Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwelekeo wa Kimbunga cha “HELLEN” na hali ya Mvua

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWELEKEO WA HALI YA JOTO NA MVUA KATIKA KIPINDI CHA JUNI HADI AGOSTI 2014‏

MWELEKEO WA HALI YA JOTO NA MVUA KATIKA KIPINDI CHA JUNI HADI AGOSTI 2014 Taarifa hii inatoa mwelekeo wa mifumo ya hali ya hewa, joto na mvua katika kipindi cha miezi ya Juni hadi Agosti (JJA) 2014. RAMAMI INAONESHA HALI JOTO 1.MIFUMO YA HALI YA HEWA
Mifumo ya hali ya hewa inaonesha uwezekano wa kuongezeka kwa joto la bahari katika eneo la ukanda wa Tropiki la bahari ya Pasfiki kwa kipindi cha miezi ya Juni hadi Agosti 2014....

 

11 years ago

GPL

MAMLAKA YA HALI YA HEWA YATOA TATHMINI YA MWELEKEO WA MVUA KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI, 2014

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, Dkt. Agness Kijazi (kulia) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya tathmini ya mvua kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2014. Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakimsikiliza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa.…

 

11 years ago

Mwananchi

Hali ya Hewa waonya uwapo wa kimbunga kitakachosababisha mvua kubwa

>Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imetahadharisha juu ya kuwapo kwa kimbunga kiitwacho Hellen katika mwambao wa Bahari ya Hindi ambacho kitasababisha mvua kubwa inayozidi mililita 50 ndani ya saa 24 kuanzia jana katika mikoa 14.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwelekeo wa Mvua kwa kipindi cha Oktoba — Disemba 2014

1433Dr-Agnes-Kijazi

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Agnes Kijazi.

Ond2014 Swahili Final by moblog

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MWELEKEO WA MVUA KWA KIPINDI CHA JANUARI — FEBRUARI, 2015 NCHINI

Mkurugenzi Mkuu wa TMA Dkt Agnes Kijazi akiongea na vyombo vya habari kuhusiana na mwelekeo wa utabiri wa hali ya hewa kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Februari 2015 Wanahabari wakichukua taarifa inayotolewa na Dkt. Kijazi katika ukumbi wa mikutano TMA.

 

10 years ago

Vijimambo

KAYA 25 ZILIZOATHIRIWA NA KIMBUNGA CHA UPEPO MKALI KILICHOAMBATANA NA MVUA ZAPEWA MSAADA MKOANI MBEYA


Timu ya watumishi wa jiji la Mbeya ikikabidhi msaada wa mahitaji mbalimbali  kwa wahanga wa mafuriko katika Mtaa wa Mwanyanje Kata ya Igawilo jijini Mbeya ukiwa na thamani ya shilingi Milioni 1.5



Diwani wa kata ya Igawilo Ndugu Chifoda Fungo na Naibu Meya wa jiji la Mbeya  akizungumza na wakazi wa mtaa huo ambao nyumba zao ziliezuliwa na upepo mkali uliombata na Mvua mwishoni mwa wiki ambapo nyumba zaidi ya 25 ziliezuriwa na Mvua hiyoWahanga wakisubiri kupatiwa msaada na uongozi wa jiji la...

 

10 years ago

GPL

KUFUATIA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, HALI ILIVYO KATIKA KITUO CHA MABASI CHA UBUNGO

Maji yakiwa yamejaa katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani, Ubungo. Kufuatia mvua inayoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, maeneo…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani