Mwizi wa fedha ATM afungwa miaka mitatu
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela, raia wa Bulgaria, Todor Peev Peev (38) baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa fedha katika mashine ya ATM.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
PISTORIOUS AFUNGWA MIAKA 5
11 years ago
Habarileo30 Jan
Mbulgaria jela miaka 3 kwa wizi kupitia ATM
RAIA wa Bulgaria, Todor Peev amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini baada ya mahakama kumtia hatiani kutokana na makosa 20 ya wizi wa Sh milioni 12.2 kupitia mashine za kutolea fedha (ATM) katika benki mbalimbali.
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Polisi wa usalama barabarani aachwa mdomo wazi baada ya mwizi kumuibia fedha za rushwa Kenya
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Afungwa miaka 70 kwa kulawiti
MAHAKAMA ya Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi imemhukumu kifungo cha miaka 70, Forensi Albeto (34) baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka na kumlawiti mtoto wake wa kambo mwenye...
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Afungwa miaka 8 kwa kumuoza bintiye
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Aliyewaambukiza 200 na HIV afungwa miaka 25
10 years ago
Vijimambo21 Oct
Pistorius apatikana na hatia, afungwa jela miaka 5
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/17/141017112755_oscar_pistorius_512x288_reuters.jpg)
Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.
Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp mwaka uliopita.
Jaji anayetoa hukumu hiyo,Thokozile Masipa,alianza kutoa kauli yake ya mwisho kabla ya kutoa hukumu saa mbili na nusu asubuhi na akasema ni changamoto kubwa kwake kupata adhabu ambayo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WhNM1Otru2c/VYP5Q0vgH-I/AAAAAAAAH-8/yOJm6PDZnuE/s72-c/Masanja%2BMwinamila%2Bsiku%2Balipokamatwa.jpg)
ALIYETEKA ALBINO TABORA AFUNGWA JELA MIAKA 10
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya Nzega leo hii imemhukumu Masanja Mwinamila (44), mkazi wa Kitongoji cha Kona Nne, Kijiji cha Ugembe II, Kata ya Mwakashanhala, Tarafa ya Puge wilayani Nzega katika Mkoa wa Tabora kwenda jela miaka 10 kwa kosa la kuteka mtoto mwenye albinism, Margreth Hamisi (6).Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo, Saraphine Nsana, alitoa hukumu hiyo baada ya mshtakiwa kusomewa shtaka na kukiri kutenda kosa hilo.
Ilielezwa mahakamani hapo kwamba,...
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mwanariadha Pistorius afungwa jela miaka mitano