Mwenyekiti Bunge Maalum adaiwa kupendelea
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka kundi la Asasi zisizo za kiserikali (NGO), amemlalamikia Mwenyekiti wa muda wa bunge hilo, Pandu Ameir Kificho kuwa anawapa nafasi ya kuchangia kwenye bunge hilo watu maarufu na wanaotoka kwenye vyama vya siasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi05 Aug
11 years ago
Habarileo19 Feb
Kificho Mwenyekiti wa muda Bunge Maalum la Katiba
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho, amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalum la Katiba, katika uchaguzi uliofanyika jana mjini hapa.
11 years ago
GPLMWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA ATEMBELEA VIONGOZI WA DINI
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba na Waziri wa Afrika Mashariki, Samweli Sitta akishuka kwenye gari alipokuwa ziarani leo kwenye Makao Makuu ya Bakwata jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Bakwata, Suleiman Lolila akisalimiana na Sitta alipowasili ofisi za Makao Makuu ya Bakwata jijini Dar es Salaam leo.…
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Pandu achaguliwa mwenyekiti wa muda #Bunge Maalum la Katiba
Spika wa Bunge la Wawakilishi Zanzibar na Mbunge wa Bunge maalum la Katiba, Pandu Amir Kificho  amechaguliwa na wajumbe wa Bunge hilo kuwa Mwenyekiti wa muda.
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/IMG_9709.jpg)
MO DEWJI AAPISHWA RASMI MBELE YA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Singida mjini, Ndg. Mohammed Dewji (wa pili kushoto) akiteta jambo na baadhi ya Wajumbe wenzake wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma leo wakati wa sherehe fupi za kuapishwa kwa wajumbe hao. Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Singida mjini, Ndg. Mohammed Dewji akielekea kula kiapo cha kulitumikia Taifa Bunge la Katiba.
Mjumbe wa Bunge...
10 years ago
MichuziUmoja wa Azaki za Vijana wakutana na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNYaoUQKfZz40A87K6dePId1Rl93O8TFuYFnfVUf6rKxv-OZLVfIl-1WDZUIQQI1UftbZaL7rxlmE3Z7MIdcSRGe/viongozi.jpg?width=750)
MKUU WA WILAYA YA KOROGWE AKUTANA NA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
Leo Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo (kulia) alipata wasaa wa kuongea na mwenyekiti wa Bunge Maalum la katiba, Mhe Samuel Sitta (kushoto) .Mrisho Gambo amesema "Hakika mzee huyu ana hekima za kutosha na ni moja ya tunu za Taifa hili". PICHA NA MRISHO GAMBO
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania