Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWENYEKITI WA JKT NILILAZIMISHWA NIFANYE MAPENZI

Mwandishi Wetu/Uwazi
HALI bado ni tete kwa mwenyekiti wa vijana waliofuzu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lakini wakakosa ajira, George Mgoba kufuatia kutekwa kwake na kujeruhiwa vibaya hivi karibuni na watu ambao bado hawajajulikana. Mwenyekiti wa vijana waliofuzu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lakini wakakosa ajira, George Mgoba akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili . Mgoba ambaye mpaka juzi alikuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MZUNGU ALINILAZIMISHA NIFANYE MAPENZI NA MBWA WAKE - HAUSIGELI

Mzungu amlazimisha Hausigeli kufanya mapenzi na mbwa wake, hausigeli akataa, apewa kichapo na kutupiwa mizigo yake nje ya nyumba!

 

10 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti wa ‘JKT’ akamatwa kwa tuhuma za uchochezi

>Mwenyekiti wa Wahitimu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), George Mgoba ambaye alilazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) baada ya kutekwa na kuteswa na watu wasiojulikana, ameruhusiwa jana kisha kukamatwa na Polisi akituhumiwa kwa makosa ya uchochezi na mikusanyiko isiyo halali.

 

10 years ago

GPL

ASKARI WA JKT WAENDA KUMJULIA HALI MWENYEKITI WAO ALIYETEKWA

Mwenyekiti wa JKT, George Mgoba akiwa wodini.…

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA ; SINA MUDA NA NYINYI,NIACHENI NIFANYE KAMPENI.


MGOMBEA urais wa Tanzania anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa amesema hana muda wa kujibu matusi na kejeli zinazotolewa na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi yake.
Badala yake amesema anatumia muda uliobaki wa kampeni kutafuta kura kwa wananchi kwa kunadi ilani ya chama chake.Akizungumza kwenye mikutano ya hadhara, Bunju na baadaye Mbezi mkoani Dar es Salaam, Lowassa alisema kila alichoahidi ataanza kukifanyia kazi punde tu baada ya...

 

10 years ago

Bongo5

Alikiba: ‘Mwana’ ilikuwa nifanye na Fally Ipupa lakini tukaogopa, fahamu kilichomwogopesha

Alikiba amefunguka kuwa single yake mpya ya ‘Mwana’ ambayo ilirekodiwa miaka miwili iliyopita, hapo mwanzo alipanga angemshirikisha mwanamuziki wa DRC, Fally Ipupa. Kiba amesema mipango hiyo ilikuja kubadilika baada ya kugundua ngoma imekuwa kali bila Fally hivyo ikamlazimu kuiacha kama ilivyo na kuandaa wimbo mwingine atakaomshirikisha star huyo. “(Mwana) ilikuwa nifanye na Fally before, lakini […]

 

10 years ago

CloudsFM

Nilishawahi kuongea na Mangwea wiki moja kabla hajafa na akakubali nifanye naye collabo

Mshindi wa Airtel Trace music star Mayunga Malimi leo alifunguka kupitia interview yake aliofanya na Clouds Digital na kusema alishawahi kumwomba marehemu Magwea kufanya naye collabo na akakubali bila malipo yoyote ila kwa bahati mbaya baada ya wiki Magwea alifariki na ndipo alipo amua kumshirikisha Mr Blue baada ya Magwea kufariki katika wimbo wake huo wa Tell Me.

 

10 years ago

Bongo Movies

Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.

Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni,  Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa

“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...

 

11 years ago

GPL

KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?

Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita utakumbuka nilizungumzia suala la kuwajali wapenzi wetu. Niligusia suala ya kuwapa nafasi watuchune. apo walioshituka kuona kichwa kile cha habari lakini kiukweli sikumaanisha kuchuna kule ambako wanawake micharuko hufanya hasa kwa waume za watu, nilimaanisha utayari wa kila mmoja kumsaidia mwenzake kifedha. Mkeo akitaka pesa ili aende saluni kama zipo, mpe! Akihitaji pesa akanunulie vipodozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani