MWENYEKITI JUKWAA LA KATIBA...
![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidUcvz0e*2Pij*XeETzd9hMxDLXkq9kFfVU0M-DqLnbIdQFV*WuYsN*2sFKyBSbS7FhtAcDrzrN7BEErq8u3zi9q/Jukwaa.jpg?width=650)
Stori: Makongoro Oging’ na Mayasa Mariwata MWENYEKITI wa Jukwaa la Katiba Tanzania, Deus Kibamba (pichani) amejikuta akishikilia roho mkononi baada ya kupewa vitisho na mtu asiyejulikana kuwa atamuua bila kumueleza sababu.  Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania, Deus Kibamba Taarifa kutoka chanzo chetu ndani ya Jeshi la Polisi Tanzania zinasema kuwa, kiongozi huyo alipewa vitisho hivyo Julai 23, mwaka huu na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-40QZOuhQ-ro/U-vLsJW3U4I/AAAAAAAF_Tk/AXC6Tq0Eylk/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
MH. SITTA ATEMBELEWA NA JUKWAA LA KATIBA NA JUKWAA LA WAHARIRI MJINI DODOMA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-40QZOuhQ-ro/U-vLsJW3U4I/AAAAAAAF_Tk/AXC6Tq0Eylk/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ncWsUxrZikk/U-vLsPQ6EdI/AAAAAAAF_To/cx_qkowHZvI/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sQLXRFKBvhw/U1t_Kzv3LEI/AAAAAAAA5WQ/ok29kni0djo/s72-c/IMG_5381.jpg)
JUKWAA LA KATIBA WATANGAZA KUSULUHISHA MGOGORO WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sQLXRFKBvhw/U1t_Kzv3LEI/AAAAAAAA5WQ/ok29kni0djo/s1600/IMG_5381.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oYAWEZLZzDg/U1uAmdyUXnI/AAAAAAAA5Ws/DW1XJFss-WU/s1600/IMG_5402.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-akWdgh1cWfw/U1uAk_wp02I/AAAAAAAA5Wk/cTVkKXh6jnU/s1600/IMG_5393.jpg)
Waandishi wa Habari wakifuatilia. --- Na...
11 years ago
Dewji Blog27 Jul
Tamko la jukwaa la Katiba kuhusu Bunge Maalum la Katiba linaloanza Dodoma Agosti 5, 2014
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa tamko kuhusu Bunge la Katiba litakaloanza Agosti 5, 2014 ambapo walishauri Bunge hilo likae wiki mbili badala ya miezi miwili kama ilivyopangwa ili kupunguza matumizi makubwa ya fedha za Umma. Kutoka kushoto ni Mjumbe wa Kamati na Uongozi Jukata Omar Ali Omar, Meneja Habari na Mawasiliano wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Kenny...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscZRThfVVNSbCOmFiN*wfTCycf-cQ83j9rHOumWBCsBO-ETXw4K23r5SrvJRhUHdmqehVqM0-0bMb4HwLPN-Cle8/unnamed72.jpg?width=650)
MH. CHENGE AWASILISHA RASIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s72-c/PIX-13.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta awaahidi walemavu kutendewa haki katika Katiba Mpya
![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s1600/PIX-13.jpg)
Mhe. Sitta ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2014 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) ambalo lilikuja katika Bunge Maalum kwa lengo la kuwasilisha hoja zenye msisitizo kuhusu haki za watu wenye ulemavu katika mchakato Katiba Mpya.
Mhe. Sitta amesema kuwa kazi...
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Maaskofu Jukwaa la Wakristo: kataeni Katiba
10 years ago
Habarileo15 Aug
Jukwaa la Katiba lalikubali Bunge Maalum
WAKATI Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta akiwataka wanasiasa nchini kuacha kuchezea Muungano, Jukwaa la Katiba limesema limefurahishwa na hatua iliyofikiwa na Bunge hilo kwa sasa.
10 years ago
Habarileo28 Jan
Jukwaa la Katiba lataka wagombea kupima afya
JUKWAA la Katiba nchini (JUKATA) limesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa taifa, ipo haja ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kupimwa afya zao na kutangazwa kwa wananchi ili kuepuka kuwaweka wagonjwa madarakani.