MWASITI: SITAKI MWANAUME
![](http://api.ning.com:80/files/at5DaH0Gs6nPfLe9YbjoAms*5D9T0AJZGkj1uLvBP3I-8pTaieVOTv7A1DS0E5avv9vnN2Y0UCUXdqTv6ooN74GEQJEIw*JH/mwasity3.jpg?width=650)
Stori: Andrew Carlos STAA anayefanya vizuri kwenye Bongo Fleva akitokea Jumba la Vipaji Tanzania ‘THT’, Mwasiti Almas, amesema kwa sasa hataki kusikia habari za mwanaume kabisa. Staa anayefanya vizuri kwenye Bongo Fleva akitokea Jumba la Vipaji Tanzania ‘THT’, Mwasiti Almas akipozi. Akizoza na mwandishi wetu, Mwasiti alisema: “Sitaki mwanaume, nahitaji kujipanga kimaisha kwanza. Kama kuna mtu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo502 Feb
New Music: Mwasiti — Kisigino
10 years ago
Mtanzania15 May
Mwasiti: Lady Jaydee ananivutia
NA RHOBI CHACHA
MWASITI Almas kama anavyofahamika katika muziki wa Bongo Fleva, ameibuka na kudai kwamba anavutiwa zaidi na msanii mwenzake, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’.
Msanii huyo mwenye sauti nzuri katika nyimbo zake, alisema yeye ni msanii anayevutiwa na wasanii wanaojitambua na wanaofanya vema katika kazi zao za muziki, kama afanyavyo Jaydee ‘Binti Machozi’.
“Yaani mimi huwa sina choyo ya kusifia kama msanii mwenzangu anafanya vema namsifia, sijali nani atasema nini, napenda kazi za...
11 years ago
GPL21 May
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqwfbGiJvV1T0OmU-7srAdhS1tFzy3Gejt*8JB4WFRisvw8crpRIZSH4aYPgC2TKr-8ssKD5-4x2XDTZXTi9Fiv1/mwasiti.jpg?width=650)
MWASITI AANIKA MAISHA YAKE!
11 years ago
GPL08 Mar
10 years ago
Jamtz.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-U9G2t5WzBGo/VGxm48D50vI/AAAAAAAABQg/8VxyVPWe1hc/s72-c/unnamed2.jpg)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-tKuVpFfdkg4/VW3DiOoyNUI/AAAAAAAAB3Y/1guwBC9MUSk/s72-c/tabibu%2Bartwork.png)
10 years ago
Bongo528 Aug
Zitto: Sina uhusiano na Mwasiti wala Diva
9 years ago
Bongo505 Jan
Music: Mwasiti Ft Queen Darleen – Sema Nae
![artist_121bcd964eb23c68f2bb90d5a45f4df6130.jpg](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/artist_121bcd964eb23c68f2bb90d5a45f4df6130.jpg-300x194.png)
Msanii wa kike wa bongo fleva Mwasiti baada ya kufanya vizuri na wimbo wa “Serebuka” ametuletea single mpya inaitwa “Sema Nae” ameamshirikisha Mwanadada mwenzake Queen Darleen. Wimbo umetaalishwa na Producer Lufa & Chizain Brain Studio:Switch Records
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!