Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwananchi haihusiki na uhuni huu

KAMPUNI ya Mwananchi Communications Limited (MCL) inalaani uhuni ambao umekuwa ukifanywa na baadhi ya watu ya kutengeneza gazeti feki kwenye mitandao ya kijamii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Halmashauri, Tanroads acheni uhuni huu

NILIFURAHISHWA na katuni moja katika gazeti hili hivi majuzi inayomuonyesha askari akimhoji mtu aliyemkuta akinywa pombe wakati wa kazi. Majibu ya mlevi yule ilikuwa ni kumtaka askari aache kumbughudhi mhimili...

 

5 years ago

Michuzi

Mwananchi apanga kufungua shauri,Mahakama izuie uchaguzi mwaka huu,fedha zielekezwe kupambana na Corona



Na Amiri kilagalila,Njombe

Mwananchi mmoja anaefahamika kwa jina la Johnson Mgimba mkazi wa Njombe Mjini amesema kutokana na ugonjwa wa covid19 kuendelea kushika kasi nchini na duniani kote , amekusudia kufungua kesi katika mahakama kuu kanda ya Iringa ya kuomba serikali kusitisha mchakato na maandalizi ya uchaguzi mkuuu na fedha iliyotengwa kuelekezwa katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo.

Raia huyo ambaye amejibatiza jina la kijana mzalendo amesema kuna kila sababu ya kusitisha uchaguzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chalaani uhuni mjengoni

BAADA ya mura Were-maa anayeitwa jaji na mwanasheria mkubwa kulikoroga huku wakubwa zake wakikenua, kijiwe kimeamua kujitoa kimasomaso na kulaani uhuni wake na wa wenzake, hasa wale wanaomkingia kifua au...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uhuni, utoto vitalisambaratisha taifa

RAIS wangu, lilipoibuliwa wazo ovu la vua gamba, timamu hawakushangaa. Jambo la kihuni au la kitoto haliwezi kumshtua mtu mzima. Lilizuliwa kitoto, likatekelezwa kihunihuni na lilipomalizwa kijingajinga, wachezaji wakabaki kuonekana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tusiuvumilie uhuni aliofanyiwa Warioba

SERIKALI imeelezea “ kusikitishwa” kwake na vurugu alizofanyiwa Waziri Mkuu mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba hivi karibuni katika Hoteli ya Blue Pearl,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chalaani uhuni dhidi ya Warioba

JAPO nguli Jose Shinda Warioba si mwanakijiwe wetu, huwa tunamzimii hasa kwa utaua na usafi wake ukiachia mbali ujasiri wake wa kupambana na ufisadi na ushenzi hasa uchakachuaji wa Katiba....

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Sanaa siyo uhuni, tukuze vipaji

>Wakati vijana wa kizazi kipya walipoingia katika medani ya muziki, walijikita zaidi katika utamaduni wa magharibi,  hali iliyokuwa haiendani na maadili na utamaduni wa Mtanzania, hivyo  jamii iliichukulia muziki huo kama ni wa kihuni.

 

10 years ago

Mwananchi

SAFU: Urasta mwafrika mwenzangu siyo bangi, uchafu, uhuni wala ujambazi

Ethiopia imeelea ndani ya habari za kimataifa  wiki hizi mbili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani