mzee yusuf kupagawisha jijini London Jumamosi hii Februari 8, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-hKw6gF3GGj4/UvTzU3BC2AI/AAAAAAAFLm0/Dr7wMxWOrXA/s72-c/unnamed+(29).jpg)
Finally its happening in London, Mfalmeeeeee,
The one and only, Mzee Yusuf akijulikana kama King of Taarabu, anakuja London kwa show moja tu Show yenye hadhi, show ya watu wanaojuwa raha za Pwani na show ambayo hupaswi kukosa kuhudhuria.
Ni kwa kiingilio cha Twenty Pound Only ndani ya The Ville 640 Ripple Road BARKING.Njoo upandishwe Jahazini, Njoo Tulambe na Njoo unukie marashi huku tukionja raha za Mpenzi Chocolate,Yaaaani itakuwa Hatari Bin Dangerrrr
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/Madee-crop-1.gif)
IDD MOSI HII DAR LIVE | MADEE, NATURE, MZEE YUSUF KUWASHA MOTO
Hamad Ally' Madee' WAFALME kunako Hip Hop na Taarab, Hamad Ally ‘Madee’, Juma Kassim ‘Nature’ pamoja na Mzee Yusuf wanatarajiwa kuangusha bonge la shoo Idd Mosi hii ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Mastaa hao walizungumza na Uwazi Mizengwe kuhusiana na shoo hiyo ambapo kila mmoja aliahidi kufanya makubwa ambayo hayajawahi kutokea katika tasnia ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Kjjw6PwgaQI/VNKIoKVrEsI/AAAAAAAC_UI/10RTz4yVebo/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-04%2Bat%2B21.00.29.png)
YAMOTO BAND KUFANYA LIVE SHOW KWA MARA YA KWANZA JIJINI LONDON FEBRUARI 21, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Kjjw6PwgaQI/VNKIoKVrEsI/AAAAAAAC_UI/10RTz4yVebo/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-04%2Bat%2B21.00.29.png)
info@bongodeejays.com or jestinageorge@gmail.com
![](http://1.bp.blogspot.com/-o8NwUQF6m08/VNLBDAYZnFI/AAAAAAAC_VU/fxXVlhokWS0/s1600/the%2Broyal%2Bregency.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pi6yowQO4iM/UxP-RPyLG8I/AAAAAAAFQqg/fN27P4pyxdY/s72-c/unnamed.jpg)
MISA YA KUMUOMBE MZEE WETU MAJOR SAMUEL ISAAC SHEKINGO -JUMAMOSI MARCH 8, 2014 CHICAGO-ILLINOIS
![](http://3.bp.blogspot.com/-pi6yowQO4iM/UxP-RPyLG8I/AAAAAAAFQqg/fN27P4pyxdY/s1600/unnamed.jpg)
Anuwani ya Kanisani:
AUGUSTANA LUTHERAN CHURCH OF HYDE PARK
AND LUTHERAN CAMPUS MINISTRY
5500 SOUTH WOODLAWN AVE
CHICAGO - IL 60637 Tafadhali tunaomba kuzingatia muda wa Ibada ambayo itaanza saa 9 kamili (3pm).
Major Samuel Isaac...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WQmW-JKa2zo/U5CwtDylOmI/AAAAAAAFn6M/Mq2aSTh0uZ0/s72-c/PazaSauti-show_500.png)
Karibu kiwanja cha Via Via jijini Arusha Jumamosi hii
![](http://3.bp.blogspot.com/-WQmW-JKa2zo/U5CwtDylOmI/AAAAAAAFn6M/Mq2aSTh0uZ0/s1600/PazaSauti-show_500.png)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W4ROvDUMhys/VDUXol10V1I/AAAAAAAGooM/KRsqWl6gHMo/s72-c/11.jpg)
Redd's Miss Tanzania 2014 kufanyika Mlimani City jumamosi hii
![](http://3.bp.blogspot.com/-W4ROvDUMhys/VDUXol10V1I/AAAAAAAGooM/KRsqWl6gHMo/s1600/11.jpg)
10 years ago
Bongo515 Oct
Tuzo za CNN MultiChoice African Journalist 2014 kutolewa Dar Jumamosi hii
Tuzo za CNN MultiChoice African Journalist 2014 zitatolewa Jumamosi hii, October 18 jijini Dar es Salaam. Shindano hilo ni la 19 mwaka huu. Mtangazaji wa CNN International Isha Sesay, atakuwa host wa tuzo hizo. Waandishi waliongia fainali ni pamoja: Daniel Biaou Adje, ORTB, Benin Safia Berkouk, El Watan, Algeria Vinayak Bhardwaj & Tabelo Timse, M&G […]
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-y5kqHKXBwOQ/VDUXvintxJI/AAAAAAAGoog/pxhH-LgfOeM/s640/9.jpg)
REDD'S MISS TANZANIA 2014 KUFANYIKA MLIMANI CITY JUMAMOSI HII
Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino International Agency ambao ni waratibu wakuu wa Mashindano ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga (kulia) akizungumza na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam leo, juu ya onyesho la Redd's Miss Tanzania 2014 linalotarajiwa kufanyika Oktoba 11, 2014 katika Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar.Katikati ni Meneja wa Kinywaji cha Redd's ambao ni Wadhamini Wakuu wa Mashindano hayo, Victoria Kimaro na kushoto ni...
10 years ago
Michuzi18 Nov
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-id8uNPlscBM/U5YSymzqTzI/AAAAAAACqCA/U7ZYAF-usSg/s72-c/unnamed.jpg)
TEAM YA VIJANA ZANZIBAR UK (UNDER 18) YAINGIA FINALI AFRICAN NATIONS CUP UK. KUCHEZA JUMAMOSI HII 14 JUNE 2014.
![](http://2.bp.blogspot.com/-id8uNPlscBM/U5YSymzqTzI/AAAAAAACqCA/U7ZYAF-usSg/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bPZf_AstxYA/U5YSyrG0KKI/AAAAAAACqB8/Jqi3H3Vi4oc/s1600/unnamed-1.jpg)
Final itakuwa Saturday, 14th June, 2014 @3.00pm. Barking FC Arena, Mayesbrook Park, Lodge Avenue, RM8 2JR - UK.
Ticket zinauzwa £5 Adult na £2 kwa watoto kwa maelezo Wasiliana na DJ Ommy kwa number +44 7427 447902 na Jestina George +44 7557 304940
TUNAWAOMBA TUJITOKEZEE KWA WINGI KUWASUPPORT
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania