MZEE KASSIM MAPILI ALAZWA MUHIMBILI , RAIS WA SHIRIKISHO LA MUZIKI ADDO NOVEMBER AMTEMBELEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-WjDOX9MX92E/VCPtJSEH_aI/AAAAAAACroE/BOflTxq8BiI/s72-c/IMG-20140924-WA003%2B(1).jpg)
Kutoka kushoto ni Gwiji wa muziki wa dansi nchini Mzee Kassim Mapili akiwa amekaa kwenye kitanda cha hospitali ya Taifa Muhimbili kushoto ni Rais wa Shirikisho la Muziki wa Dansi Tanzania Addo November alipokwenda kumjulia hali leo asubuhi hospitalini hapo.
NA BONGOWEEKEND BLOGSPOT.COM
HALI ya mwanamuziki nguli Kassim Mapili aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili katika kitengo cha moyo inaendelea vizuri imehafamika.Mapili ambaye awali alilazwa katika Hopitali ya Mwananyamala...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YIaD6DiSOkw/VYZgnehdtvI/AAAAAAAHiEM/8pwvH02T4O4/s72-c/blogger-image-2124429571.jpg)
Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania Addo November ajitosa mbio za ubunge Iringa mjini
![](http://3.bp.blogspot.com/-YIaD6DiSOkw/VYZgnehdtvI/AAAAAAAHiEM/8pwvH02T4O4/s640/blogger-image-2124429571.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cSwPJlayw1M/XlqYNakadVI/AAAAAAACIAo/AwWYRraRx6IBDz2aMKvG3tJmYxYzM73MACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AMTEMBELEA KUMJULIA HALI MZEE MAGULA AMBAYE AMELAZWA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-cSwPJlayw1M/XlqYNakadVI/AAAAAAACIAo/AwWYRraRx6IBDz2aMKvG3tJmYxYzM73MACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-KP7s6ibHGNY/XlqYNWFjbuI/AAAAAAACIAs/J958LarX3skYP2qam-e7zBP-YrN86BvNgCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kxwngdLZIns/XlqYNcMSD6I/AAAAAAACIAw/YoYl5iTnxAAQuRTMmdj0bo0EZ1sIh3aiQCLcBGAsYHQ/s400/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aspZgrCv_OI/UxAs4D69ZwI/AAAAAAAFQLk/POlrOY9HLa8/s72-c/Rais+Michael+Sata+wa+Zambia+aliponda+kumjulia+hali+Rais+kwanza+mstaafu+Mzee+Dr.Kaunda.jpg)
NEWS ALERT: Rais Mstaafu wa Zambia Mzee Dr.Keneth Kaunda alazwa Hospitali Mjini Lusaka
![](http://3.bp.blogspot.com/-aspZgrCv_OI/UxAs4D69ZwI/AAAAAAAFQLk/POlrOY9HLa8/s1600/Rais+Michael+Sata+wa+Zambia+aliponda+kumjulia+hali+Rais+kwanza+mstaafu+Mzee+Dr.Kaunda.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qKdvPbo3dMk/XlqfazeDnnI/AAAAAAALgKE/AepBIr9ij-Agl_tYGozXy16MFs24BUYiACLcBGAsYHQ/s72-c/20200229_171553.jpg)
NEWZ ALERT: Rais Magufuli amjulia hali Mzee Mangula Hospitalini Muhimbili
![](https://1.bp.blogspot.com/-qKdvPbo3dMk/XlqfazeDnnI/AAAAAAALgKE/AepBIr9ij-Agl_tYGozXy16MFs24BUYiACLcBGAsYHQ/s640/20200229_171553.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo tarehe 29 Februari, 2020 amemtembelea na kumjulia hali Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula ambaye amelazwa katika chumba cha uangalizi maalum katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.Ndg. Mangula aliugua ghafla jana na kisha kukimbizwa hospitali kwa matibabu.
![](https://1.bp.blogspot.com/-_euRxtzEVi4/XlqfbFx0vKI/AAAAAAALgKI/IjecBetw02s7XXeq3P3Bou0Z17KzZ-z_wCLcBGAsYHQ/s640/20200229_171741.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IT5ThVq_ZhA/XlqfbHRei4I/AAAAAAALgKM/1tX9HkwoxQUlucLT3bzmh3trrFWX9QALQCLcBGAsYHQ/s640/20200229_172106.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rQicRrfdA7M/XlqfcMp5sXI/AAAAAAALgKQ/FPD4KBDF3K8wJis7supbWUBprTOrUGlkACLcBGAsYHQ/s640/20200229_172107.jpg)
9 years ago
Habarileo02 Jan
Kardinali Pengo alazwa Muhimbili
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mtanzania22 Aug
Mbunge wa Chadema alazwa Muhimbili
![Mbunge wa viti Maalum kwa tiketi ya CHADEMA, Maulida Anna Komu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Maulida-Anna-Komu.jpg)
Mbunge wa viti Maalum kwa tiketi ya CHADEMA, Maulida Anna Komu
Hadia Khamis na Jonas Mushi, Dar es Salaam
MBUNGE wa viti Maalum kwa tiketi ya CHADEMA, Maulida Anna Komu, amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa wiki mbili sasa.
Ofisa Uhusiano wa Hospitali ya Taifa Muhimbil,i Dorris Ishenda, alisema jana kuwa Komu alifikishwa hospitalini hapo wiki iliyopita na kulazwa katika wodi ya magonjwa ya moyo.
“Ni kweli amelazwa katika wodi ya magonjwa ya moyo kwa ajili ya matibabu na...
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Cleopa Msuya alazwa Muhimbili
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMTEMBELEA MBOWE HOSPITALI YA NTYUKA ALIKOLAZWA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe ambaye amelazwa katika hospitali ya Ntyuka jijini Dodoma, kwa matibabu Juni 9, 2020. Mbowe anatibiwa majeraha aliyoyapata baada ya kushambuliwa na watu ambao bado hawajajulikana wakati akiingia nyumbani kwake jijini Dodoma usiku wa kuamkia leo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
===== ====== =======
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Juni 9, 2020 amemtembelea na kumjulia hali Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani...
11 years ago
CloudsFM06 Jun
H BABA ALAZWA MUHIMBILI KWA KUUMWA DENGUE
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva,Hamis Baba’H Baba’amelazwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili kwa kuumwa ugonjwa wa Dengue.
Msanii huyo alipelekwa katika hospitali jana usiku baada ya hali yake kuwa mbaya.Kupitia mtandao wa Instagram mke wa msanii huyo Frolah Mvungi aliandika hivi..DENGUE.....muhimbili now SAA nane Hii.usiku.hali ilikuwa mbaya zaidi imebidi tuletwe MUHIMBILI HOSPITAL.AMEGUNDULIKA NI DENGUE.thanx to GOD anaendelea vizuri and that is the last drip.asante my manager Yahya...