Mwanza wapata vifaa vya ebola
HOSPITALI ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza, Sekou Toure imepokea jozi 150 za vifaa vya kujikinga na ugonjwa wa ebola na tayari vimegawiwa katika hospitali sita za mkoa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Vifaa vya kupima Ebola kupitia joto la mwili vyawasili nchini, kuanza kutumika viwanja vya ndege
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kebwe Steven Kebwe akiongea na waandishi wa habari eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati wa kupokea na kukabidhi vifaa vya kupima dalili za ugonjwa wa Ebola. Wengine ni Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Dharula na Maafa (kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas Mwaifani.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO.
Sehemu ya vifaa vya kubaini hatua za awali za ugonjwa wa Ebola kwa kupima hali ya joto la mwili kwa wasafiri kutoka nje...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*VZcZvMzK4F-sZbGzsUxm-G0-U-8wJkMrnFZCRKSk7HWhjZpNfS88gyhtNOf1wLOBuD9WDKT1Ws8SPmMS0EFP9S/unnamed3.jpg?width=650)
VIFAA VYA KUBAINI DALILI ZA AWALI ZA UGONJWA WA EBOLA KUPITIA JOTO LA MWILI VYAWASILI NCHINI, KUANZA KUTUMIKA VIWANJA VYA NDEGE
10 years ago
Habarileo23 Aug
Vifaa vya ebola vyawasili
SERIKALI imeanza kuingiza nchini vifaa vya kuwabaini watu wanaohisiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa homa kali ya ebola ambavyo vitawekwa kwenye viwanja vya ndege pamoja na baadhi ya maeneo ya mipakani.
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Vifaa vya ebola kufungwa mipakani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iXIFPGTlxU0/XsFEicSzciI/AAAAAAALqk0/z1A3Tm2uzp4AmFpazgGAWCJ5xJCxm0kJQCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
SHIA ITHNA ASHERIA MWANZA WAKABIDHI VIFAA KINGA VYA CORONA JESHI LA POLISI
NA BALTAZAR MASHAKA, Mwanza
WAUMINI wa madhehebu ya Khoja Shia Ithna Asheria, jijini Mwanza wamejitosa kwenye mapambano ya vita dhidi ya Homa kali ya Mapafu inayosababishwa na Kirusi cha Corona (Covid-19) kwa kutoa msaada wa vifaa kinga vya ugonjwa huo kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza.
Vifaa kinga hivyo barakoa 300, vitakasa mikono 500 na chupa 500 za sanitizer vilikabidhiwa juzi kwa Ofisa Mnadhimu wa jeshi hilo mkoani humu, Safia Jongo kwa niaba ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza...
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
WHO yatoa vifaa vya dola za Marekani 46,000 kwa serikali ya Tanzania kujihami na Ebola
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (HWO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando, moja ya kompyuta na baadhi ya vifaa tiba vyenye thamani ya dola za Marekani 46,000 vilivyotolewa na WHO kwa Serikali ya Tanzania Dar es Salaam jana, kwa ajili ya maandalizi ya udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza na ebola.
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), na Katibu Mkuu wa Wizara ya...
10 years ago
GPLWHO YATOA VIFAA VYA DOLA ZA MAREKANI 46,000 KWA SERIKALI YA TANZANIA KUJIAMI NA EBOLA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i1HJabJCOBg/XmK4A_hA8CI/AAAAAAALhpg/zeP9944HQP8oeH4cX3OBC-EE_mJVPZoOgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65d957328bd1lddj_800C450.jpg)
Vifaa vya tiba vya kujikinga na Corona vya magendo vyanaswa Morocco vikipelekwa Ulaya
![](https://1.bp.blogspot.com/-i1HJabJCOBg/XmK4A_hA8CI/AAAAAAALhpg/zeP9944HQP8oeH4cX3OBC-EE_mJVPZoOgCLcBGAsYHQ/s640/4bv65d957328bd1lddj_800C450.jpg)
Gazeti la al Quds al Arabi linalochapishwa London limeripoti kuwa, raia mmoja wa Uingereza amekamatwa katika uwanja wa ndege wa Agadir huko kusini magharibi mwa Morocco akijaribu kutorosha maski elfu 16 na kuzipelekea Manchester kwa njia za magendo.
Vilevile maafisa wa forodha wa Morocco wamenasa shehena nyingine iliyokuwa na vifaa vya...
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Coronavirus: White House yakiri Marekani haina vifaa vya kutosha vya kupima virusi vya corona