MWILI WA MSANII ADAMU KUAMBIANA UKITOLEWA HOSPITALI YA MAMA NGOMA, MWENGE DAR
![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCB7uvuGOF*FlSFi8rwbshzV0KmhpLlowUHbaD5qtOm9p7mZmc4WebtA1IZd5Y8rXsKbLE4TBTg9y2Po-Z2CVMnd/kuambiana6.jpg?width=650)
Mwili wa Marehemu Adam Kuambiana ukitolewa nje ya Hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kupelekwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kuhifadhiwa leo mchana huu. ...Mwili wa Marehemu Adam Kuambiana ukiwekwa kwenye gari tayari kupelekwa Muhimbili…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBD1iMIQhg8c220WEX4inmmR08BScEAm9bs8JaHOuwAv7QWDSXeb99sTUMQ2BHiPlZwMPtvAhpLCmavm1VMyhYl3/IMG20140520WA0010.jpg?width=650)
MWILI WA MSANII KUAMBIANA WAAGWA VIWANJA VYA LEADERS CLUB
Mwili wa marehemu ukiwasili kwenye viwanja vya Leaders tayari kwa kuagwa Jeneza likiwa sehemu maalum ya kuagia (PICHA NA…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
MWILI WA ADAM KUAMBIANA WATOLEWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI, WAPELEKWA BUNJU B
MWILI wa mwongozaji na mwigizaji wa filamu Bongo, Adam Philip Kuambiana jana ulitolewa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kupelekwa nyumbani kwake Bunju B ambapo uliagwa. Mwili huo leo utaagwa katika Viwanja vya Leaders na baadaye kuzikwa makaburi ya Kinondoni,…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIl2KFW2scoBmX9iVBpE79xOGsecfNucTjSi3kJlywBj3jYDwnTvvQj1*w6iBrrr4QxSM2-221OsDII0MrGfc6aK/KUAMBIANAKUAGWABUNJUB3.jpg)
MWILI WA ADAM KUAMBIANA WAAGWA BUNJU B, DAR
Mwili wa Adam Kuambiana ukiandaliwa tayari kwa kuagwa nyumbani kwake Bunju B jioni hii. Waombolezaji wakiwa msibani tayari kuaga mwili. Wa tatu kutoka kulia waliokaa mbele ni mke wa marehemu Janeth Rithe ambaye ni Diwani Kata ya Kunduchi, Dar.…
10 years ago
GPLMWILI WA MAMA MZAZI WA KULWA MWAIBALE WAAGWA HOSPITALI YA TEMEKE
Jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu, likiwa ndani ya Hospitali ya Temeke, muda mfupi kabla ya kuagwa kwa safari ya kuelekea Mbeya kwa mazishi. Picha ya marehemu enzi za uhai wake. Waombolezaji wakibeba jeneza lenye mwili wa marehemu, kuelekea kwenye gari, tayari kwa safari ya kuelekea Mbeya kwa mazishi.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCApoQml1Zhv4Wmvjuh*RGNVR6fpgPCsBOMLjBBZk4ztNollkK1rim5cvHZOOKjKKcs7Lbq5ZwjQX8*xDsUWtqXY/MSIBAKUAMBIANA5.jpg?width=650)
MWILI WA KUAMBIANA KUAGWA J’TATU NA J’NNE DAR
Mke wa marehemu Adam Kuambiana, Janeth Rithe ambaye ni Diwani wa Kata ya Kunduchi akifarijiwa. Baadhi ya waombolezaji wakiwa msibani Bunju B, Dar.…
10 years ago
Michuzi21 Nov
MWILI WA MPIGANAJI MWENZETU INNOCENT MUNYUKU KUAGWA LEO HOSPITALI YA LUGALO JIJINI DAR
Habari wadau, naomba kuwajulisha kuwa mwili wa mwandishi wa zamani wa michezo, Innocent Munyuku aliyefariki dunia juzi, unaagwa leo Ijumaa kuanzia saa tano asubuhi hospitali ya Jeshi Lugalo, Dar es Salaam kabla ya kusafirishwa kwenda Morogoro kwa mazishi.Pia mwili wa mwanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Baraka Karashani, aliyefariki juzi utazikwa kesho Jumamosi makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam badala ya leo makaburi Sinza kama ilivyokuwa imetangazwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCBTFox9-0czM1zS1hyoWfO5yjG5el9bK1uxxnc96lW7VIjNuXG0YJWfk1GqbewwZ-dmYCEp7eo35FnOpF68NKb1/KUAMBIANAMUIMBILI5.jpg)
MWILI WA KUAMBIANA WAHIFADHIWA MUHIMBILI, VILIO VYATAWALA!
Mwili wa Marehemu Adam Kuambiana ukiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kuhifadhiwa leo mchana. Rais wa Bongo Movies, Steve Nyerere akiwa analia nje ya chumba cha maiti…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBBxm7gnAptMQILGCygI*3lK2CRjWH-jPcQ7Z0q2PoWEf1hDf8G97bDd*Te2RETwzjB7H8zJrx2AR-A3OMbku*re/LEADERS1.jpg?width=650)
MAANDALIZI YA KUAGA MWILI WA ADAM KUAMBIANA VIWANJA VYA LEADERS
Mwili wa marehemu Adam Kuambiana utawekwa mahali hapa. Waombolezaji watakaa mahali hapa.…
11 years ago
GPLMWILI WA ADAM PHILIP KUAMBIANA WATOLEWA MUHIMBILI, KULALA KWAKE BUNJU LEO
Mwili wa Marehemu Adam Kuambiana ukiwa ndani ya gari la kubebea maiti baada ya kuchukuliwa moshwari Muhimbili, unapelekwa nyumbani kwake, Bunju, Dar ambako utalala huko kabla ya kuagwa Viwanja vya Leaders na kuzikwa Kinondoni, kesho. Waombolezaji wakiwa wamelifungua gari la kubebea maiti ili kuweka jeneza lenye mwili wa Adamu Kuambiana leo mchana.… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania