Mwinjilisti aua mkewe, ajinyonga
MWINJILISTI wa Kanisa la Anglikana, Elikia Daniel (35), mkazi wa Kijiji cha Gama, wilayani Bagamoyo, Pwani, amemuua mkewe, Mboni Patrick (28) kwa kumkata na panga kichwani na kisha kumfukia kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mwinjilisti adaiwa kumuua mkewe
11 years ago
Habarileo30 Apr
Ajinyonga baada ya kumkumbuka mkewe
MKAZI wa Mtoni Kijichi, Richard Kijazi (36) amekutwa amekufa kwa kujinyonga chooni na kuacha ujumbe kwamba amejiua kwa sababu ya kumkumbuka marehemu mkewe. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert Kiondo, alisema jana kuwa Kijazi alijiua juzi saa 11:15 jioni katika maeneo ya Mtoni Kijichi, Wilaya ya Temeke.
11 years ago
Habarileo30 Jul
Ajinyonga baada ya kuachwa na mkewe
MKAZI wa Kijiji cha Vikonge, Kata ya Mpandandogo wilayani Mpanda, Joseph Lukato (52) amejinyonga kwa kujitundika mtini akitumia mtandio wa mkewe baada ya kughadhabika na kuachwa naye.
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Aua mkewe naye auawa Arusha
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4y8moz0H9-U4viFRm2ux*OVWD6FRM7ozzMtfDumLkTNXubXIOy1RRQGLbxUqX2a3*CCGnEJeAnpB8I4*s5LQnVa/mchepuko.jpg)
AMUUA MKEWE KWA SULULU, AJINYONGA
10 years ago
Habarileo06 Jul
Aua mkewe mjamzito wa miezi 9 kwa wivu
MLINZI wa usiku katika Ofisi za Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Florence Kazonde (35) amejinyonga baada ya kumuua kikatili kwa kumkaba koo mkewe aliyekuwa na ujauzito wa miezi tisa, Emilia Mzui (30).
9 years ago
Habarileo11 Oct
Ajinyonga kwa kukataliwa tendo la ndoa na mkewe
WATU wawili wamekufa mkoani Ruvuma katika matukio mawili tofauti, likiwemo la mkazi mmoja kujinyonga kwa kutumia kamba ya miti baada ya kukataliwa tendo la ndoa na mkewe.
11 years ago
Habarileo31 May
Ajinyonga baada ya kudaiwa fedha ya matumizi na mkewe
WATU wawili wamekufa katika matukio tofauti, akiwemo mkazi wa kijiji cha Kasitu wilayani Kalambo mkoa wa Rukwa, Nestory Kamchape (48) amejiua kwa kujinyonga baada ya kudaiwa fedha za matumizi na mkewe.
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Mume ajinyonga baada ya kumuua mkewe kwa panga