanuel Ligate.

 

11 years ago

GPL

ALI KIBA ATUA GLOBAL TV ONLINE, AELEZEA ALIVYOJIANDAA KWA MAKAMUZI YA USIKU WA MATUMAINI 2014

Ali Kiba akifafanua jambo wakati akihojiwa  ndani ya studio za Global TV Online. Ali Kiba akiwa ametulia mbele ya kamera za Global TV Online. STAA wa Bongo Fleva nchini, Ali…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani