Mwili wa Jaji Makame kuzikwa Tanga
Dar es Salaam. Familia ya Jaji Lewis Makame imesema haitasahau namna jaji huyo alivyoijali na kulitumikia taifa kwa uaminifu hadi mauti yalipomfika juzi mchana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLJAJI LEWIS MAKAME KUZIKWA PONGWE, TANGA JUMAMOSI
10 years ago
GPLMWILI WA JAJI MAKAME WAAGWA NA KUSAFIRISHWA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Sy43a_2NrPQ/U_W4jXwHSRI/AAAAAAAGBIw/vpU0xz0AoVs/s72-c/Untitled.png)
RATIBA YA KUUAGA MWILI WA JAJI MSTAAFU WA MAHAKAMA YA RUFANI,MH. LEWIS MAKAME
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sy43a_2NrPQ/U_W4jXwHSRI/AAAAAAAGBIw/vpU0xz0AoVs/s1600/Untitled.png)
MUDA TUKIO MHUSIKA 3.00- 3.30 ASUBUHI WANANCHI NA WATUMISHI KUWASILI KAMATI YA MAZISHI 3.30 – 4.00 ASUBUHI VIONGOZI WASTAAFU, MAWAZIRI, MAJAJI WASTAAFU , VIONGOZI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI, SERIKALI, TAASISI NA VYAMA VYA SIASA KUWASILI KAMATI YA MAZISHI 4.00 -4.15 ASUBUHI WAH....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFK6VOzDkvI536SRmQAtW0quw4gFvwfGunueNOQqszscQOOoqmjOvgr4TYCQFShgfYs0n5oaJ4lvDPmUULMTS21n/JAJI.png?width=650)
RATIBA YA KUUAGA MWILI WA JAJI MSTAAFU WA MAHAKAMA YA RUFANI, MH. LEWIS MAKAME LEO
10 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mama Salma Kikwete aongoza mazishi ya Jaji Mstaafu Lewis Makame, Tanga
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji Mama Mary Mbaga Makame, mjane wa Marehemu Jaji Lewis Mhina Makame mara baada ya kuwasili kijijini Tongwe, wilayani Muheza kwa ajili ya mazishi tarehe 23.8.2014.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji Mama Mary Mbaga Makame, mjane wa Marehemu Jaji Lewis Mhina Makame mara baada ya kuwasili kijijini Tongwe, wilayani Muheza kwa ajili ya mazishi tarehe 23.8.2014.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiaga mwili wa Marehemu Jaji Lewis Makame kijijini...
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
JK, CHADEMA wamlilia Jaji Makame
RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kufuatia kifo cha mwenyekiti mstaafu wa tume hiyo, Jaji Lewis Makame. Taarifa iliyotolewa jana...
10 years ago
Mtanzania19 Aug
Jaji Makame afariki dunia
![Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Lewis Makame.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Jaji-Lewis-Makame.jpg)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Lewis Makame.
NA WAANDISHI WETU
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Lewis Makame, amefariki dunia.
Taarifa ambazo MTANZANIA ilizipata zinaeleza Jaji Makame alifariki dunia jana katika Hospitali ya AMI Trauma Center, iliyopo Masaki jijini Dar es Salaam alipokuwa akitibiwa.
Baada ya kupatikana kwa taarifa hizo, MTANZANIA lilifika nyumbani kwa marehemu Masaki ambako mmoja wa watoto wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jPrLLXuRuu7b1P5yawA8GDWJ9b2Og9sZFrdZi-cDCssDig3PmTUm2hn1IbYY6RxuB*-dBcEqBtI7IpanyGcbrbi9XtGVt5Gs/TUME.jpg)
JAJI LEWIS MAKAME AFARIKI DUNIA