Mwongozo utumaji meseji waja
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa, ameagiza wataalamu kutayarisha mwongozo kwa ajili ya kampuni za simu, utakaoelekeza jinsi ya kutuma meseji katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 Sep
Sitta apokea meseji za matusi
![](http://www.gumzolajiji.com/wp-content/uploads/2014/09/sitta.jpg)
10 years ago
Mwananchi20 May
Aliyemtumia meseji JK hakustahili kusimamishwa-Wizara
Dar es Salaam. Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Donan Mmbando amesema hatua iliyochukuliwa na uongozi wa KCMC ya kumsimamisha kazi mtumishi wa Idara ya Uhasibu, Paul Mhumba siyo sahihi.
10 years ago
Mwananchi18 May
Asimamishwa kazi kwa kumtumia JK ‘meseji’
>Mhasibu wa Hospitali ya Rufaa KCMC, Paul Mhumba amesimamishwa kazi kwa tuhuma za kutuma ujumbe wa simu ya mkononi (sms) kwa Rais Jakaya Kikwete.
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Aua mtoto, ajiua kisa meseji
Mkazi wa Mji wa Kisoko, Philip Wandera (27) amejitupa na wanawe wawili katika Mto Sio, baada ya kuzozana na mkewe kuhusu ujumbe mfupi(sms) alioupata katika simu yake.
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Hapokei, wala hajibu meseji zangu
Shangazi niko kwenye uhusiano na msichana mmoja aliye mbali kwa sasa. Kinachonisibu ni kwamba, ni muda mrefu sasa hapokei simu yangu wala hajibu ujumbe ninaomtumia nifanyeje?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o-1NtXzEejLwUT8IqSYbTBYlK1J5-EMNriGZ5*clZACfy-*38pf7gngoLgFWrywNtRlp4AQj3D5o92-gvzoOZ1EI-YCIPvxF/mpeeetu50.jpg)
OYA MASELA... SAILENTI MESEJI SENTI!
Oya masela inakuwaje hapo kwa fasi ya kitaa? Ama nini? Kipande hii mia arifu. Kama vipi tupige dauni mastori moo ya yule misi bomba wa mwaka huu na almasi ambaye alikula za uso pale Lidazi daadeki.
Kilinukaje? Unaleta nyodo kwa watoto wa mbwa? Utakula mayai viza fasta arifu. Unamanya kwamba wanaokupaisha ndo haohao watakaokupiga dauni mwana? Eti nabii hakubaliki kwao? Teeh…teeh! Kaa humu wewe upate kitu roho inataka....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuBLVE1kD6bnBmPZ13OA7fMtyt7t-R24MQ2sU4hbfCEp-deMfn92ioi0qoXXNWWSUWwjkl3HlqI6hyqxMnIUI85q/mpekeeecopy.gif?width=650)
OYA MENTA KAMA MESEJI ZINAFELI ZIHAMISHE SKONGA!
Niaje mamenta wangu? Mpo biyee wazazi? Ukiona manyoya ujue keshaliwa na ukiona nipo kwa mahewa hapa jamvini, ujue nipo rede kukisanua wanangu! Mbishe zinasemaje wazazi kipande hiyo? Kama freshi, basi barida! Ishu za politiksi zinamiksi kozi kila anayetangaza nia ya kuwa prezidaa wa Bongoland anapita mlemle kwa mwenzake. Ni ishu za kukopi na kupesti bila hata kuboresha mazee! Dheni kuna wanaozungumza ishu fekelo kabisa bati wana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EWMw8iXl*iVINrzAhkWKaRntEC83GbRdZPRybxDQB7am7bu4rIqLQH2hqdPqYTJy4vEBPNR5ktI5w6msXmVRhqGrnN62HM5Q/jk.jpg)
ASIMAMISHWA KAZI KWA KUMTUMIA JK ‘MESEJI’
Mhasibu wa Hospitali ya Rufaa KCMC, Paul Mhumba. Moshi.
Mhasibu wa Hospitali ya Rufaa KCMC, Paul Mhumba amesimamishwa kazi kwa tuhuma za kutuma ujumbe wa simu ya mkononi (sms) kwa Rais Jakaya Kikwete. Kuvuja kwa ujumbe huo na nambari ya simu iliyotuma, kumeibua hisia tofauti kuhusu usiri wa ofisi ya Rais katika kushughulikia malalamiko nyeti ya wananchi na kuwaweka njiapanda watoa habari za siri. Mhumba, ambaye pia ni...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bGawF3RRkacO9uAXVwy2vOUzlweO7pZBniZmZS*v76AM1NPlHMWOMzd8HrtsBG3o8np8jOCRs*Mr0HayBs6tCsHPhbEbI5sV/phonecall.jpg?width=650)
UNAPIGIWA SIMU HUPOKEI, UNASONYA...UNATUMA MESEJI... MPENZI WAKO AKUELEWE VIPI?
ASSALAAM aleikum na Bwana Yesu asifiwe wapenzi wasomaji. Ninafurahishwa na jinsi mnavyoniunga mkono kunisoma na kunipa maoni yenu. Hakika nitaendelea kuwaelimisha kwa kila ninachoona kinafaa kuwafikia ili kuwekana sawa ndani ya maisha ya uhusiano. Leo nimekuja na mada hii; UNAPIGIWA SIMU HUPOKEI, UNASONYA...UNATUMA MESEJI...MPENZI WAKO AKUELEWE VIPI?
Mada hii inawahusu wapendanao wote. Wewe mwanamke na wewe mwanaume....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania