Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWILI WA MSANII ADAMU KUAMBIANA UKITOLEWA HOSPITALI YA MAMA NGOMA, MWENGE DAR

Mwili wa Marehemu Adam Kuambiana ukitolewa nje ya Hospitali  ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kupelekwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kuhifadhiwa leo mchana huu.
...Mwili wa Marehemu Adam Kuambiana ukiwekwa kwenye gari tayari kupelekwa Muhimbili…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWILI WA MSANII KUAMBIANA WAAGWA VIWANJA VYA LEADERS CLUB

Mwili wa marehemu ukiwasili kwenye viwanja vya Leaders tayari kwa kuagwa Jeneza likiwa sehemu maalum ya kuagia (PICHA NA…

 

11 years ago

GPL

MWILI WA ADAM KUAMBIANA WATOLEWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI, WAPELEKWA BUNJU B

MWILI wa mwongozaji na mwigizaji wa filamu Bongo, Adam Philip Kuambiana jana ulitolewa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kupelekwa nyumbani kwake Bunju B ambapo uliagwa. Mwili huo leo utaagwa katika Viwanja vya Leaders na baadaye kuzikwa makaburi ya Kinondoni,…

 

11 years ago

GPL

MWILI WA ADAM KUAMBIANA WAAGWA BUNJU B, DAR

Mwili wa Adam Kuambiana ukiandaliwa tayari kwa kuagwa nyumbani kwake Bunju B jioni hii. Waombolezaji wakiwa msibani tayari kuaga mwili. Wa tatu kutoka kulia waliokaa mbele ni mke wa marehemu Janeth Rithe ambaye ni Diwani Kata ya Kunduchi, Dar.…

 

10 years ago

GPL

MWILI WA MAMA MZAZI WA KULWA MWAIBALE WAAGWA HOSPITALI YA TEMEKE

Jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu, likiwa ndani ya Hospitali ya Temeke, muda mfupi kabla ya kuagwa kwa safari ya kuelekea Mbeya kwa mazishi. Picha ya marehemu enzi za uhai wake. Waombolezaji wakibeba jeneza lenye mwili wa marehemu, kuelekea kwenye gari, tayari kwa safari ya kuelekea Mbeya kwa mazishi.…

 

11 years ago

GPL

MWILI WA KUAMBIANA KUAGWA J’TATU NA J’NNE DAR

Mke wa marehemu Adam Kuambiana, Janeth Rithe ambaye ni Diwani wa Kata ya Kunduchi akifarijiwa. Baadhi ya waombolezaji wakiwa msibani Bunju B, Dar.…

 

10 years ago

Michuzi

MWILI WA MPIGANAJI MWENZETU INNOCENT MUNYUKU KUAGWA LEO HOSPITALI YA LUGALO JIJINI DAR

Habari wadau, naomba kuwajulisha kuwa mwili wa mwandishi wa zamani wa michezo, Innocent Munyuku aliyefariki dunia juzi, unaagwa leo Ijumaa kuanzia saa tano asubuhi hospitali ya Jeshi Lugalo, Dar es Salaam kabla ya kusafirishwa kwenda Morogoro kwa mazishi.Pia mwili wa mwanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Baraka Karashani, aliyefariki juzi utazikwa kesho Jumamosi makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam badala ya leo makaburi Sinza kama ilivyokuwa imetangazwa...

 

11 years ago

GPL

MWILI WA KUAMBIANA WAHIFADHIWA MUHIMBILI, VILIO VYATAWALA!

Mwili wa Marehemu Adam Kuambiana ukiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kuhifadhiwa leo mchana. Rais wa Bongo Movies, Steve Nyerere akiwa analia nje ya chumba cha maiti…

 

11 years ago

GPL

MAANDALIZI YA KUAGA MWILI WA ADAM KUAMBIANA VIWANJA VYA LEADERS

Mwili wa marehemu Adam Kuambiana utawekwa mahali hapa. Waombolezaji watakaa mahali hapa.…

 

11 years ago

GPL

MWILI WA ADAM PHILIP KUAMBIANA WATOLEWA MUHIMBILI, KULALA KWAKE BUNJU LEO

Mwili wa Marehemu Adam Kuambiana ukiwa ndani ya gari la kubebea maiti baada ya kuchukuliwa moshwari Muhimbili, unapelekwa nyumbani kwake, Bunju, Dar ambako utalala huko kabla ya kuagwa Viwanja vya Leaders na kuzikwa Kinondoni, kesho. Waombolezaji wakiwa wamelifungua gari la kubebea maiti ili kuweka jeneza lenye mwili wa Adamu Kuambiana leo mchana.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani