Mwigulu Nchemba mgeni rasmi Tamasha la Upendo wa Mama Dar
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akizungumza.
Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba anatarajiwa kuongoza Tamasha Maalumu la 'Upendo wa Mama' linalotarajiwa kufanyika katika Kanisa la Rutheran Mabibo Extenal jijini Dar es Salaam na kushirikisha waimbaji wengi kutoka ndani na nje ya Tanzania. Akizungumzia tamasha hilo leo jijini Dar es Salaam, Rais wa taasisi ya Upendo kwa Mama Foundation yenye makao makuu yake mkoani Arusha, Injinia Carlos Mkundi alisema Naibu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/VIBt_u8-KOQ/default.jpg)
11 years ago
Dewji Blog11 Jun
Mama Salma Kikwete mgeni rasmi kwenye tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa shule za msingi
Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.
Na Mwandishi wetu
WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na mazoea ya kusoma vitabu kwa lengo la kuwa wagunduzi wa vitu mbalimbali.
Akizungumza jijini Dar es Salaam,Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Soma, Demere Kitunga wakati wa maandalizi ya tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa Shule za msingi.
Kitunga amesema...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0481.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA KWANZA LA VITABU VYA HADITHI KWA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MKOANI DAR
10 years ago
Michuzi09 Oct
AKINAMAMA ZAIDI YA 50 KUFAIDIKA NA TAMASHA LA UPENDO KWA MAMA.
Hadi sasa Maandalizi ya Tamasha la Upendo kwa Mama Yamekamilika ambapo Tarehe 2 November 2014 Ndani ya Viwanja vya Sheikh Amri Abeid Kutafanyika tamasha hilo lililobarikiwa jina la UPENDO KWA MAMA ambapo Tamasha hilo litaongozwa na waimbaji wa Nyimbo za Injili wakubwa kutoka humu Nchini na Nchi Jirani ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-t9X_szdB1Lw/VEoKVzwavEI/AAAAAAAGtD0/fF_aSjW-ZyI/s72-c/DSC_0018.jpeg)
Mama Tunu Pinda Mgeni rasmi katika Mkutano wa akina mama wa Kitanzania waishio Uingereza
Mama Tunu Pinda alihudhuria Mkutano huo kwa mualiko wa mwenyeji wake Mrs Joyce Kallaghe Mke wa Balozi wa Tanzania Uk, Peter Kallaghe.
Mtoa mada aliyeongozana na Mama Tunu , alikuwa ni Mama Anna Matinde , mwanamke Mjasiriamali mahiri na aliyebobea ambaye ana kofia mbalimbali za Uwakilishi wa...
10 years ago
Michuzi28 Sep
TAMASHA LA UPENDO WA MAMA KUFANYIKA JIJINI ARUSHA TAREHE 2 NOVEMBA 2014
![SAM_0646](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/e3dJmXhQjId3suQ-VncEKuBoqKGItya038ImIBr44wcMwW_iZSpWMUoQVhAuYQGeEdaNeLux2-XcOEP6lgKJXv4ZouxWL-0qs1N6l2HErIvRmcQ=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/09/sam_0646.jpg)
![SAM_0669](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/jCOhgEN4EY_XZG2OID_g6zWjwDfUir9oIPeLCF55FDSghIZXnhuHHFo9HElqr-Rje3gBqrAN19lFtedPJSzQ_mFvaXIr4vNP4hm8yUPfEIQJBw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/09/sam_0669.jpg)
9 years ago
Habarileo28 Sep
JK mgeni rasmi Tamasha la Amani
RAIS Jakaya Kikwete amekubali kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Kuombea Amani nchini litakalofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Jumapili wiki hii. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, Rais Kikwete amekubali kuwa mgeni rasmi siku hiyo katika tamasha la kuombea amani Tanzania kuelekea katika Uchaguzi Mkuu mwezi ujao.
11 years ago
GPLMAMA SHUJAA WA CHAKULA WAINGIA RASMI KIJIJI CHA MAISHA PLUS, PROFESA ANNA TIBAIJUKA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE HIZO