Mwezi aokolewa mauti na Facebook!
Mkwezi wa milima mirefu ameokolewa kutoka futi 80 bondeni baada ya kuandika ujumbe huu ‘'nahitaji msaada'’ kwenye facebook
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies27 Mar
Riyama Awataja Mawakala wa Mauti,Wewe Je ni ‘Wakala wa Mauti’?
Staa wa Bongo Movies aliejijengea heshma kwa mashabiki kwa kazi zake, Riyama Ally anakuja na filamu mpya, kupinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi‘Albinos’inayokwenda kwa jina la Wakala wa Mauti.
“Hii ni kazi ya mikono yangu namuomba mungu anijalie iwe miongoni mwa kazi bora inshallah amin.....”Riyama alidokeza.
Akionyesha baadhi ya picha za filamu hiyo mtandaoni Riyama alisema “Hivi ni baadhi ya kipindekipinde cha filamu yangu mpya " Wakala wa Mauti " anae wadhulumu ndugu zetu ma...
10 years ago
Bongo519 Nov
Facebook kuja na mtandao mpya ‘Facebook at Work’
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Mauti yakikufika
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Jini Mauti-15
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Nyumbani kwao alikuwa yeye na mfanyakazi wa ndani tu, hakukuwa na mtu mwingine. Kweli nikaenda. Akanipokea kwa furaha, mabusu mfululizo, kilichofuata ni kwenda chumbani kwake. Mapigo ya moyo yalinidunda kwa nguvu, niliogopa mno. SASA ENDELEA…
Sikuwahi kufanya kitendo kile alichotaka tukifanye, kila alipokuwa akiugusa mwili wangu, nilitetemeka sana.
“Thomas….”
“Naam.”
“Naomba tufanye siku nyingine.”
“Kwa nini isiwe leo?”
“Sijajiandaa.”
“Hapana! Linaloweza kufanyika...
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Jini Mauti-16
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Hata usiku wa siku hiyo tulipokutana kwenye uwanja wa wachawi, sikuonekana kuwa na furaha, nilionekana kuwa mnyonge sana, bibi alifahamu kila kitu kilichotokea, akaamua kunifuata. Endelea sasa…
“Davina…”
“Abeee.”
“Hongera sana,” alisema bibi.
“Hongera sana,” alinipongeza, kidogo nikashtuka.
“Hongera ya nini?” niliuliza.
Badala ya kujibu swali hilo, bibi akaanza kucheka, kicheko kikubwa kilichoonesha ni jinsi gani alifurahi. Sikujua ni kitu gani kilichomfurahisha,...
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Jini Mauti-17
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Watu wanaposogea kule kulipokuwa na jeneza, kila mmoja alikuwa akimwagiwa unga usoni ili wale waliokuwa na nguvu ya kugundua kwamba yule aliyezikwa hakuwa mtu bali gogo au nyoka mkubwa, waweze kuuona mwili wa marehemu. Endelea…
Ndivyo ilivyokuwa, wakati tunasimama na kuanza kuelekea kwenye jeneza kuaga, tayari wachawi wakakimbia na kuelekea kule, wakajipanga mstari, walikuwa uchi wa mnyama, kila aliyekuwa akilisogelea jeneza lile, alipuliziwa unga fulani usoni...
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Rubani wa Urusi aokolewa Syria
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Mshahara wa dhambi ni mauti!
RAIS wangu, maandiko yanasema mshahara wa dhambi ni mauti. Kwakuwa tulikubali kuitenda dhambi basi mauti yetu ni stahiki yetu! Nchi imeelemewa na mizigo yakuletewa. Miongoni mwetu wako watu fahamu zao...
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Kijana aokolewa mikononi mwa Wanamgambo