MWENYEKITI WA BODI TEMESA AAGIZA UJENZI KIVUKO MAFIA NYAMISATI KUKAMILISHWA MAPEMA
Muonekano wa kivuko cha MV. Kigamboni ambacho kimefanyiwa ukarabati mkubwa ikiwemo kufungwa injini mpya mbili pamoja na kupakwa rangi upya, kivuko hicho kinatarajiwa kurejea ifikapo mwishoni mwa mwezi Aprili mwaka huu na kitafanya idadi ya vivuko katika eneo la Magogoni Kigamboni kurudi kuwa vitatu.
Wajumbe wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) wakiongozwa na Mwenyekiti wao Profesa Eng. Idrissa B. Mshoro (wa tatu kulia) pamoja na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Safari ya Kinana kutoka Nyamisati mpaka Mafia kwa boti ya kizamani
Ilikiwa ni safari ngumu lakini yenye mafunzo mengi nikiwa nimepanda kwenye boti ya Doria wakati wa msafara wa Katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na msafara wake tukitokea Nyamisati kuelekea Mafia ambapo katibu Mkuu huyo yupo katika ziara ya kikazi ya mikoa ya Pwani, Tanga na Iringa akikagua miradi ya mendeleo inayotekelezwa na serikali kupitia ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo, Nilipangiwa kupanda boti hii ya mwendo...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/167.jpg)
SAFARI YA KINANA KUTOKA NYAMISATI MPAKA MAFIA KWA BOTI YA KIZAMANI
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA BODI YA MADINI TANZANIA ASHIRIKI HARAMBEE YA UJENZI WA CHUO KIKUU
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--WS24gbdSe0/U72e2D9dMRI/AAAAAAAF0Pc/vMgbdz_lS5E/s72-c/unnamed+(58).jpg)
DKT.MAGUFULI AENDELEA NA ZIARA MWANZA NA SINGIDA AZINDUA KIVUKO CHA MV.TEMESA NA KUKAGUA DARAJA LA MBUTU
11 years ago
MichuziMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QQNan3ItOjw/VSaJW7kDNQI/AAAAAAAHPzc/u14_HtHAcng/s72-c/1028.jpg)
UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI YA BODI YA KOROSHO TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QQNan3ItOjw/VSaJW7kDNQI/AAAAAAAHPzc/u14_HtHAcng/s1600/1028.jpg)
Aidha, Mhe. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Bodi hiyo ya Wakurugenzi kwa mujibu wa kifungu cha 4(1) cha Sheria ya Korosho ya mwaka 2009 (Sura ya 203 ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w-heN0uKpiw/XkqxKSqkPUI/AAAAAAALdyU/ipaGi8gqQpQ43zAbVQsoFpzXssI3EbYGQCLcBGAsYHQ/s72-c/0eb6d679-5a65-4716-b824-efafd3498f10.jpg)
MTENDAJI MKUU TEMESA AKABIDHI MTAMBO KWA CHUO CHA UJENZI MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-w-heN0uKpiw/XkqxKSqkPUI/AAAAAAALdyU/ipaGi8gqQpQ43zAbVQsoFpzXssI3EbYGQCLcBGAsYHQ/s640/0eb6d679-5a65-4716-b824-efafd3498f10.jpg)
10 years ago
Habarileo08 Jan
Waziri Magufuli aagiza kivuko cha Kigongo-Busisi kufanya kazi saa 24
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli ameagiza uongozi kivuko cha Kigongo- Busisi mkoani hapa, kufanya kazi kwa saa 24 ili kumudu ongezeko kubwa la abiria watokao Geita, Kagera lililotokana na meli ya Mv Victoria kusitisha safari zake.
11 years ago
GPLMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU, DARAJA LA KIGAMBONI