Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


mzee yusuf kupagawisha jijini London Jumamosi hii Februari 8, 2014


 Finally its happening  in London, Mfalmeeeeee,
The one and only, Mzee Yusuf  akijulikana kama King of Taarabu, anakuja London kwa show moja tu Show yenye hadhi, show ya watu wanaojuwa raha za Pwani na show ambayo hupaswi kukosa kuhudhuria.
Ni kwa kiingilio cha Twenty Pound Only ndani ya The Ville 640 Ripple Road BARKING.Njoo upandishwe Jahazini, Njoo Tulambe na Njoo unukie marashi huku tukionja raha za Mpenzi Chocolate,Yaaaani itakuwa Hatari Bin Dangerrrr

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

IDD MOSI HII DAR LIVE | MADEE, NATURE, MZEE YUSUF KUWASHA MOTO

Hamad Ally' Madee' WAFALME kunako Hip Hop na Taarab, Hamad Ally ‘Madee’, Juma Kassim ‘Nature’ pamoja na Mzee Yusuf wanatarajiwa kuangusha bonge la shoo Idd Mosi hii ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Mastaa hao walizungumza na Uwazi Mizengwe kuhusiana na shoo hiyo ambapo kila mmoja aliahidi kufanya makubwa ambayo hayajawahi kutokea katika tasnia ya...

 

10 years ago

Michuzi

YAMOTO BAND KUFANYA LIVE SHOW KWA MARA YA KWANZA JIJINI LONDON FEBRUARI 21, 2015

 YAMOTO BAND  COMFIRMED will performing all their major hits including NITAJUTA, NISEME, WAMBEA, NITAKUPWELEPWETA and many more @ The Royal Regency Banquet Hall, Sat 21 Feb 2015 From 8pm to 3:30am, there are limited VIP Tables available book yours now for ultimate VIP treatment or individual place your booking early to avoid disappointment. Table bookings please call 07405824696/ WhatsApp +447557304940
info@bongodeejays.com or jestinageorge@gmail.com
Ukumbi wa Royal Regency ndio sehemu pekee...

 

11 years ago

Michuzi

MISA YA KUMUOMBE MZEE WETU MAJOR SAMUEL ISAAC SHEKINGO -JUMAMOSI MARCH 8, 2014 CHICAGO-ILLINOIS

Mdau Samson Chekingo anapenda kuwataarifu wote Misa ya kumuombea Mpendwa Baba Yake Major Samuel Isaac Chekingo.Itakayofanyika siku ya Jumamosi 3-8-2014 kuanzia saa  9 jioni (3 PM) had 1 usiku (7 PM) Katika Kanisa la kiluteri lililopo HYDE PARK-South Side of Chicago.

Anuwani ya Kanisani:

AUGUSTANA LUTHERAN CHURCH OF HYDE PARK
AND LUTHERAN CAMPUS MINISTRY
5500 SOUTH WOODLAWN AVE
CHICAGO - IL 60637 Tafadhali tunaomba kuzingatia muda wa Ibada ambayo itaanza saa 9 kamili (3pm).
Major Samuel Isaac...

 

11 years ago

Michuzi

Karibu kiwanja cha Via Via jijini Arusha Jumamosi hii

Kwa buku mbili tu za kitanzania Karibu kiwanja cha Via Via jijini Arusha Jumamosi hii tarehe 7 mwezi wa sita mwaka 2014, saa sita mchana hadi moja jioni kujipatia burudani ya muziki toka kwa Vatoloco soldiers, JohnRodgers,Xtra talent, Mafaya Faya, Ima B & Flaxman, BadSpenders, Machiz Flani, Mwaka Mzima, Son, Jambo culture, Mr Right, Son B, Adorabo na wengine kibao powered bywww.vmgafrica.com

 

10 years ago

Michuzi

Redd's Miss Tanzania 2014 kufanyika Mlimani City jumamosi hii

Mkurugenzi wa Kampuni ya Rino International Agency ambao ni waratibu wakuu wa Mashindano ya Miss Tanzania,Hashim Lundenga (kulia) akizungumza na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam leo,juu ya onyesho la Redd's Miss Tanzania 2014 linalotarajiwa kufanyika Oktoba 11,2014 katika Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar.Katikati ni Meneja wa Kinywaji cha Redd's ambao ni Wadhamini Wakuu wa Mashindano hayo,Victoria Kimaro na kushoto ni Meneja Maria Stopes Tanzania,Anna Shanalingigwa.Picha zote na...

 

10 years ago

Bongo5

Tuzo za CNN MultiChoice African Journalist 2014 kutolewa Dar Jumamosi hii

Tuzo za CNN MultiChoice African Journalist 2014 zitatolewa Jumamosi hii, October 18 jijini Dar es Salaam. Shindano hilo ni la 19 mwaka huu. Mtangazaji wa CNN International Isha Sesay, atakuwa host wa tuzo hizo. Waandishi waliongia fainali ni pamoja: Daniel Biaou Adje, ORTB, Benin Safia Berkouk, El Watan, Algeria Vinayak Bhardwaj & Tabelo Timse, M&G […]

 

10 years ago

GPL

REDD'S MISS TANZANIA 2014 KUFANYIKA MLIMANI CITY JUMAMOSI HII

Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino International Agency ambao ni waratibu wakuu wa Mashindano ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga (kulia) akizungumza na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam leo, juu ya onyesho la Redd's Miss Tanzania 2014 linalotarajiwa kufanyika Oktoba 11, 2014 katika Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar.Katikati ni Meneja wa Kinywaji cha Redd's ambao ni Wadhamini Wakuu wa Mashindano hayo, Victoria Kimaro na kushoto ni...

 

11 years ago

Michuzi

TEAM YA VIJANA ZANZIBAR UK (UNDER 18) YAINGIA FINALI AFRICAN NATIONS CUP UK. KUCHEZA JUMAMOSI HII 14 JUNE 2014.


Vijana wetu wa Timu ya Zanzibar Wanaoshiriki Africa Nations Cup -UK wenye chini ya Umri wa miaka 18 wameingia Final Baada ya kuifunga Morocco 8-0 Jumamosi jioni. 
Final itakuwa Saturday, 14th June, 2014 @3.00pm. Barking FC Arena, Mayesbrook Park, Lodge Avenue, RM8 2JR - UK. 
Ticket zinauzwa £5 Adult na £2 kwa watoto kwa maelezo Wasiliana na DJ Ommy kwa number +44 7427 447902 na Jestina George +44 7557 304940

TUNAWAOMBA TUJITOKEZEE KWA WINGI KUWASUPPORT

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani