MWILI WA KUAMBIANA KUAGWA J’TATU NA J’NNE DAR
![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCApoQml1Zhv4Wmvjuh*RGNVR6fpgPCsBOMLjBBZk4ztNollkK1rim5cvHZOOKjKKcs7Lbq5ZwjQX8*xDsUWtqXY/MSIBAKUAMBIANA5.jpg?width=650)
Mke wa marehemu Adam Kuambiana, Janeth Rithe ambaye ni Diwani wa Kata ya Kunduchi akifarijiwa. Baadhi ya waombolezaji wakiwa msibani Bunju B, Dar.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Mwili wa Dk Shija kuagwa leo Dar
9 years ago
Habarileo06 Oct
Mwili wa Mtikila kuagwa kesho Dar
MWILI wa mwanasiasa machachari na mwenye misimamo mikali katika ufuatiliaji wa mambo, Mchungaji Christopher Mtikila (65) unatarajiwa kuagwa kesho, Dar es Salaam. Aidha, baada ya shughuli ya kuuaga mwili wa Mtikila, aliyekuwa pia Mwenyekiti wa chama cha siasa cha DP, utasafirishwa kwenda kijijini kwao Milo wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe kwa ajili ya maziko.
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Mwili wa Kombani kuagwa Dar leo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIl2KFW2scoBmX9iVBpE79xOGsecfNucTjSi3kJlywBj3jYDwnTvvQj1*w6iBrrr4QxSM2-221OsDII0MrGfc6aK/KUAMBIANAKUAGWABUNJUB3.jpg)
MWILI WA ADAM KUAMBIANA WAAGWA BUNJU B, DAR
10 years ago
Michuzi21 Nov
MWILI WA MPIGANAJI MWENZETU INNOCENT MUNYUKU KUAGWA LEO HOSPITALI YA LUGALO JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCB7uvuGOF*FlSFi8rwbshzV0KmhpLlowUHbaD5qtOm9p7mZmc4WebtA1IZd5Y8rXsKbLE4TBTg9y2Po-Z2CVMnd/kuambiana6.jpg?width=650)
MWILI WA MSANII ADAMU KUAMBIANA UKITOLEWA HOSPITALI YA MAMA NGOMA, MWENGE DAR
5 years ago
Michuzi01 May
PICHA MBALIMBALI ZA KUAGWA KWA MWILI WA MAREHEMU JAJI RAMADAHANI LEO KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/FC4A8307AA-1024x682.jpg)
Mke wa aliyekuwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Marehemu Augustino Ramadhani, Saada Ramadhani (katikati) ambaye ni Luteni Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa mumewe leo kwenye viwanja vya Karimjee vilivyoko Jijini Dar es Salaam wakati wa Mazishi ya Kitaifa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/FC4A8341AA-1024x682.jpg)
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Mazishi ya Dk.Emmanuel Makaidi kufanyika makaburi ya Sinza, mwili wake kuagwa leo asubuhi Viwanja vya Karimjee jijini Dar
Mjane wa aliyekuwa Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Dk. Emmanuel Makaidi, Modesta Ponela Makaidi akiwa katika huzuni baada ya kuondokewa na mpendwa wake.
Mtoto wa kwanza wa Dk. Makaidi, Hilda Emmanuel Makaidi akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).
Mtoto wa marehemu Mhandisi Emmanueli Makaidi (kulia), akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ratiba ya mazishi ya baba yake.
Ndugu, jamaa, marafiki na waombolezaji wakiwa msibani nyumbani kwa Dk.Makaidi...
9 years ago
VijimamboMAZISHI YA DK.EMMANUEL MAKAIDI KUFANYIKA MAKABURI YA SINZA, MWILI WAKE KUAGWA KESHO ASUBUHI VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM