REDD'S MISS TANZANIA 2014 KUFANYIKA MLIMANI CITY JUMAMOSI HII
![](http://1.bp.blogspot.com/-y5kqHKXBwOQ/VDUXvintxJI/AAAAAAAGoog/pxhH-LgfOeM/s640/9.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino International Agency ambao ni waratibu wakuu wa Mashindano ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga (kulia) akizungumza na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam leo, juu ya onyesho la Redd's Miss Tanzania 2014 linalotarajiwa kufanyika Oktoba 11, 2014 katika Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar.Katikati ni Meneja wa Kinywaji cha Redd's ambao ni Wadhamini Wakuu wa Mashindano hayo, Victoria Kimaro na kushoto ni...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W4ROvDUMhys/VDUXol10V1I/AAAAAAAGooM/KRsqWl6gHMo/s72-c/11.jpg)
Redd's Miss Tanzania 2014 kufanyika Mlimani City jumamosi hii
![](http://3.bp.blogspot.com/-W4ROvDUMhys/VDUXol10V1I/AAAAAAAGooM/KRsqWl6gHMo/s1600/11.jpg)
10 years ago
Michuzi08 Oct
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-GvSu1e3kITI/Uv-9NuTQ1NI/AAAAAAAAM5k/x-IZL_dQO2E/s1600/missTanzania.png?width=640)
KWA MARA YA KWANZA MSHINDI WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA KWENDA BONGO KUSHIRIKI REDD'S MISS TANZANIA 2014!
10 years ago
GPL![](http://i1.wp.com/vibe.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/30-Naba-Magambo-from-Ruvuma-21-Vibe.jpg?resize=150%2C150)
MISS TANZANIA KUFANYIKA LEO MLIMANI CITY DAR
10 years ago
GPLNICOLE FRANKLYN SARAKIKYA NDIYE REDD'S MISS TANZANIA TALENT 2014
10 years ago
GPLRED CARPET YA MISS TANZANIA 2014 MLIMANI CITY
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-k6nw7Ngk8k4/VDmbXqLNEzI/AAAAAAAGpUQ/KqZOFSsAJ5o/s1600/2.jpg)
MATUKIO YA REDDS MISS TANZANIA 2014 MLIMANI CITY DAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-k6nw7Ngk8k4/VDmbXqLNEzI/AAAAAAAGpUQ/KqZOFSsAJ5o/s72-c/2.jpg)
Redds Miss Tanzania 2014 kujulikana usiku huu Mlimani City jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-k6nw7Ngk8k4/VDmbXqLNEzI/AAAAAAAGpUQ/KqZOFSsAJ5o/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-i7WHk70mTzI/VDmh95JQkOI/AAAAAAAGpVQ/cehWYiaODNY/s1600/MMGM0064.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WAegubIpTyk/VDmh-F9kpSI/AAAAAAAGpVY/AFzrCkMKo4E/s1600/MMGM0308.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Fainali ya Tanzania Movie Talents (TMT) kufanyika tarehe 30 August 2014 ndani ya ukumbi wa Mlimani City
Mc Pilipili akiongea mbele ya Waandishi wa habari wakati wa Mkutano na Waandishi wa habari kuhusiana na fainali kubwa ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) litakalofanyika tarehe 30 August 2014 katika Ukumbi wa Mlimani City kuanzia Mida ya Saa 7:30 PM (Usiku) huku viingilio vikiwa ni Elfu Hamsini (50,000/=) kwa V.I.P na Elfu thelethini (30,000/=) kwa Kawaida. Wapili Kushoto ni Meneja Mradi TMT Joshua Moshi, Julieth Samson “Kemmy” ambae ni Mwalimu wa Nidhamu na Afisa Uhusiano TMT,...