Nadharia, umuhimu wa haki za kijamii na nafasi yake katika Katiba ya watu
Bila shaka wengi wetu tunasikia yanayotokea kwenye nchi kama Burma, Burundi, Afrika ya Kati, Misri, Eritrea, Sudan ya Kusini, Ukraine, Thailand na nchi nyingine kama hizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dv9nM2pveqY/VgsLQ8R4P1I/AAAAAAAH7xw/caOlPqx-0Eo/s72-c/download.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KATIKA JESHI LA MAGEREZA KWENYE BAADHI YA MITANDAO YA KIJAMII
![](http://3.bp.blogspot.com/-dv9nM2pveqY/VgsLQ8R4P1I/AAAAAAAH7xw/caOlPqx-0Eo/s1600/download.jpg)
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwepo na tangazo kuhusu nafasi za ajira katika Jeshi la Magereza linalodaiwa kuwa limetolewa na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza na kusambazwa kwenye baadhi ya Mitandao ya kijamii. Umma unajulishwa kuwa taarifa hizo siyo za kweli.
Jeshi la Magereza linapenda kuufahamisha umma kuwa ajira hutolewa na kutangazwa kupitia Vyombo vya Habari pamoja na tovuti ya Jeshi la Magereza ya www.magereza.go.tz
Hivyo, Jeshi la Magereza linawatahadharisha Wananchi wote...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s72-c/PIX-13.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta awaahidi walemavu kutendewa haki katika Katiba Mpya
![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s1600/PIX-13.jpg)
Mhe. Sitta ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2014 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) ambalo lilikuja katika Bunge Maalum kwa lengo la kuwasilisha hoja zenye msisitizo kuhusu haki za watu wenye ulemavu katika mchakato Katiba Mpya.
Mhe. Sitta amesema kuwa kazi...
10 years ago
MichuziWanawake wataka umuhimu wa uwepo wa masuala ya jinsia katika Katiba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UeiAtiGk5fnhPT7Y4aX3i36ZMjTPYohlPiZv7UYqM3hM8GkE0wvI5zjubmdGmMlWVo8DxwO*wb6ZX9Jzrj7sm*uypQZ3VA*m/3KATIBA3.jpg?width=650)
TASWIRA ZA MDAHALO WA UMUHIMU WA KUZINGATIA MAMBO YA MSINGI KATIKA KATIBA JIJINI D
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba akitoa mada katika mdahalo wa kujadili Umuhimu wa Kuzingatia Mambo ya Msingi Katika Katiba Pendekezwa unaofanyika hivi sasa kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar. Wananchi wakifuatilia mdhalo huo.…
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Afrika kujadili nafasi yake katika uchumi wa dunia
Mawaziri kutoka Mataifa 160 wanakongamana hii leo jijini Nairobi ikiwa siku ya kwanza ya Kongamano la Shirika la Biashara Dunani, WTO.
10 years ago
Mwananchi31 May
Chama cha wanasoka kitathmini nafasi yake katika usajili
Msimu wa usajili wa wachezaji wa klabu za Ligi Kuu, Daraja la Kwanza na la pili umeanza rasmi baada ya kumalizika kwa msimu wa mwaka 2014/15 na tayari klabu zimeanza kuonyesha uwezo wao wa kifedha kwa kusajili wachezaji kwa donge nono.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XS_AGWOg2TU/VFaKSIQeXlI/AAAAAAAGvF8/qy3vHAWfgLo/s72-c/IMG-20141102-WA0010.jpg)
NEWS ALERT: Mdahalo wa kujadili umuhimu wa kuzingatia Mambo ya msingi katika katiba wavunjika kwa tafrani kubwa
Tafrani kubwa imezuka jioni ya leo wakati wa Mdahalo uliondaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere wa kujadili umuhimu wa kuzingatia Mambo ya msingi katika katiba inayopendekezwa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliokuwa ukifanyika kwenye Ukumbi wa hoteli ya Blue Pearl, Ubungo Plaza, Jijini Dar es salaam.
Chanzo cha Tafrani hiyo, inaelezwa kuwa ni Baada ya Mh. Warioba katika taarifa yake kueleza kwamba Muungano sio tunu ila ni urithi ulioachwa na Waasisi,ndipo baadhi ya watu waliokuwepo...
Chanzo cha Tafrani hiyo, inaelezwa kuwa ni Baada ya Mh. Warioba katika taarifa yake kueleza kwamba Muungano sio tunu ila ni urithi ulioachwa na Waasisi,ndipo baadhi ya watu waliokuwepo...
10 years ago
Bongo512 Mar
Kila mtu ni wa pekee na wa tofauti mpe nafasi katika maamuzi yake
Wakati unapoendelea kuishi katika dunia hii, lazima ujue kwamba wewe ni nani na una makusudi gani katika maisha yako. Ingawa tumeishi katika dunia ambayo watu wengine ambao wanaweza kukwambia wewe ni nani na unapaswa kufanya nini. Si vibaya kuwa na watu wa jinsi hiyo, ila katika kipindi maalumu cha maisha yako na kwa makusudi sahihi, […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania