MZEE WA KANISA AAIBIKA!
![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wU8oHnB2EpDggJce6agwAOIzVTtRrstcRjhZBB3Rf5L62uWOTI9cMzsOGgzLuqA4IeC1fTejYhIv5E9HUcJqq64/mzee.jpg?width=650)
Stori: Richard Bukos na Issa Mnally Tumekwisha! Mzee wa kanisa la kiroho (jina linahifadhiwa kwa sasa), aliyetajwa kwa jina la Luca Pesa, mkazi wa Segerea, Dar, ameaibika baada ya kukurupushwa kwenye nyumba ya kulala wageni (gesti) akidaiwa kutaka kuvunja amri ya sita na binti ambaye ni msanii chipukizi wa filamu za Kibongo, Debora Jacob, Ijumaa lina kisanga cha aina yake. Mzee wa kanisa la kiroho aliyetajwa kwa jina la Luca...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Kanisa lamkana Mzee wa Kanisa
Ni anayedaiwa kufuga chatu nyumbani ajipanga kumwadhibu kwa kulichafua
Na waandishi wetu, arusha
SAKATA la nyoka aina ya Chatu kukutwa nyumbani kwa Mzee wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Monica jijini hapa, Joseph Magesa, limechukua sura mpya baada ya kanisa kumkana kumtambua.
Juzi, waumini na wananchi walikusanyika kanisani hapo kumshughudia Magesa baada ya kuahidi kuwa angefika kula kiapo, lakini hakuweza kutimiza ahadi hiyo na kuzidisha utata.
Hata hivyo, jana kanisa hilo limesema...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bquVoc42xDNlK1QUfCFu0BvXWldpu3sLV-EJQqhyOV5CP2q26SVPWiIMuGd6wfMAOrBu*OFQl002KNVh3HdsW4KWhs4dtVrQ/mzee.jpg?width=650)
MZEE WA KANISA ALIFUNGA KANISA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3vKQkh-FlomvRMBRekzmvC5XKCDaFq3WPF7JLuNNrSuBsOiS*pr*hM0Xko0hdUoHuH2wQsEOfyrKVBQmf1l-I-oQ4gu0l3P-/FREEMASON.jpg?width=650)
FREEMASON WALITIKISA KANISA LA MZEE WA UPAKO
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
CHATU KUKUTWA KWA MZEE WA KANISA....
SHAABAN MDOE NA LILIAN JOEL, ARUSHA
SAKATA la kukutwa kwa myoka aina ya chatu ndani ya nyumba ya mzee wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Arusha Parokia ya Mtakatifu Monica, Joseph Magesa, limechukua sura mpya baada ya Kikosi Dhidi ya Ujangili (KDU) Kanda ya Kaskazini kuanza uchunguzi ili kubaini iwapo kama alikuwa akimilikiwa kihalali.
Akizungumza na UUHURU WIKENDI ofisini kwake jana, Kamanda wa kikosi hicho, Paschal Mrina, alisema uchunguzi huo umeanza mara moja, muda mfupi baada ya kupokea...
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Unajifanya mzee wa kanisa kumbe unavizia kuiba sadaka!
NATUMAINI kuwa wengi wetu tunaelewa kuwa nini maana ya sadaka hasa katika sehemu zetu za ibada, iwe ni makanisani, misikitini, mahekaluni au popote pale. Sadaka inaweza kutolewa kwa pesa, kuchinja...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWT2O5su3QEwzcBE-DGghYNsIp*O8we4O5qgGTaG1HaGJi*slTOHud3*P*EgVg0vUjZu8OIplXF5Z8yZ8mo5dIge/BackAMANI.jpg?width=650)
SANGOMA AAIBIKA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcI1Ad5XKmV8SvPhTHAxdOZ7OJQBbnGAEwyxJCX-RPR6lTMvh3x-o8kigP82CbprlbyEaoMEXjnU*YhsvdVqhTK5/mwanakwaya.jpg?width=650)
MWANAKWAYA AAIBIKA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/y39xTR5a6g6Ing2qZkcRQzBEDG1quVNhBcvh9MIwY-zxb8aCBq1bv0K1vFgy0sii1LUOr9YDzSFhnln3kiOq7GRjiAPsyiaC/PADRI.jpg)
DENTI UPADRI AAIBIKA GESTI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi*Z*kg7xKE*0aFTNVMfLLJyYoYDDsxp2XC9QLFutwjST06qAo*jR7xyAFADoLpuByf57x5180Ntw9oxeyaH-njn/steven.jpg)
STEVE NYERERE AAIBIKA UWANJANI